Mke wangu hajali familia

nitoke huko nimechoooka na foleni za Dar nifikie makazi? Hapana aisee nitafanya weekend.

Dada yupo na ninamsimamia vizuri ili kila kitu kiende sawa, ila kwa mama wa nyumbani ambaye kazi yake kuchat tu ashindwe kufanya kazi?
Yeah hivyo ndivyo inavyotakiwa kuwa. Lakini cha ajabu kuna wanawake wanafanya hayo yote sasa sijui wanafanya kwa kupenda ama wanaogopa tu kuachika.
 
Yeah hivyo ndivyo inavyotakiwa kuwa. Lakini cha ajabu kuna wanawake wanafanya hayo yote sasa sijui wanafanya kwa kupenda ama wanaogopa tu kuachika.
Kufanya kazi au majukumu yako kisa kuogopa kuachika ni ujinga kama ujinga mwingine.
Mwanamke tena haswa mama kazi ni nyumbani na malezi ya watoto ni jukumu lako hata uwe umechoka vp
 
Yeah hivyo ndivyo inavyotakiwa kuwa. Lakini cha ajabu kuna wanawake wanafanya hayo yote sasa sijui wanafanya kwa kupenda ama wanaogopa tu kuachika.

Anarudi kachoka na anapambana na kazi za home? May be wana hizo nguvu Mkuu!!

Binafsi Kikubwa kila kitu kiende sawa nyumbani home work zimefanyika, watoto wapo salama na wamepata mahitaji yote ya siku na nyumba ipo safi hata kama itabidi uweke wadada wawili basi weka.
 
Kufanya kazi au majukumu yako kisa kuogopa kuachika ni ujinga kama ujinga mwingine.
Mwanamke tena haswa mama kazi ni nyumbani na malezi ya watoto ni jukumu lako hata uwe umechoka vp
Kwahiyo mkuu unataka mwanamke amsaidie mume majukumu yake halafu pia yeye afanye majukumu yake peke yake hata kama amechoka? Hivi unajua tofauti kati ya kiongozi na msaidizi?
 
Anarudi kachoka na anapambana na kazi za home? May be wana hizo nguvu Mkuu!!

Binafsi Kikubwa kila kitu kiende sawa nyumbani home work zimefanyika, watoto wapo salama na wamepata mahitaji yote ya siku na nyumba ipo safi hata kama itabidi uweke wadada wawili basi weka.
Sure Mkuu
 
Kwa ninavyoijua mikate,mtakua mnapata choo kwa tabu sana,pole mkuu

jitahidi kuwalisha hao watoto,uwe unarudi na vitu vitamu unakula nao huku mke anakomaa na mikate anayoipenda.
 
Habari wana JF!

Ebu wadau naombeni ushauri wenu. Nina mke na watoto wawili. Mke wangu ana changamoto moja….hataki kupika na pia hajali watoto. Yaani tunaweza kukaa siku mbili tatu tunakula mikate na chai tu. Na yeye ni mama wa nyumbani sio kwamba ana shughuli kivile za kumkwamisha yeye kupika HAPANA.

Nikimwambia kwanini hapiki anadai sijaenda sokoni kununua vitu (asa nawaza si yeye ni jukumu lake kwenda sokoni) maana pesa za biashara tunazofanya ni yeye anashika kwahyo sio kwamba haendi kwasababu hana pesa.

Kuhusu watoto ndio kabisa hawalishi wala hawaogeshi, na watoto ni wadogo chini ya miaka 5. Yaani watoto wasipojipambania wenyewe kula ndio basi hawali.

Kuna saa nakasirika kinoma lakini nakosa namna. NIFANYEJE
Akipanda cheo kuwa Bi Mkubwa itapendeza
 
Sasa mkuu kila tukizozana na nikimkoromea huwa yeye ndio anakuwa wa kwanza kusema kama naona hafanyi Mother-duty eti nimrudishe kwao akafunzwe tena. Hilo suala nikilifikiria naona kama najidhalilisha kwa upande mwingine kuwa wataona kuwa nimeshindwa kumcontrol mtoto wao….kiundani Watanicheka flani
kuna siku wife alikuwa kanikosea akaleta habari kama hizo akaniomba nauli aende kwao, nikampa nikamwambia asiniombe nauli ya kurudi, aliishia kuifanya ya matumizi ya nyumbani tangu siku ile sijawahi kusikia anarudia kusema hivyo
 
Kwahiyo mkuu unataka mwanamke amsaidie mume majukumu yake halafu pia yeye afanye majukumu yake peke yake hata kama amechoka? Hivi unajua tofauti kati ya kiongozi na msaidizi?

kuna watu wabinafsi jamani matokeo yake mtu unazeeka unachakaa!! Mmetoka wote kazini ufike kuanze kazi za nyumbani Mume anakaa kwenye TV au analala chumbani.
 
Mtu aende labour mara 2 asilishe watoto wake wenyewe hapo mkuu lazima kuna mahala uliteleza pia
Unaweza kuta huyu jamaa alimbambikia ujauzito ambao sio wake maana wanaume bwana, anakwenda kubeba mimba ya wanawake wengine anakuja kumuwekea mke anabeba.
 
kuna watu wabinafsi jamani matokeo yake mtu unazeeka unachakaa!! Mmetoka wote kazini ufike kuanze kazi za nyumbani Mume anakaa kwenye TV au analala chumbani.
Usiolewe basi uishi mwenyewe kisela halafu tuone huo uzee kama hautakuja maana ndoa ndizo zinazeesha.
 
nipo kwenye Ndoa mwaka 7 huu namshukuru Mungu ni ndoa yenye furaha, amani na Upendo tele.

Ndoa zenye kutumikishana zinazeesha Mkuu
Mbona sasa namna unaongea ni kama mtu ambaye hajatoka kwa wazazi wake?!

Coz kuna lugha ungetumia hapo ungewakilisha vema sana wanawake waliopo katika ndoa na wanaijua vema.
 
Wanaume wengi wa kiafrika Wabinafsi mno
Sasa ubinafsi ni kukutaka ufanye majukumu yako ya kike ndio nakuwa mbinafsi. Khaaaaaaaaaaaaa

Wewe kama unaona hayo majukumu si sahihi kwako mbona unakwenda mchukua binti wa watu huko kijijini, anaacha familia yake,

anaacha kujenga mahusiano yake na kuwa na mji wake anakuja kukaa kwako ili umtume kufanya yale yale ambayo mumeo anataka ufanye tena katika kujenga mji wako yaani kulea damu yako na kuhudumia mji wako plus kumhudumia mwanaume ambaye anakwenda pambana na kuja kukupa ww na watoto wako.

Wewe na wanaume nani mbinafsi hapo....?!
 
Back
Top Bottom