kamanda5ch
JF-Expert Member
- Apr 18, 2013
- 210
- 285
- Thread starter
- #21
wasiliana na OFM(OPERATION FICHUA MAOVU) WATAKUSAIDIA SANA...
contact please
wasiliana na OFM(OPERATION FICHUA MAOVU) WATAKUSAIDIA SANA...
kama ana evidence either text message kwenye simu aende kwa mkuu wa chuo suala litafanyiwa kazi asiwe muoga
lakin na shule ndo itakuwa hatarin. mungu amsaidie.
ampe k yaishe. waswahili wanasema k haina makombo. ikishapigwa maji inarudi kua fresh kama mpya
ampe k yaishe. waswahili wanasema k haina makombo. ikishapigwa maji inarudi kua fresh kama mpya
kamseme kwa uongozi wa chuo...ukiwa na evidence hai..!!
hapo kwenye subject ongeza R ili isomeke LECTURER
ninavyojua ukimsemea kwa uongozi ni kama unaleta bifu na malecturer na itamsumbua sana kwenye masomo yake