Mke wangu ananitesa kwa hili

Mke wangu ananitesa kwa hili

Tatizo umelisema ni kila akipika ndio issue ilipo! HAPENDI KUPIKA HUYO, ila kwaa kuulaaaa; hajambo!!!

Je, una kawaida ya kumsifia kwamba yuajua kupika? (Japo ni wachache wanaojua kupika siku hizi)

Tuache yote ila ukweli ni kwamba kununa/kukasirika bila sababu za kueleweka ni kati ya sifa muhimu za baadhi ya wake zetu
 
tatizo kubwa lililopo kwenye ndoa zetu ni mawasiliano duni kati ya wenza. nadhani kwanza dumisha mawasiliano kwa kuongea nae kirafiki zaidi ili aweze kufunguka then atakuambia tatizo nini au utagundua tatizo kutokana na mazungumzo yenu. unajua wakati mwingine wanaume tunajidanganya sana kwenye tendo la ndoa unaweza kujihisi unamlizisha kumbe baada unamwacha mwenzio ana kiu au maumivu ambayo kila akikuona anayakumbuka and sometimes ukiomba game anakupa tu kwakuwa inalazimu
 
Mkeo ana "gubu" kukaa na watu wa hivo ni shughuli akijiskia kununa muda wowote ananuna...
dawa yake: akijifanya bubu we kuwa kiziwi ndio unampenda ila fanya hivo umpe dawa, akiamka kanuna nawe nuna usimsemeshe, jifanye unawapigia simu washkaji "oya mpo wapi nije nipo nipo home nimeboreka" kama huwa hutoki home toka siku hiyo kakae hata nyuma ya nyumba tu uchelewe kurudi....kwa amsha amsha za hivo atacheka mwenyewe tu akinuna tena fanya hivo hivo ataacha.

Aisee mi akinifanyia hivo hata hiyo matumizi simpi kila siku safari za kikazi haiishi,hata simu simtafuti ataanza yeye,hata akinicheat poa namwacha tu alivyo i dont care,baadaye ataelewa somo
 
akiendelea na tabia hiyo, wewe nenda zako live band, halafu uone, huku unapiga kitu cha castle lager bardiiiiiiiii. ukirudi nyumbani mnuno utauona kuwa ni tabasamu aisee.
 
Aisee mi akinifanyia hivo hata hiyo matumizi simpi kila siku safari za kikazi haiishi,hata simu simtafuti ataanza yeye,hata akinicheat poa namwacha tu alivyo i dont care,baadaye ataelewa somo

dawa ya moto maji, akimwaga ugali mwaga mboga toboa sufuria zima na moto asipike tena pambafff
 
huyo ana mchepuko sio bure, huo ukali ni ili usimfuatilie. Mke wangu alikuwa hivo hivo nikazinduka, kufanya utafiti nikagundua ana mtu ten ni mtu wake zamani, na alikuwa anamtaka warudiane aachane na mimi na akajitahidi kwa hali na mali ili tuachane kwani anadai maamuzi aliyochukua pindi walipokosana yalikuwa ni ya haraka mno kuolewa na mtu mwingine. Hivo alimuahidi kuwa yupo tayari kurudiana hivyo afanye visa vya kila aina.

Kwa Hiyo Ikawaje Chief
Ahsante Jigo
 
akiendelea na tabia hiyo, wewe nenda zako live band, halafu uone, huku unapiga kitu cha castle lager bardiiiiiiiii. ukirudi nyumbani mnuno utauona kuwa ni tabasamu aisee.

...hii mbinu balaa, ukirudi na ashik majnun hakuna cha kumwandaa wala nini...
 
Women, women, women ni kazi kweli kueleweka sijui kwa nini. Da pole sana man.
 
pengine kuna jambo linamsumbua.anashindwa.namna.ya.kusema ama umemwekea mazingira fulani ya kushindwa kuwa wazi kwako.
ushauri wa kumnunia.sikushauri
maisha ya kulipana visasi mwisho wake ni kuachana.
hii inaonesha wepesi wa akili ya mwanaume kwamba ameshindwa kutatua tatizo ila amelikimbia.
kufikia climax ni kawaida kupitia vikwazo.
 
Embu jichunguze vizuri kwa umakini na ujue ana lengo gani pia la kununa, kama upo sawa ndio ufuate huo ushauri uliopewa wa kununa usijenuna ukaaribu kabisa
 
Kumpenda mkeo si kosa..kama ni Mkristu na wewe unalijua hilo...(usipompenda mkeo utampenda nani???)
Tafuta sababu kwa nini ananuna...muwe na mawasiliano...kuna watu wakikwazika wananuna badala ya kulalamika...
Na uwe makini na kutumia mitandao kuomba ushauri...utavunja ndoa yako kwa mikono yako (keyboard) mwenyewe


Mfano hapa JF wengi hawapendi kusikia watu wanapendana...(mtu anasema anamPenda mke/mumewe)...what do you expect...??????

Yani watu wameona kosa ulofanya kubwa ni kumpenda mkeo...ha ha ha ha ha ha

 
Last edited by a moderator:
Hio ya mwisho nini inasababisha kutokuwa na mapenzi tena?

Hukusoma hapa bi mkubwa, niliandika hivi:

Hali hii hutokea pia mwanandoa anapokuwa amepata pa kupumzikia huko nje, na anaona huko kwampa furaha zaidi ya ile aipatayo ndani.
 
Back
Top Bottom