Mke wangu amepata zero kwenye interview, ananilaumu

Mke wangu amepata zero kwenye interview, ananilaumu

Yaani watu wanatoka sehemu za mbali na magharama kibao kwa ajili ya interview kumbe kazi zina wenyewe tayari. Huu ni ushenzii...
 
Nikwambie kitu, we endelea na huyo rafiki yake ulompa kazi, halafu mlete mkeo kwangu nimpe kazi murua salary juuuuu bila hata interview!!
 
Wakuu amani iwe kwenu,

Mimi ni afisa utumishi kwenye kampuni moja hivi hapa Dar es salaam. Hivi karibuni bodi ilitengeneza nafasi 12 mpya za kazi na kuzitangaza.Viongozi waligawana nafasi nafasi tatu kila mmoja na mimi kuniachia 3.

Huwa inakua hivyo kila tunapoajiri, katika hizo nafasi tatu nilizopewa nilipanga moja nimpe wife ambae amemaliza chuo mwaka Jana, nyingine ni mshikaji wangu ambae aliniandalia pesa na ya mwisho nimpe rafiki wa wife ambae wife
mwenyewe aliniomba. Mimi na wife tulioana akiwa na elimu ya form six hakuweza kuendelea kuna matatizo yalijitokeza, hivyo baada ya kumuoa ndipo nikampeleka chuo baada ya kukaa miaka 3 nyumbani.

Mwaka jana ndio amemaliza, so hivi juzi tukamwita kwa mtihani pamoja na wenzie kama 100 hivi tuliowachuja matokeo yalipotoka akawa amepata 2 ya 50 mi naita sifuri maana nilimuongezea mimi hizo mbili wakati nasahihisha.Bosi wangu akasema niamue nwenywe kama namchukua na matokeo hayo siku wakija auditors jumba bovu litaniangukia ni vyema nikasubiri nafasi zingine. Hivyo wale wengine 11 akiwemo na Rafiki yake wakaitwa kwa kazi

Sasa ndani kuna ugomvi kati yangu na mke wangu anasema ningemchykua hivyo hivyo hata kama kafeli. Nimemwelewesha hataki kuelewa kaninunia wiki sasa, hatuongeleshani tunaamka kama mabubu.Usiku saa ya kulala anavaa suruali za tight mbili na jeans juu na mkanda ndo analala tena kwenye kona ya kitanda.Nikimgusa ni ugomvi anasema ninatembea na rafiki yake niliempa kazi, nikimwelewesha kuwa yule alifaulu mtihani anadai tunamsaliti nyumba haina amani sasa.

Wadau najiuliza maswali kadhaa;
(1) Inakuaje graduate akapata 2 ya 50 kwa maswali ambayo wote tuliyasoma sekondari?
Mengine ya primary school?

(2) Inakuaje mtu anashindwa hesabu za ratio, kuandaa balance sheet, statement of ACC wakati chuo amepita mitihani na Ku graduate au ndo zile degree za chupi? Nalazimika kuwaza hivyo maana hainiingii akilini

Nikijaribu kumuuliza haya maswali anakua mkali anasema hataki maongezi. Kwa kweli nimechoka juzi nilikua naongea na rafiki yake kuhusu huu mgogoro kwa kweli alinifariji vizuri hadi nikafikria kuwa ni bora niwepo nae tu ukichukulia kuwa kwa sasa sipati conjugal rights .

Naomba mwongozo wenu

NB:
Tuna watoto wawili

kama uliamua kumbeba, ungempa angalau maswali afanye kabla au ungemwambia ajiandae na vitu gani,
Ingawa mimi naona bora amefeli kwa sababu baadaye ingekusumbua sana.
 
Mwanamke kilaza, ana wivu kibao utafanyaje kazi ya kuajiriwa wewe na mkeo kampuni moja, kituo kimoja? mbona utapata shida sana huko kazini? akikukuta umesimama na mdada tu tayari ugomvi. mtafutie kazi nyingine au mpe mtaji afanye biashara.
 
Ole wao wanaotoa siri za ndani ya ndoa zao.. Na kabla sijasahau, hivi umesema unafanya kazi ofisi gani ili angalau tuchukue ka hatua maana inaonekana humo ofisini kwenu vile vi bilioni vya ripoti ya CAG vimewapitia
 
Wakuu amani iwe kwenu,

Mimi ni afisa utumishi kwenye kampuni moja hivi hapa Dar es salaam. Hivi karibuni bodi ilitengeneza nafasi 12 mpya za kazi na kuzitangaza.Viongozi waligawana nafasi nafasi tatu kila mmoja na mimi kuniachia 3.

