Mke wangu amepata zero kwenye interview, ananilaumu

Mke wangu amepata zero kwenye interview, ananilaumu

Watu wenye elimu nzuri wanakosa ajira kwa ajili ya watu kama nyie mnagawana nafasi za kazi kweli tz watu wake imelaaniwa na nani.....acha upate adhabu ya kunyimwa papuchi kabisa ndoroboooo wewee
 
hahaha PANGA BOY asee mbn kaz ndg km hakupi papuchi tafuta kwingine ataakaa cwa tuuu.umpe ajira kilaza kisa mke ndooorobooooooo www
 
Watu wenye elimu nzuri wanakosa ajira kwa ajili ya watu kama nyie mnagawana nafasi za kazi kweli tz watu wake imelaaniwa na nani.....acha upate adhabu ya kunyimwa papuchi kabisa ndoroboooo wewee
Ha ha zigo la misumali hilo kulichukua yataka moyo
 
Kwa nn hukumpatia maswali na majibu ya mtihani kabla ya kwenda kwenye mtihani? Coz hats ikimuongezea marks wakati hajajibu jibu sahihi no hatari kwani auditors watagundua kirahisi. Mimi na nafikiri ulikosea tokea mwanzoni kwa poor approach,
 
Mkuu wewe hapo ulipo ni baba wa watoto wawili kuwa mpole tu tunza kazi yako ule familia yako akili zingine za hawa wake ni stress sometimes ila koz wewe mwanaume kaza buti ana focus kwenye familia zaidi ipo siku ata elewa.
 
Kuna taasisi moja nilifanya kazi miaka ya nyuma, ilikuwa hairuhusiwi family related employees kuajiriwa. Endapo umedanganya, ama mumeoana mkiwa tayari ni wafanyakazi, basi mmoja sharti aache kazi. Sasa huku kwa mtoa mada unapewa nafasi uajiri MKEO?
 
mtafutie biashara
ukishaanza ndoa bwana shule inakua ngumu....
majukumu
 
Kafanya kusudi, anajua wewe upo huwezi kumuacha... kaandika jina tu hapo...
 
Wanawake wengi ndivyo walivyo skishindw kitu chochote ama akikasirishwa na mtu hasira zote na lawama huzileta nyumbani
 
fukuza haraka sana atakuzalia viazi huyo mwishowe uanze kulalamika!
 
Huyo ulimuonea bureee! Kampuni yenu ni feki tu maana ajira ni kugawana. hata kama angeajiliwa hakuna tatizo maana kampuni haitafika kokote!!
 
Kama bado haelewi kuwa kupata kwake 2/50 alifeli basi

Hana tofauti na Jesca yule wa udom.

Hakika huyu mama yetu prof.hatamwacha huyo.
 
mi naona upo sawa.. kwanza angeweza kuwa mzigo na lawama kazini
pili, kufanya kazi na mke wako ofisi moja ni stress tupu
 
".....Kwa kweli nimechoka juzi nilikua naongea na rafiki yake kuhusu huu mgogoro kwa kweli alinifariji vizuri hadi nikafikria kuwa ni bora niwepo nae tu ukichukulia kuwa kwa sasa sipati conjugal rights ..."

Tatizo sio zero ya mkeo, tatizo lako ni hicho ulichoandika hapo, nimenukuu tu mkuu.
 
Back
Top Bottom