Hivi unalalaga na suruali?Ndugu wana JF,
Nina mke nimezaa naye mtoto mmoja bahati nzuri Mungu kanijalia kazi ambayo inaniwezesha kupata mahitaji yangu ya kila siku kila mwisho wa mwezi na mpa pesa ya kununua kila kitu.
Cha ndani cha kushangaza kila nikirudi home akigundua nimelewa ananisachi na anachokikuta anachukua nikiamka asubuhi nikimuuliza anakuwa mkali akidai hela yote imeishia kwenye pombe je nichukue hatua gani?
Acha PombeNdugu wana JF,
Nina mke nimezaa naye mtoto mmoja bahati nzuri Mungu kanijalia kazi ambayo inaniwezesha kupata mahitaji yangu ya kila siku kila mwisho wa mwezi na mpa pesa ya kununua kila kitu.
Cha ndani cha kushangaza kila nikirudi home akigundua nimelewa ananisachi na anachokikuta anachukua nikiamka asubuhi nikimuuliza anakuwa mkali akidai hela yote imeishia kwenye pombe je nichukue hatua gani?
Omera nyako raachHat ukiacha kunywa pombe atakusearch ukienda kuoga bafuni. Kuishi na mwizi ni shida.
juu ya meza itapigwa ndoano....
Wsnaume tumeumbwa matesomimi huwa sisachi huwa nampa bajeti ya uongo