Mke wangu ana sura mbaya

Mke wangu ana sura mbaya

Mungu hana upendeleo,akikunyima sura nzuri anakupa umbo zuri,akikunyima vyote basi lazima akupe japo moyo mzuri sana,kuwazid wazuri wa sura na umbo.

brother Mungu amekupa unacho stahili, huwezi kua handsome upate na mke beautiful,lkn huyo aliekupa pengine anasifa kapewa zinazowazid hao wazuri wa sura. sasa wewe unataka nn?!!
 
"hata nikimuomba 0713 ananipa bila kulalama" hapo tyuuuu nimenukuu
nimeishiwa na nguvu
 
Nahis anaruhusu afumuliwe marinda kwa sababu hajiamini kutokana na sura yake ilivyo labda....so anahisi akimnyima ataachika....na akiachika anahisi itakua ngum kupata mtu...so ni kama zali kapata mwanaume mwenye sura nzuri...nnavyoona...
Huyu anaye mfanyie hivi mkewe hana huruma na utu Mungu anamuona aisee hafu amekuja kumsema JF. Wanawake wenzangu kuwa makiñi hii kujifanya kutoa tigo ili kumtuliza mwanaume mwajidaganya tu na kuwafanya wawadharau tu, mijianaume ku cheat ni kawaida.
 
sasa umesema ana sura mbaya.kwanini unasumbuka kuhusu kuweka simu yake password kwasababu unataka kumfatilia kama kuna watu wanamega tunda..kama ana sura mbaya wacha watu wajimegee.
 
Mimi naishi na mwanamke ambaye ana sura mbaya yaani unaona hata aibu kutoka nae out, watu wengi hasa wanawake wananisema mimi ni handsome sistahili kuwa na mke huyo, ila anaihudumia vizuri ananipa peace of mind japo ana kauvivu kidogo yaani anapenda kulala lala, hata kupunguza nyasi nyumbani hadi akodi kibarua. Hajui kubuni miradi, ila ni mvumilivu hanisumbui kwenye pesa. Ananilinda sana, yaani kama kuna watu nawadai anakomaa nao kisawasawa. Sifa hizo zimenifanya niishi nae hadi leo.
Ila sasa ana wivu balaa, yaani asione simu imepigwa kwangu au miss calls lazima ajue ni nani, na kama ni mwanamke lazima akomae nae kwa nn kanipigia.
Nikijaribu kutongoza michepuko huwa inanikatalia eti wanamuogopa mke wangu. Nimeweka password kwenye simu yangu naye kaweka, nashindwa kumchunguza kama kuna watu wanampiga mashine. Zamani alikuwa na marafiki wengi wa kiume kuliko wanawake yaani ni very social to mens than womens. Nashindwa kumsoma kabisa. Ila toka nimuoe mwaka 2003 hajawahi kunizingua katika suala la unyumba, yaani hata nikitaka 0713 anaweza nipa bila kulalama. Watoto anaonizalia, wanafanan naye. Nataka watoto wazuri kama mimi, baada ya kuzaa nae watoto wawili, sasa ana mimba tena ya mtoto wa tatu, namsikilizia.
Chui wako milele. ..hahaha umenichekesha sana. ..haki ya Mungu. .
JF..
 
Ndio chaguo lako.chaguo la moyo na jicho lako.au alikuletea shangazi yako? Usimwangalie usoni .ishi nae kwa assumption kuwa ni malikia wa uzuri na uconcentrate na kale kakitu kalikokufanye umchukue hiyo 2003.!
hawezi kuishi nae hivyo kama hajampenda toka moyoni. kumbuka mapenzi yanamfanya mtu amuone ampendae mzuri kushinda wote duniani..ni upendo wenye kufanya hayo.
 
Back
Top Bottom