Offline User
JF-Expert Member
- Dec 20, 2010
- 3,828
- 2,383
cc Ms.Lincoln
Last edited by a moderator:
duh huu ushauri, nway tahadhari ni muhimu
Kim nana ipo siku na wewe utafika 30Ana umri gani? Kama yuko kwenye 30's na kuendelea inawezekana ni menopause ndo inaanza....
Na huo ni mwanzo tuu....itafika kipindi mtamaliza hospitali zote na ugonjwa hauonekani.......!
umenifurahisha Dada yanguHumridhishi.
Mkeo ana "gubu" kukaa na watu wa hivo ni shughuli akijiskia kununa muda wowote ananuna...
dawa yake: akijifanya bubu we kuwa kiziwi ndio unampenda ila fanya hivo umpe dawa, akiamka kanuna nawe nuna usimsemeshe, jifanye unawapigia simu washkaji "oya mpo wapi nije nipo nipo home nimeboreka" kama huwa hutoki home toka siku hiyo kakae hata nyuma ya nyumba tu uchelewe kurudi....kwa amsha amsha za hivo atacheka mwenyewe tu akinuna tena fanya hivo hivo ataacha.
Habari za usiku ndugu zangu
Mke wangu anapenda sana kukasirika bila sababu za msingi, hivi hii inaweza sababishwa na kitu gani?
asante bt mapenzi siyo mepesi kama unavyozani onyesha uanaume wako hapo
Nimekuwa namshauri kila siku kubadilika kuacha kuwa na hasira haelewi nisaidieni ndugu zangu kuna kipindi nawaza labda kuna mtu anampa kiburi na labda ni mjamzito lakini hakuna, naampa kila kitu kuanzia cha kula cha usiku hadi matumizi ya kwake ya muhimu, nimeamua hadi kumwabia atafute mfanya kazi wa ndani kumamsaidia kazi sababu kuna kipindi hata kupika anakuwa na hasira kwani akimaliza kupika mnakula na hakuna stori inafikia kipindi sipendi apike sababu naona akipika anakasirika.
Nampenda sana mke wangu lakini nateseka sana.
Nahitaji sana awe na furaha but kwake ni tatizo.
Pole mwaya..kuna watu wako hivyo..sasa cha kufanya jaribu kuwa unatafuta siku unatoka nae out mueleze ni jinsi gani unampenda pia try so Hard kumueleza ni jinsi gan unavyoumizwa na tabia yake hiyo...
NOTE: Je tabia hiyo kaianza toka mkiwa kwenye mahusiano ya kawaida au ni baada ya ndoa?
hii tiba akiiweza tatizo lina kwisha. kwani mmezaa watoylto?
umesema unampa na chakula cha usiku, je hata wakati anapata cha usiku huwa ananuna? je anakupa kwa hiyari yake?
Mkeo ana "gubu" kukaa na watu wa hivo ni shughuli akijiskia kununa muda wowote ananuna...
dawa yake: akijifanya bubu we kuwa kiziwi ndio unampenda ila fanya hivo umpe dawa, akiamka kanuna nawe nuna usimsemeshe, jifanye unawapigia simu washkaji "oya mpo wapi nije nipo nipo home nimeboreka" kama huwa hutoki home toka siku hiyo kakae hata nyuma ya nyumba tu uchelewe kurudi....kwa amsha amsha za hivo atacheka mwenyewe tu akinuna tena fanya hivo hivo ataacha.
[JFMP3][/JFMP3]
Nampenda sana mke wangu lakini nateseka sana.
Nahitaji sana awe na furaha but kwake ni tatizo.
Kwa tiba hiyo atamkuta amepasuka kabisaaa!!!