mkuu umri wa 25-28 ndio nini? Hujui umri wake?umri wake ni 25-28 ndugu yangu
mkuu umri wa 25-28 ndio nini? Hujui umri wake?umri wake ni 25-28 ndugu yangu
Ana umri gani? Kama yuko kwenye 30's na kuendelea inawezekana ni menopause ndo inaanza....
Na huo ni mwanzo tuu....itafika kipindi mtamaliza hospitali zote na ugonjwa hauonekani.......!
umri wake ni 25-28 ndugu yangu
wifi yangu alivyoolewa alikua na tabia kama hiyo you know what we did ALIKUA AKINUNA TUNAPIGA STORY PALE LIKE HELL NI KUCHEKA TU,,ALIBADILIKA MAZEE ALIONA HAMNA MTU ANAMPA ATTENTION HATA KAKA YANGU AKARUDI AKAWA BINADAMU.
Humridhishi.
Ushatengenezwa na umetengenezeka!
Mkeo ana "gubu" kukaa na watu wa hivo ni shughuli akijiskia kununa muda wowote ananuna...
dawa yake: akijifanya bubu we kuwa kiziwi ndio unampenda ila fanya hivo umpe dawa, akiamka kanuna nawe nuna usimsemeshe, jifanye unawapigia simu washkaji "oya mpo wapi nije nipo nipo home nimeboreka" kama huwa hutoki home toka siku hiyo kakae hata nyuma ya nyumba tu uchelewe kurudi....kwa amsha amsha za hivo atacheka mwenyewe tu akinuna tena fanya hivo hivo ataacha.
Dah...nyie ndo huwa mnarundikana kwa kaka huku mmekuja kumsimanga wifiyenu? Mshindweeee
Kwa tiba hiyo atamkuta amepasuka kabisaaa!!!Mkeo ana "gubu" kukaa na watu wa hivo ni shughuli akijiskia kununa muda wowote ananuna...
dawa yake: akijifanya bubu we kuwa kiziwi ndio unampenda ila fanya hivo umpe dawa, akiamka kanuna nawe nuna usimsemeshe, jifanye unawapigia simu washkaji "oya mpo wapi nije nipo nipo home nimeboreka" kama huwa hutoki home toka siku hiyo kakae hata nyuma ya nyumba tu uchelewe kurudi....kwa amsha amsha za hivo atacheka mwenyewe tu akinuna tena fanya hivo hivo ataacha.
wifi yangu alivyoolewa alikua na tabia kama hiyo you know what we did ALIKUA AKINUNA TUNAPIGA STORY PALE LIKE HELL NI KUCHEKA TU,,ALIBADILIKA MAZEE ALIONA HAMNA MTU ANAMPA ATTENTION HATA KAKA YANGU AKARUDI AKAWA BINADAMU.
HUYO MKEO ANACHUKULIA FOR GRANTED UPENDO WAKO SASA plzzzzzzzzz kama kweli unahitaji msaada sikiliza hili
USIMPE ATTENTION ALIYEIZOEA NA UNAYOMZOESHA
JUST DO YOUR STAFFS MYN,enjoy with ur friends rudi home late,usimpe attention,invite ur friends kama hamna mtu mwingine hapo home,kama kuna mtoto mkubwa kiasi mchukue weekends nenda nae somewea kashinde nae uko..
nakwambia atabadilika na kuanza kufanya vitu vitakavyorudisha attention yako kwake
ILA KAMA HUTAKI USHAURI
ENDELEA KULEA KIDONDA BILA KUKITIBU.....KITAKUA KIDONDA NDUGU MWISHO UKATWE MGUU
Tabia ya hasira ni matokeo ya mambo mengi sana:
1. Kabila:
Kuna wanawake au wanaume wa makabila fulani(hakuna sababu kuyataja) huwa na tabia za visirani pasipo hata sababu yoyote ya msingi.
Hili ni ngumu kidogo kulibadilisha na kulikabili yakupasa kujiandaa kabla hata ya ndoa (kuyavulia maji nguo).
2. Ngono
Inaaminika kuwa kiu ya ngono kwa mwanamke kuna wakati humletea hasira na visirani visivyokoma.
Mwanamke anayekazwa vizuri sehemu zote zilizolegea huwa na furaha kwa mumewe, yaani anarelax.
3. Ushirikina
Ndio nimeandika ushirikina na wala sijakosea.
Ni vyema utambue kuwa kati ya watu wema kuna wabaya pia, wengine hawapendi watu wengine wakidumu ndoani hivyo hutumia nguvu za giza kuchibua mbegu kama hasira, magomvi n.k kwa wanandoa.
Mwisho wa siku ndoa uvunjika kirahisi rahisi tu.
4. Mabadiliko ya Vichocheo.
Mabadiliko ya vichocheo mwilini kwa kiasi fulani huleta pia mabadiliko ya kifizikia kwa mwanadamu, wanawake ni wahanga wakubwa wa hili.
Mathalani wanawake walio na ujauzito au wale walio nyakati oevu (MP) kwa kawaida huwa hawapendi ghasia, na hili hulidhihirisha kwa kuonesha hasira au hata chuki.
5. Upendo kupoa
Utajuaje kuwa sina mapenzi nawe tena kama awali na sitaki kukuambia, dawa ni kukuonesha kiburi na chuki za hapa na pale.
Hii hufanywa sana na wanawake na ni chanzo cha ndoa nyingi kuvunjika.
Hali hii hutokea pia mwanandoa anapokuwa amepata pa kupumzikia huko nje, na anaona huko kwampa furaha zaidi ya ile aipatayo ndani.