Mke wangu anagombea ubunge, sina amani

Mke wangu anagombea ubunge, sina amani

Mbona mnawadharau wanawake hivyo..? Ina maana mwanamke hawezi kupata nafasi ya ubunge bila ya kuliwa..?
 
angalia wasimtoe kafara. Maana hao so called wabunge kwa uchawi hawajambo
 
Pamoja na kuwa hii imekaa kama kile kinywaji maarufu.....

Lakini hakuna kitu kibaya na
Hakuna kosa kubwa kama mwanamke kuolewa na mwanaume asiyejiamini, mwenye kuwaza mabaya tu na kuona kama mwanamke ni kitu duni.....
 
Pamoja na kuwa hii imekaa kama kile kinywaji maarufu.....

Lakini hakuna kitu kibaya na
Hakuna kosa kubwa kama mwanamke kuolewa na mwanaume asiyejiamini, mwenye kuwaza mabaya tu na kuona kama mwanamke ni kitu duni.....

Lipo tatizo tena kubwa sana
 
bora akagogwe na wabunge watampa network kuliko akigogwa na houseboy au bodaboda ambao wewe ndio utagalamia
 
Ni kweli heri alambwe na wabunge wenzake kuliko sasa anavyo vurugwa na wauza genge, kina mangi na wapemba pia wapaka rangi kucha ....
 
Hela ndo imesababisha aende huko, angekuwa na mambo yake ya muhimu asingeenda huko
 
Kwel bora wabunge wataipiga kistaarabu, lkn mangi wa genge au wasugua kucha wataipapua hadi iv....i.....MBE teh.
 
Sasa habari zako wewe na mkeo si mzimalize nyumbani kwenu...

Sasa sijui unataka watu wa JF wakusaidie kwa lipi hapa...

VIpi mkeo akiwa Mbunge na kuwa anatolewa out tena nje ya nchi na vigogo na kutoa penzi. Utavumiliana naye? Maana mke wangu anagombea, nifanyeje?
 
Mpe Talaka.Oa Mwingine.

kwahiyo unataka kutwambia kuwa wabunge wote wanawake katika Bunge la JMT ni watalaka au wako single kama kina Bi. kiroboto?
wewe muache tu kwani mtoto akililia wembe mpe...
 
Last edited by a moderator:
VIpi mkeo akiwa Mbunge na kuwa anatolewa out tena nje ya nchi na vigogo na kutoa penzi. Utavumiliana naye? Maana mke wangu anagombea, nifanyeje?


Kwani mkeo hajawahi gegedwa nje ya ndoa yako?
 
VIpi mkeo akiwa Mbunge na kuwa anatolewa out tena nje ya nchi na vigogo na kutoa penzi. Utavumiliana naye? Maana mke wangu anagombea, nifanyeje?

Mkuu iwapo anagombea kupitia viti maluum nakuomba uwe mvumilivu kwa lolote utakalo liona lakni kama anaenda kupambana jimboni mtie moyo na kumpa suppot
 
Mkeo kama bomba usilie sana muda si muda atapewa unaibu uwaziri na wewe kukukata kilimilimi utaambulia ubalozi huko china.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom