Mke wangu amepata zero kwenye interview, ananilaumu

Mke wangu amepata zero kwenye interview, ananilaumu

Hhhaaaaa nimefurahia hapo tu kwenye kuvaa tait mbili na surual na mkanda juu hhhaaaaaa
 
pole kwa kuoa dubwasha walilochovya wenzako lakini una moyo!
 
Nyie ndio mnaoharibia wenye uwezo wa kufanya kazi na kuendekeza nchi yetu nafasi na kupeana

Mnatia aibu, sasa kwanini mnasumbua kuomva watu qafanye interview

Shauri yako na mkeo ngoja siku aje akutangaze utakoma, kama akili hana ni hana ka sivyo ulimoa maswali na angepasi.

Mtajiju
 
NB
Tuna watoto wawili

Mkeo ni kilaza.

Halafu kuna watu huwa wanadai eti watoto hurithi akili kwa asilimia 100 [jambo ambalo sikubaliani nalo kabisa] toka kwa mama:becky:.

Hivyo basi, kwa msingi, wanao nao watakuwa vilaza kama mama yao.
 
Yani story za jf ukizitafakar unaishia kucheka tu.mkuu ofic yenu inajishughulisha na utoaji wa huduma gan?
 
Kwa Tanzania hakuna tv iliyoweza habari,huwa nawakubali manyang"au the citizen tv wako njema sana kwenye habari zote,studios zao nzuri wanajua kuwavisha hosts,picha quality na website yao na social media iko active...Tanzania hatuna tv station iliyo serious kwenye news wao ni kuturushia vipashio vya habari tu na si habari yenyewe hao itv hata kutafsiri maelezo ya kizungu shida,studio designs tv zetu zote hamna kitu...hebu jifunzeni citizen tv hata kamera movements za ukweli...Picha nyingi ni chafu hazina stability...idara za graphics ndo kabisaaaa hoi vigraphix vya habari kama vimebuniwa na wanafunzi?...nenda uone gfx za citizen ziko poa...rekebisheni tv za Tanzania ZOTE zinaboa sana kwenye news bulletins...hebu mwekezaji serious atuletee tv kama citizen na aajiri watu wanaojielewa tuone kama hivi vihabari vyenu vya dondoo ataangalia mtu...hebu cheki mfano citizen @ 9 kule citizen tv ni habari kwa kina tena zile self made sio nyie hapa mnashinda habari maelezo kutwa kutuletea habari za semina....leteni Societal based nipige kama kidoogo alivojaribu j muro wakati ule....Nitarudi ngoja nipige pafu moja kwanza.... 😡

Ni kweli wanatakiwa wajipange , Taarifa ya HABARI ya saa mbili usiku ni kama ndo ya kutwa nzima. Sasa inapokuwa shallow tunashindwa kuwaelewa.Mie nahisi ni uvivu tu wa kuandaa habari hasa za MICHEZO.Mara utasikia kombe la mbuzi, mara ndondo cup nk. Ovyo.BADIRIKENI
 
Hongera kwa kuweka ukweli wa namna mnavyogawana kazi huku mkitangaza kazi kwa usaili wa watu zaidi ya 1000 na hii ni kampuni nyingi zinafanya hivyo..

vipi shemeji hafika huku MMU,
usije ndo ukaongeza tatizo mkuu.
 
Sasa si ungempa desa la interview before... yupo sahihi kabisa kukununia na kukunyima papuchi yake unless otherwise...ina maana ulikuwa hujui ukilaza wa mkeo na ujue namna ya kumsaidia..!
 
Duu ngoja kwanza nikajisomee namna ya kudeal na issue kama hizi!
Kumbe degree za siku hizi hata vilaza wanagonga ma -GPA ya juu!
 
Wakuu amani iwe kwenu
Mimi ni afisa utumishi kwenye kampuni moja hivi hapa dar
Hivi karibuni bodi ilitengeneza nafasi 12 Mpya za kazi na kuzitangaza
Viongozi waligawana nafasi nafasi tatu kila mmoja na Mimi kuniachia 3
Huwa inakua hivyo kila tunapoajiri, katika hizo nafasi tatu nilizopewa nilipanga moja nimpe wife ambae amemaliza chuo mwaka Jana, nyingine ni Mshikaji wangu ambae aliniandalia pesa, na ya mwisho nimpe Rafiki Wa wife ambae wife mwenyewe aliniomba

Mimi na wife tulioana akiwa na elimu ya form six hakuweza kuendelea kuna matatizo yalijitokeza, hivyo baada ya kumuoa ndipo nikampeleka chuo baada ya kukaa miaka 3 nyumbani

Mwaka Jana ndo amemaliza, so hivi juzi tukamwita kwa mtihani pamoja na wenzie kama 100 hivi tuliowachuja

Matokeo yalipotoka akawa amepata 2 ya 50 mi naita sifuri maana nilimuongezea Mimi hizo mbili wakati nasahihisha

Bosi wangu akasema niamue nwenywe kama namchukua na matokeo hayo siku wakija auditors jumba bovu litaniangukia ni vyema nikasubiri nafasi zingine
Hivyo wale wengine 11 akiwemo na Rafiki yake wakaitwa kwa kazi

Sasa ndani kuna ugomvi kati yangu na mke wangu anasema ningemchykua hivyo hivyo hata kama kafeli
Nimemwelewesha hataki kuelewa kaninunia wiki sasa, hatuongeleshani tunaamka kama mabubu
Usiku saa ya kulala anavaa suruali za tight mbili na jeans juu na mkanda ndo analala tena kwenye kona ya kitanda
Nikimgusa ni ugomvi

Anasema ninatembea na Rafiki yake niliempa kazi, nikimwelewesha kuwa yule alifaulu mtihani anadai tunamsaliti

Nyumba haina amani sasa

Wadau najiuliza maswali kadhaa
(1) inakuaje graduate akapata 2 ya 50 kwa maswali ambayo wote tuliyasoma sekondari?
Mengine ya primary school?

(2)inakuaje mtu anashindwa hesabu za ratio, kuandaa balance sheet, statement of Acc wakati chuo amepita mitihani na Ku graduate au ndo zile degree za chupi?
Nalazimika kuwaza hivyo maana hainiingii akilini

Nikijaribu kumuuliza haya maswali anakua mkali anasema hataki maongezi

Kwa kweli nimechoka juzi nilikua naongea na Rafiki yake kuhusu huu mgogoro kwa kweli alinifariji vizuri hadi nikafikria kuwa ni bora niwepo nae tu ukichukulia kuwa kwa sasa sipati conjugal rights

Naomba mwongozo wenu

NB
Yaan na kujibeba kote kufanya interview kumbe mshagawana kazi..pole yake mim

imenichekesha San kumbe ulikuwamo katika wale 100 mia
 
Back
Top Bottom