mke wangu anasumbuliwa na lecturer

mke wangu anasumbuliwa na lecturer

Vipi kuhusu uwezo wa mkeo class, upo vizuri?

hicho chuo hakina system ya ku-appeal? kama ipo aki-appeal matokeo huwa yanakuja hayo hayo au?

kwa vyuo vingi mwanafunzi akifanya mtihani huwa anasign attendance sheet (anasign in and out), so si rahisi lecturer kuficha matokeo kama mwanafunzi kasign kufanya exam.
mkeo anasoma chuo kipi hicho ambacho mwalimu anaweza kuamua kuficha matokeo ya supp?
 
Vipi kuhusu uwezo wa mkeo class, upo vizuri?

hicho chuo hakina system ya ku-appeal? kama ipo aki-appeal matokeo huwa yanakuja hayo hayo au?

kwa vyuo vingi mwanafunzi akifanya mtihani huwa anasign attendance sheet (anasign in and out), so si rahisi lecturer kuficha matokeo kama mwanafunzi kasign kufanya exam.
mkeo anasoma chuo kipi hicho ambacho mwalimu anaweza kuamua kuficha matokeo ya supp?

ni kweli alisign attendance sheet lakini lecturer kakomaa ,mwisho wa siku ka give up baada ya kuona ishu inaweza kwenda mbali tukajua yameisha sasa semester hii kapewa somo lingine ishu imeanza kama kawa hata paper ya wife hataki kusahisha anaweka marks anavyopenda
 
naomba ushauri nifanyaje semester iliyopita alimkamata akaanza kumwambia akamuone ofisini wayamalize my wife akakomaa akarudi sup akafanya then matokeo ya sup yalipotoka ya wife wangu hayakutoka it means ikaonekana kama hajafanya sup baada ya kumkomalia akayatoa ,tukashukuru akamaliza mwaka ,semester nyingine ilivyoanza yule lecturer akawa amepewa somo lingine kuwafundisha naona tatizo limekuwa serious ,mitihani ya wife haisahishi anaweka tu marks kwa kukadiria ili wife afeli kwa kweli hali imekuwa mbaya
naomba mnisaidie mawazo nifanyeje maana imekuwa serious problem

Find a machine gun, load it and go fuc.k him up badly.....
 
lakin na shule ndo itakuwa hatarin. mungu amsaidie.
usiwe muoga kuna dada alikuwa na ishu kama hii akaenda kumface mkuu wa chuo direct , huyo lecturer kibarua kiliota nyasi baada ya evidence ya message kuonekana. asa unataka huyo lecturer aendelee ama
 
Kwa hiyo unaona ni heri aendelee kusumbuliwa namna hiyo? Akichoka na asumbufu akaamua kugawa utamwona msaliti?!! Fanya maamuzi ya kikamanda, TAFUTA USHAHIDI MUPELEKE KORTINI! Sku hizi kuna spy cameras za bei rahisi tu mpaka 50K unapata a tiny camera katika form ya miwani, neclace, saa, pen au kitu kingine, then wife anajipodoa na kujifanya amelegeza msimamo, mazungumzo yote yanakuwa recorded live! Au kama vipi mharibie tu, mwambie wife akubali, wakishakubaliana sehem ya kukutana anakutonya mnaenda kuvamia mnampa kichapo cha mbwa mwizi unakuwa umeambatana na watoto wa mbwa wawili wanamuinamisha huku umafilm tukio zima, from there unakuwa unamblackmail kila unapohisi unahitaji vijisenti, pia wife atasoma kwa raha tupu, ukimtisha kidogo tu anatoa marks za bure! CHANGAMKA WEWE MTOTO WA KIUMENI
Ahahahah..mkuu umeongea kiume option no 2 nimeipenda dawa ni kumuwekea tego tu akiingia kwenye laini unabamiza mbaya.Nyambaf
 
dah, degree za vichupi hizo kumbe bado zipo!ila kusanyeni ushahidi wakutosha mkashtaki, hlo nikosa la jinai km uthibitisho upo lazima aisome!!
 
akisumbuliwa saaaaaaana mtoe chuoni afanye open anddistance learning... akishindwa na huko mfundishe mwenyewe
 
naomba ushauri nifanyaje semester iliyopita alimkamata akaanza kumwambia akamuone ofisini wayamalize my wife akakomaa akarudi sup akafanya then matokeo ya sup yalipotoka ya wife wangu hayakutoka it means ikaonekana kama hajafanya sup baada ya kumkomalia akayatoa ,tukashukuru akamaliza mwaka ,semester nyingine ilivyoanza yule lecturer akawa amepewa somo lingine kuwafundisha naona tatizo limekuwa serious ,mitihani ya wife haisahishi anaweka tu marks kwa kukadiria ili wife afeli kwa kweli hali imekuwa mbaya
naomba mnisaidie mawazo nifanyeje maana imekuwa serious problem

Mwanamume mwenye Akili huwezi ku entertain mashtaka ya KIJINGA eti mke anatongozwa....!!!

Muulize toka umemuoa Ndio Mara ya kwanza anatongozwa....?? Huyo kakuambia kwa Ajili hampendi au kujenga Imani .....Mbona anaowasikiliza hata Kama hajakubali ( Huwa wanawaweka pending )...hakuambiii..
 
naomba ushauri nifanyaje semester iliyopita alimkamata akaanza kumwambia akamuone ofisini wayamalize my wife akakomaa akarudi sup akafanya then matokeo ya sup yalipotoka ya wife wangu hayakutoka it means ikaonekana kama hajafanya sup baada ya kumkomalia akayatoa ,tukashukuru akamaliza mwaka ,semester nyingine ilivyoanza yule lecturer akawa amepewa somo lingine kuwafundisha naona tatizo limekuwa serious ,mitihani ya wife haisahishi anaweka tu marks kwa kukadiria ili wife afeli kwa kweli hali imekuwa mbaya
naomba mnisaidie mawazo nifanyeje maana imekuwa serious problem

Mhanga mwenzangu pole...pia na Mimi Nina kesi ya muundo huo pale IAA,Ila wa kwangu hajakamatwa somo,na mine kanionesha text zote na kweli jamaa bado linampigia simu namba ya lecturer inaishia ...47. Cha ajabu ni kuwa ticha kashaambiwa mara nyingi na mwanafunzi wake lakini hasikii, mitihani ya juzi kamrudisha kwenye mtihani...bado tunaangalia itakuwaje na nadhani uyu jamaa itabidi atafutiwe tibA ya kudumu...text na calls tumeziifadhi kwa matumizi ya baadae...NAWASHAURI TU WAALIMU,FUNDISHENI MASOMO LA SIVO TUTAONANA WABAYA....NASUBIRI UYU BINTI SAFELISHWE NDO TUTAELEZANA VIZURI....MITEGO YOTE IKO STANDBY. NARUDIA,POLE MHANGA MWENZANGU.
 
naomba ushauri nifanyaje semester iliyopita alimkamata akaanza kumwambia akamuone ofisini wayamalize my wife akakomaa akarudi sup akafanya then matokeo ya sup yalipotoka ya wife wangu hayakutoka it means ikaonekana kama hajafanya sup baada ya kumkomalia akayatoa ,tukashukuru akamaliza mwaka ,semester nyingine ilivyoanza yule lecturer akawa amepewa somo lingine kuwafundisha naona tatizo limekuwa serious ,mitihani ya wife haisahishi anaweka tu marks kwa kukadiria ili wife afeli kwa kweli hali imekuwa mbaya
naomba mnisaidie mawazo nifanyeje maana imekuwa serious problem

Weka majina ya huyo "Lecturer" hapa afanyiwe kazi mkuu.
 
Mhanga mwenzangu pole...pia na Mimi Nina kesi ya muundo huo pale IAA,Ila wa kwangu hajakamatwa somo,na mine kanionesha text zote na kweli jamaa bado linampigia simu namba ya lecturer inaishia ...47. Cha ajabu ni kuwa ticha kashaambiwa mara nyingi na mwanafunzi wake lakini hasikii, mitihani ya juzi kamrudisha kwenye mtihani...bado tunaangalia itakuwaje na nadhani uyu jamaa itabidi atafutiwe tibA ya kudumu...text na calls tumeziifadhi kwa matumizi ya baadae...NAWASHAURI TU WAALIMU,FUNDISHENI MASOMO LA SIVO TUTAONANA WABAYA....NASUBIRI UYU BINTI SAFELISHWE NDO TUTAELEZANA VIZURI....MITEGO YOTE IKO STANDBY. NARUDIA,POLE MHANGA MWENZANGU.
asee nashukuru nimepata relief kusikia tupo wengi cha msingi na mimi sasa hivi ni kutafuta ushahidi wa kutosha na kisha kumfanyia kitu ,inapain sana kaka
 
Ukiwa mjanja Mkeo kusumbuliwa NI SIRI YA NDANI.
 
naomba ushauri nifanyaje semester iliyopita alimkamata akaanza kumwambia akamuone ofisini wayamalize my wife akakomaa akarudi sup akafanya then matokeo ya sup yalipotoka ya wife wangu hayakutoka it means ikaonekana kama hajafanya sup baada ya kumkomalia akayatoa ,tukashukuru akamaliza mwaka ,semester nyingine ilivyoanza yule lecturer akawa amepewa somo lingine kuwafundisha naona tatizo limekuwa serious ,mitihani ya wife haisahishi anaweka tu marks kwa kukadiria ili wife afeli kwa kweli hali imekuwa mbaya
naomba mnisaidie mawazo nifanyeje maana imekuwa serious problem

Unasubiri nini wakati una uhakika na kile kinachoendelea. Nenda polisi au kamata panga umzukie ofisini kwake ili ajue kwama upo siyo na unaweza.
 
omba Munu huo lecturer awe anachukiwa na wenzake other wise utamharibia zaidi mkeo wanajua kubebana na kuplaya as ateam kwani wengi ndio mchezo wao eithe kwa mabinti kujipeleka wenyewe au kuwashawishi
 
omba Munu huo lecturer awe anachukiwa na wenzake other wise utamharibia zaidi mkeo wanajua kubebana na kuplaya as ateam kwani wengi ndio mchezo wao eithe kwa mabinti kujipeleka wenyewe au kuwashawishi

duh sasa nifanyaje ndugu yangu
 
Nenda muone huyo mwalimu umuambie aachane Na mkeo akileta za kuleta nitafute tumpe dawa yake muonyeshe Na hii msg. Hao jamaa wengi wanaukimwi wanataka kuua watu. Bali angalia isije kuwa mkeo anajipeleka Kwa huyo mwalimu ni kawaida ya wanawake
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom