Mke wangu anatokwa damu kila tukifanya tendo la ndoa

Mke wangu anatokwa damu kila tukifanya tendo la ndoa

Niomi kaka

Member
Joined
Feb 28, 2025
Posts
66
Reaction score
131
habari zenu,,,
naombeni ushauri wenu wataramu wa afya,, yapata mwezi sasa tangu nianze kuishi nae rasimi kama wana ndoa. amekua akitokwa na damu ukeni kila ninapo shiriki nae tendo la ndoa mwanzozi nilidhani itakuwa ameingia period pasipo kujua na nilipo muuliza alidai nayeye anawaza kama mimi lakini chaajabu ilikua niya siku moja ikakata lakini baada ya siku tatu tuka shiriki tena, chaku shangaza ile hali ikajirudia tena nika mwambia itakua anashida twende hospital lakini chaajabu nikama hayuko tayari. hivi shida itakua nini?
 
habari zenu,,,
naombeni ushauri wenu wataramu wa afya,, yapata mwezi sasa tangu nianze kuishi nae rasimi kama wana ndoa. amekua akitokwa na damu ukeni kila ninapo shiriki nae tendo la ndoa mwanzozi nilidhani itakuwa ameingia period pasipo kujua na nilipo muuliza alidai nayeye anawaza kama mimi lakini chaajabu ilikua niya siku moja ikakata lakini baada ya siku tatu tuka shiriki tena, chaku shangaza ile hali ikajirudia tena nika mwambia itakua anashida twende hospital lakini chaajabu nikama hayuko tayari. hivi shida itakua nini?
  • Maambukizi; Maambukizi ya magonjwa ya zinaa (STIs) kama vile klamidia na kisonono huweza kusababisha ugonjwa wa PID (Pelvic infalammatory) ambapo ugonjwa huu huathiri viungo vya uzazi na kushambulia sehemu za ndani za uke hivyo kupelekea tatizo la kutokwa na damu wakati au baada ya kujamiiana pamoja na maumivu ya nyonga, kutoka uchafu ukeni na harufu mbaya.
  • Udhibiti wa uzazi au uzazi wa mpango; wakati mwingine unapoanzisha njia mpya ya uzazi wa mpango huweza kupelekea kutokwa na damu wakati au baada ya kujamiiana. Hii husababishwa na kutumia vidonge vya udhibiti vya kiwango cha chini, kipandikizi au uke kuwa mkavu kutokana na udhibiti wa uzazi hivyo kusababisha kuchanika na kutokwa na damu wakati na baada ya kujamiiana. Baada ya miezi michache mwili huzoea na tatizo hili huisha.
  • Saratani ya shingo ya kizazi; Pia saratani ya shingo ya kizazi inaweza kuwa sababu ya kutokwa na damu wakati au baada ya kujamiiana kwani uvimbe wa saratani huwa na mishipa mingi ya damu ambapo ukitokea msuguano na uume wakati wa kujamiiana huweza kupelekea kutoka kwa damu.
 
Huyo mkeo ni malaya nikuambie wazi tu,hali hiyo hutokana na watu kutumia njia za uzazi kama vile P2,vitanzi & vijiti vitu hivyo huaribu mpangolio wa hormone mwilini na wengine hupeleke ku bleed hata miezi 3 mfululizo.
Swali la kujiuliza ni kwa nini mwanamke aliye olewa atumie njia hizo,jibu ndio hilo umalaya.
 
Labla ana damu nyingi, ajaribu kuchangia damu mara kwa mara 😎
 
Possible outcome
1.amefanya abortion
2.PID? ILA kama ni pid lazima iambatane na harufu kali.
3.njia ya uzaz wa mpango...alikua anatombeka freely



Ila asilimia kias inaweza kias ni uhakika katoa mimba thats why anaogopa kwenda hospital.
 
Kuna weza kuwa na sababu nyingi
1. Humuandai anakuwa mkavu hivyo anachubuka
2. Unacheza rafu- wale wanaotwanga kama mahindi kwa nusu saa na zaidi- anachubuka
3. Kama ana maambukizi ni sababu pia ILA yaweza kuwa sio kwani angepata maumivu ya kiuno nk
4. Akiwa na vivimbe kwenye njia ya uzazi pia yaweza kuwa sababu
5. KAMA damu inakuwa nyingi...wahi hospitali

Kama hapati maumivu yoyote...ya kiuno na ni ile damu kidogo tu kwenye mchi
Hebu jaribu kumuandaa vya kutosha hadi anyeshewe na mvua lakini pia, usitwange sana kama mahindi kwa lisaa; ile kitu inapata moto na kuchubuka
 
habari zenu,,,
naombeni ushauri wenu wataramu wa afya,, yapata mwezi sasa tangu nianze kuishi nae rasimi kama wana ndoa. amekua akitokwa na damu ukeni kila ninapo shiriki nae tendo la ndoa mwanzozi nilidhani itakuwa ameingia period pasipo kujua na nilipo muuliza alidai nayeye anawaza kama mimi lakini chaajabu ilikua niya siku moja ikakata lakini baada ya siku tatu tuka shiriki tena, chaku shangaza ile hali ikajirudia tena nika mwambia itakua anashida twende hospital lakini chaajabu nikama hayuko tayari. hivi shida itakua nini?
Pole mkuu bora damu

Kuna wengine wanakunya kila wakiipigwa mzigooo acha ru majaribu yanamlango wa kutokea

Mpeleke kwenye maombi pengine aliqqhi kumuhqidi mtu wataoana jamaa kakasirika kusikia ameolewa n vv ♥️ ❤️
 
Back
Top Bottom