Lusajo11
JF-Expert Member
- Dec 13, 2014
- 1,887
- 1,970
Jamaa yangu alichukua changu walipofika room jamaa akaficha walet kwenye mto aliolalia yule changu. Alipopiga kimoja akajifanya anakoroma huku anapiga chabo kiaina.. wacha nguo zipigwe peksheni utafikiri anatafutwa kunguni. Jamaa akajifanya kaamka ghafla, dem akasingizia alikiwa anataka kwenda kuoga (!!!???) dem alipoingia bafuni jamaa kavaa fasta kasepa. Hiyo inaitwa kuviziana
Sasa kichekesho jamaa hakujua dem anaishi mtaa gani, siku mbili tu badae tukakutana na yule dem kwenye bar nyingine palichimbika
Sasa kichekesho jamaa hakujua dem anaishi mtaa gani, siku mbili tu badae tukakutana na yule dem kwenye bar nyingine palichimbika