Mke wangu amepata zero kwenye interview, ananilaumu

Mke wangu amepata zero kwenye interview, ananilaumu

Wakuu amani iwe kwenu,

Mimi ni afisa utumishi kwenye kampuni moja hivi hapa Dar es salaam. Hivi karibuni bodi ilitengeneza nafasi 12 mpya za kazi na kuzitangaza.Viongozi waligawana nafasi nafasi tatu kila mmoja na mimi kuniachia 3.

Huwa inakua hivyo kila tunapoajiri, katika hizo nafasi tatu nilizopewa nilipanga moja nimpe wife ambae amemaliza chuo mwaka Jana, nyingine ni mshikaji wangu ambae aliniandalia pesa na ya mwisho nimpe rafiki wa wife ambae wife
mwenyewe aliniomba. Mimi na wife tulioana akiwa na elimu ya form six hakuweza kuendelea kuna matatizo yalijitokeza, hivyo baada ya kumuoa ndipo nikampeleka chuo baada ya kukaa miaka 3 nyumbani.

Mwaka jana ndio amemaliza, so hivi juzi tukamwita kwa mtihani pamoja na wenzie kama 100 hivi tuliowachuja matokeo yalipotoka akawa amepata 2 ya 50 mi naita sifuri maana nilimuongezea mimi hizo mbili wakati nasahihisha.Bosi wangu akasema niamue nwenywe kama namchukua na matokeo hayo siku wakija auditors jumba bovu litaniangukia ni vyema nikasubiri nafasi zingine. Hivyo wale wengine 11 akiwemo na Rafiki yake wakaitwa kwa kazi

Sasa ndani kuna ugomvi kati yangu na mke wangu anasema ningemchykua hivyo hivyo hata kama kafeli. Nimemwelewesha hataki kuelewa kaninunia wiki sasa, hatuongeleshani tunaamka kama mabubu.Usiku saa ya kulala anavaa suruali za tight mbili na jeans juu na mkanda ndo analala tena kwenye kona ya kitanda.Nikimgusa ni ugomvi anasema ninatembea na rafiki yake niliempa kazi, nikimwelewesha kuwa yule alifaulu mtihani anadai tunamsaliti nyumba haina amani sasa.

Wadau najiuliza maswali kadhaa;
(1) Inakuaje graduate akapata 2 ya 50 kwa maswali ambayo wote tuliyasoma sekondari?
Mengine ya primary school?

(2) Inakuaje mtu anashindwa hesabu za ratio, kuandaa balance sheet, statement of ACC wakati chuo amepita mitihani na Ku graduate au ndo zile degree za chupi? Nalazimika kuwaza hivyo maana hainiingii akilini

Nikijaribu kumuuliza haya maswali anakua mkali anasema hataki maongezi. Kwa kweli nimechoka juzi nilikua naongea na rafiki yake kuhusu huu mgogoro kwa kweli alinifariji vizuri hadi nikafikria kuwa ni bora niwepo nae tu ukichukulia kuwa kwa sasa sipati conjugal rights .

Naomba mwongozo wenu

NB:
Tuna watoto wawili
Mkuu isijekuwa ulimkosesha makusudi ili usiwe nae ofisi moja ili ufanye yako vzur
 
Wanawake wengi vichwan hamna kitu, mpaka tuvue kichupi unapata kidigrii chako kwa raha zako, sasa kazi inakuja kwenye interview ndio kibebe hapo.
 
navin dippe

Ndo maana wanawake wengi sana huko chuoni hua wanatoka na ziro za nguvu lakini wanapenya kwa hongo ya ngono,wachache sana wanaojitahidi kwa akili zao,huyo mkeo muache akae nyumbani atakuja kukuaibisha kazini siku moja kwa ukilaza wake tena mtafutie kitu cha kufanya binafsi na umjenge uwezo,akisema anatafuta kazi mahala pengine nakuhakikishia atapata kwa ngono,

mifano hiyo tunayo tulishaona fikili angemkuta HR asiemjua na anataka kazi ni nn kingetokea?wake zetu wanafanya ngono huko makazini kwa kushindwa kufikili vyema ktk kazi na kuishia kutembea na boss japo siyo wote ila wengi wako hivyo nimeona kwa macho yangu haya!
toa mfano
 
yaani mkaita watu kwenyw interview huku tayarj mmeahachaguwa watu wa kuwaajiri???
 
Mara nyingine huwa nataman Final Exams za vyuo zingekuwa zinafanyika ka National Exam za form 2, 4 na 6 ili angalau tupate wasomi stahiki
 
Hahhahahahha umemikumbusha maisha ya chuo mwalimu alishampa sup ya uchumi mke wake yaani mama watoto.
 
Hebu mlete tuition kesho nimfundishe atakuwa kasahau tu, mimi ndio mchawi wa hesabu TZ
 
Back
Top Bottom