LiFe 2-point-0
JF-Expert Member
- Mar 22, 2024
- 4,537
- 12,540
Na mimi niwasisitize tu kwa moyo mmoja "msijaribu hata kufikiria" 😂Naona mnakuja na maneno mengi ila Mwenyekiti kaweka imani kwetu.
Hatuoi
Na mimi niwasisitize tu kwa moyo mmoja "msijaribu hata kufikiria" 😂Naona mnakuja na maneno mengi ila Mwenyekiti kaweka imani kwetu.
Hatuoi
Yqn dah, tumemuacha tu Lissu atesemke peke yake wallah!!Tutapata Reforms kweli kwa mwendo huu?
Huwajui wanawake wewe, hiyo kaifungia kwenye vault moyoni kabisaaa, ngoja siku akishakamilisha mipango yake atake kusepa, hilo nalo litasomwa kwenye waraka kuwa "nanyanyaswa na kuwa abused kihisia kiasi cha kuhatarisha afya yangu ya akili". Subiri tu. Hawasahau kitu hawa ndugu zetu 😂Sasa hayo ndio mapenzi..na mtadumu
Ushaambiwa skeleton ashike mifupa auAu kama vipi akikusogelea mshike tako.
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣Mke wangu ni mwembamba sana halafu hata akiniambia nimnunulie chakula gani ili akila anenepe bado hanenepi. Lakini ni msafi sana kuliko mimi
Jana nilimtania tu nikamwambia wewe mwili wako ni mfupa na ngozi tu huna nyama...akanichunia eti halafu akamwambia mamayake. Mama yake akamgombeza akamwambia kinachokufanya usile ni nini na una mawazo gani au una minyoo🤣🤣🤣
Mimi nilimsikia mama yake akimgombeza nikacheka eti akanikasirikia hata jumuiya hajaenda nikamwomna msamaha nikamletea mishikaki 6 ya ng'ombe anayopendaga na juice hajanywa eti
Leo akaniambia mimi ni Kubwa lakini Jinga kuzidi mtoto wa nursery, Lakini sijanuna
Nikamwambia kwnn hujaenda jumuiya akasema hajiskii
🤣🤣🤣🤣🤣🤣Au kama vipi akikusogelea mshike tako.
Huyo ni fala,acha kumtania atajiuaMke wangu ni mwembamba sana halafu hata akiniambia nimnunulie chakula gani ili akila anenepe bado hanenepi. Lakini ni msafi sana kuliko mimi
Jana nilimtania tu nikamwambia wewe mwili wako ni mfupa na ngozi tu huna nyama...akanichunia eti halafu akamwambia mamayake. Mama yake akamgombeza akamwambia kinachokufanya usile ni nini na una mawazo gani au una minyoo🤣🤣🤣
Mimi nilimsikia mama yake akimgombeza nikacheka eti akanikasirikia hata jumuiya hajaenda nikamwomna msamaha nikamletea mishikaki 6 ya ng'ombe anayopendaga na juice hajanywa eti
Leo akaniambia mimi ni Kubwa lakini Jinga kuzidi mtoto wa nursery, Lakini sijanuna
Nikamwambia kwnn hujaenda jumuiya akasema hajiskii
😀😀..ili iweje mkuu...Mkuu hiyo mishikaki bado ipo mpaka muda huu?
Huwa wana raha yake, kama mtundu...Ukimla unakula mifupa tu.