Abrianna
JF-Expert Member
- Mar 30, 2021
- 4,697
- 15,383
Uzi wako umenichekesha mwanzo mwisho, hebu kaa tuliza akili uzungumze na mkeo, kuna leo na kesho, ni vizuri akajishughulisha kidogo ili hata upande wako mambo yanapokua mabaya familia isiyumbe,akiwa ba kitu cha kumweka bize hata hizo simu za mara kwa mara hutazisikia.Kazi za kufanya nizitoe wapi zaidi ya kupika na kupakua ana dip ila hataki kwaajiriwa anasema ameridhika kuka home