Simara
JF-Expert Member
- Oct 1, 2014
- 7,354
- 23,255
Mbona sasa namna unaongea ni kama mtu ambaye hajatoka kwa wazazi wake?!
Coz kuna lugha ungetumia hapo ungewakilisha vema sana wanawake waliopo katika ndoa na wanaijua vema.
Mkuu nimeongea vyema kabisa kama wewe unaona sio vyema ni juu yako sasa, mimi siwajibiki kwenye hilo.
Toka juu nimemshangaa mtoa mada na kutoa ushauri wangu ninaona unafaa, kama wewe unaona comment zangu hazipo kwenye Lugha nzuri hiyo ni wewe.