Mke wangu ananiibia pesa

Mke wangu ananiibia pesa

Lazima usachiwe kama ukiobwa hutoi unasema sina, alafu unarudi kila siku umelewa. Ila huo siyo wizi anasogeza tu, angekuwa mwizi asingechukuwa zote angaokota moja ili usigudue ila yeye anakomba zotee! haaa! ila huyu kiboko,na huyu mume naeanaonekana anamwogopa huyu mwanamke we hela zinakobwa zote ye kimyaa.
 
Acha pombe, atakua unaona kama unachezea pesa ndo maana naye ana amua kujisevia
 
Anakuhifadhia tu haibi, mwisho wa siku atazitumia kwa matumizi ya nyumbani au ya kwake kujipamba na sifa utapewa wewe kua unamtunza vyema
 
Ukirudi uwe unamkabidhi na kaundikishana kabisaaaa na saini juu
 
Back
Top Bottom