Ninahisi mke wangu ni aina ya wanawake ambao upo nae kwenye ndoa lakini na yeye anajenga nyumba yake kwa Siri
Niliwahi kumwambia kwamba tufungue biashara na yeye ndie aisimamie biashara yetu lakini alikataa na kusema kwamba anataka nimfungulie biashara yake mwenyewe na sio ya familia yaani nimuwezeshe ili awe na biashara yake yeye ( sio ya familia )
Nikazuga zuga na sikufungua biashara Wala kumfungulia yeye, sasa kwa sasa anaonekana yuko serious sana ananihimiza nimpatie pesa afungue biashara yake binafsi.
Kwenye stori zetu na kusukuka siku amekuwa akitamka kauli kama nikiwa na pesa ntafanya mambo mamkubwa mala nitaitafuta pesa yangu kweli kweli
Siku moja nikasema unataka kutafuta pesa ili tusongeshe vizuri familia au unajitafutia wewe mwenyewe , akasema zitakuwa pesa zangu Mimi ila vitu vidogo vidogo nitakuwa nakusaidia
Sasa wakuu huyu mwanamke hana hata 100 mbovu na hataki biashara ya familia anataka biashara yake binafsi na anataka mtaji utoke kwangu Mimi , nafikilia kuingia mitini tuu
Niliwahi kumwambia kwamba tufungue biashara na yeye ndie aisimamie biashara yetu lakini alikataa na kusema kwamba anataka nimfungulie biashara yake mwenyewe na sio ya familia yaani nimuwezeshe ili awe na biashara yake yeye ( sio ya familia )
Nikazuga zuga na sikufungua biashara Wala kumfungulia yeye, sasa kwa sasa anaonekana yuko serious sana ananihimiza nimpatie pesa afungue biashara yake binafsi.
Kwenye stori zetu na kusukuka siku amekuwa akitamka kauli kama nikiwa na pesa ntafanya mambo mamkubwa mala nitaitafuta pesa yangu kweli kweli
Siku moja nikasema unataka kutafuta pesa ili tusongeshe vizuri familia au unajitafutia wewe mwenyewe , akasema zitakuwa pesa zangu Mimi ila vitu vidogo vidogo nitakuwa nakusaidia
Sasa wakuu huyu mwanamke hana hata 100 mbovu na hataki biashara ya familia anataka biashara yake binafsi na anataka mtaji utoke kwangu Mimi , nafikilia kuingia mitini tuu