Mke wangu amepata zero kwenye interview, ananilaumu

Mke wangu amepata zero kwenye interview, ananilaumu

Toka na huyo rafiki yake, mkeo niunganishe naye kwamwezi. Akirudi, utampenda na atakuwa ameelewa na mwaka kesho atafaulu paper. Ila watoto ubaki nao
 
usishangae mkuu hii nchi yetu kuna watu wanafaulu hawajui kusoma wala kuandika.
 
Ndiyo maana maendeleo hayatapatikana kama ajira zinatolewa kwa mtindo huu
 
Pole sana mkuu, ila ki ukweli mkeo ni "kiazi kilicho oza huko kichwani", vumilia tu mkuu ndio madhara ya uzuri wa sura na umbo. kama unaweza mpeleke kwa wamasai wakamfundishe namna ya kusuka hata nywele za kimasai tu.
Ange+Kagame3.jpeg

Hahaha...humu JF unaweza kucheka mpaka ukafa!!
 
Tunaomba mods wafungua forum ya mashetani,,, ili uhayawani kama huu ujadiliwe huko asanteni sana wajama
 
Kuna ID nyingi zimeazinshwa kuanzia juzi halafu wanastory ambazo niza kufikirika sana...ok,ngoja tufanye hii ni kwel...muambie tu asubirie nyingine wakat huo akiwa anasoma ili isije kujirudia..
 
si mlisema hao wa darasa la 7 na wa division 5 ndo wife material au mmesahau?
 
Ataenda kuwavulia chupi mabosi wenzako. Utakuta amaitwa kazini
 
naona mada za maafisa watumishi siku hizi zimepamba moto kweli....
 
Pole sana mkuu, ila ki ukweli mkeo ni "kiazi kilicho oza huko kichwani", vumilia tu mkuu ndio madhara ya uzuri wa sura na umbo. kama unaweza mpeleke kwa wamasai wakamfundishe namna ya kusuka hata nywele za kimasai tu.
Ange+Kagame3.jpeg

kwi kwi kwi
 
Kama mlishazoea kupeana siungemuingiza tu kwani wafanyakazi wote simnajuana bwana! Labda we uliingizwa nanani?
 
Hiyo sura iliyowekwa hapo juu usizicheze hizo sura za kinyarwanda ni vipanga hao, zina akili balaa!!labda ungeweka sura za kina sepenga tungekuelewa ww ulieweka picha.
 
Back
Top Bottom