Huwa inakua hivyo kila tunapoajiri, katika hizo nafasi tatu nilizopewa nilipanga moja nimpe wife ambae amemaliza chuo mwaka Jana, nyingine ni mshikaji wangu ambae aliniandalia pesa na ya mwisho nimpe rafiki wa wife ambae wife
mwenyewe aliniomba. Mimi na wife tulioana akiwa na elimu ya form six hakuweza kuendelea kuna matatizo yalijitokeza, hivyo baada ya kumuoa ndipo nikampeleka chuo baada ya kukaa miaka 3 nyumbani.

Mwaka jana ndio amemaliza, so hivi juzi tukamwita kwa mtihani pamoja na wenzie kama 100 hivi tuliowachuja matokeo yalipotoka akawa amepata 2 ya 50 mi naita sifuri maana nilimuongezea mimi hizo mbili wakati nasahihisha.Bosi wangu akasema niamue nwenywe kama namchukua na matokeo hayo siku wakija auditors jumba bovu litaniangukia ni vyema nikasubiri nafasi zingine. Hivyo wale wengine 11 akiwemo na Rafiki yake wakaitwa kwa kazi

Sasa ndani kuna ugomvi kati yangu na mke wangu anasema ningemchykua hivyo hivyo hata kama kafeli. Nimemwelewesha hataki kuelewa kaninunia wiki sasa, hatuongeleshani tunaamka kama mabubu.Usiku saa ya kulala anavaa suruali za tight mbili na jeans juu na mkanda ndo analala tena kwenye kona ya kitanda.Nikimgusa ni ugomvi anasema ninatembea na rafiki yake niliempa kazi, nikimwelewesha kuwa yule alifaulu mtihani anadai tunamsaliti nyumba haina amani sasa.

Wadau najiuliza maswali kadhaa;
(1) Inakuaje graduate akapata 2 ya 50 kwa maswali ambayo wote tuliyasoma sekondari?
Mengine ya primary school?

(2) Inakuaje mtu anashindwa hesabu za ratio, kuandaa balance sheet, statement of ACC wakati chuo amepita mitihani na Ku graduate au ndo zile degree za chupi? Nalazimika kuwaza hivyo maana hainiingii akilini

Nikijaribu kumuuliza haya maswali anakua mkali anasema hataki maongezi. Kwa kweli nimechoka juzi nilikua naongea na rafiki yake kuhusu huu mgogoro kwa kweli alinifariji vizuri hadi nikafikria kuwa ni bora niwepo nae tu ukichukulia kuwa kwa sasa sipati conjugal rights .

Naomba mwongozo wenu

NB:
Tuna watoto wawili

ahaaaaaaaaaaaaaa
baada ya kicheko jibu maswali yafuatayo:

1: alikuwa anavigezo vya company yenu? Eg amesoma coz zinazoendana na wafanyakazi mlokuwa mnawataka? Asiwe amesoma sheria afu kazi yenyewe mhasibu. Je hesabu ataweza?

2: kabla ya interview ulimpa hata hints kwa mbali? Hata kumtex iq yake?

Nb: kuna mtu alileta uzi hapa kuwa yeye kigezo cha kuoa ni kiwango cha IQ . Ingawa na uzuri ni muhim tena sana.

Kwa wakaka wote ukitaka kuoa atleast oa mwanamke ambae iq yake iko fit eg lawyers. Ni mtazano tu nisihukumiwe.
 
kama sielewi hivi, mnaingizana tu kwenye nafasi, wakati kuna watu wenye vigezo mnawawacha
 
navin dippe

Ndo maana wanawake wengi sana huko chuoni hua wanatoka na ziro za nguvu lakini wanapenya kwa hongo ya ngono,wachache sana wanaojitahidi kwa akili zao,huyo mkeo muache akae nyumbani atakuja kukuaibisha kazini siku moja kwa ukilaza wake tena mtafutie kitu cha kufanya binafsi na umjenge uwezo,akisema anatafuta kazi mahala pengine nakuhakikishia atapata kwa ngono,

mifano hiyo tunayo tulishaona fikili angemkuta HR asiemjua na anataka kazi ni nn kingetokea?wake zetu wanafanya ngono huko makazini kwa kushindwa kufikili vyema ktk kazi na kuishia kutembea na boss japo siyo wote ila wengi wako hivyo nimeona kwa macho yangu haya!

Uko sawa mkuu.. Big up
 
Last edited by a moderator:
Niliiamini stori

mpaka ilipofika sehemu ya kulala a tight na mkanda ndo nikajua ni utunzi...
 
Wewe Sio Afisa Utumishi Labda Ni Mwandishi Wa Habari Wa Globo Publisha

Utunzi Wako Kama Wa Bosi Wako Shigongo!
 
Back
Top Bottom