Mke wangu amenifanya nimkinai

Mke wangu amenifanya nimkinai

unacheka unamana gani

JF-Expert Member
Joined
Dec 12, 2021
Posts
472
Reaction score
483
Wakuu tumehangaika muda mrefu kutafuta dawa ambayo itamsaidia kuondoa michirizi ila kila dawa tuliojaribu haileti mabadiliko.

Kwa kweli anataka kunifanya nichepuke angali bado nampenda, naumia ila naona kabisa nitashindwa kuvumilia, hii imekuja tangu alipojifungua, AME recover ila michirizi ndio shida.

Mwenye kufahamu Tiba ya uhakika tafadhali!
Screenshot_20211219-101015.jpg
 
Wakuu tumehangaika muda mrefu kutafuta dawa ambayo itamsaidia kuondoa michirizi ila kila dawa tuliojaribu haileti mabadiliko.

Kwa kweli anataka kunifanya nichepuke angali bado nampenda, naumia ila naona kabisa nitashindwa kuvumilia, hii imekuja tangu alipojifungua, AME recover ila michirizi ndio shida.

Mwenye kufahamu Tiba ya uhakika tafadhali!View attachment 2049441
Michirizi ya unene sasa kapungua, kama iko tumboni, ngozi ya tumbo ilivutika sana sasa mtoto katoka lazima hiyo hali itokeem.. Usimkosee mkeo kwa hilo tatizo dogo HAJALITAKA.. huko unakotaka kwenda utabeba mabaya zaidi
 
Wakuu tumehangaika muda mrefu kutafuta dawa ambayo itamsaidia kuondoa michirizi ila kila dawa tuliojaribu haileti mabadiliko.

Kwa kweli anataka kunifanya nichepuke angali bado nampenda, naumia ila naona kabisa nitashindwa kuvumilia, hii imekuja tangu alipojifungua, AME recover ila michirizi ndio shida.

Mwenye kufahamu Tiba ya uhakika tafadhali!View attachment 2049441
Kama michirizi tu inakutoa imani sasa akikatika miguu si utakimbia nyumba kabisa.
 
Wakuu tumehangaika muda mrefu kutafuta dawa ambayo itamsaidia kuondoa michirizi ila kila dawa tuliojaribu haileti mabadiliko.

Kwa kweli anataka kunifanya nichepuke angali bado nampenda, naumia ila naona kabisa nitashindwa kuvumilia, hii imekuja tangu alipojifungua, AME recover ila michirizi ndio shida.

Mwenye kufahamu Tiba ya uhakika tafadhali!View attachment 2049441
kwenye shida na raha maana yake unaijua
 
Michirizi ya unene sasa kapungua, kama iko tumboni, ngozi ya tumbo ilivutika sana sasa mtoto katoka lazima hiyo hali itokeem.. Usimkosee mkeo kwa hilo tatizo dogo HAJALITAKA.. huko unakotaka kwenda utabeba mabaya zaidi
Msaidie sasa, cz hata mke wake atakuwa anahangaika na hiyo michirizi.
 
Wakuu tumehangaika muda mrefu kutafuta dawa ambayo itamsaidia kuondoa michirizi ila kila dawa tuliojaribu haileti mabadiliko.

Kwa kweli anataka kunifanya nichepuke angali bado nampenda, naumia ila naona kabisa nitashindwa kuvumilia, hii imekuja tangu alipojifungua, AME recover ila michirizi ndio shida.

Mwenye kufahamu Tiba ya uhakika tafadhali!View attachment 2049441

Ni sababu ya wewe kuitwa Baba uache ubinafai
 
Enewei tafuteni shea butter Og from ghana achanganye na majivu awe anapaka pia atafute black soap from Ghana ila usitegemee atapaka leo kesho iwe imeisha, it take times kidogo
 
Wakuu tumehangaika muda mrefu kutafuta dawa ambayo itamsaidia kuondoa michirizi ila kila dawa tuliojaribu haileti mabadiliko.

Kwa kweli anataka kunifanya nichepuke angali bado nampenda, naumia ila naona kabisa nitashindwa kuvumilia, hii imekuja tangu alipojifungua, AME recover ila michirizi ndio shida.

Mwenye kufahamu Tiba ya uhakika tafadhali!View attachment 2049441
Yaani kweli unataka kuchepuka kwa sababu ya michirizi kwenye ngozi ya mkeo ambayo umeisabaibisha mwenyewe kwa kumzalisha; kwani yeye alipenda awe hivyo???
Wanaume kama nyie ndio mnafanya wanaume tudharauliwe
Naona kama umeoa wakati haujawa tayari: sijui ni umri wako mdogo?????
 
Mkuu, kama unataka kuchepuka sababu ya michirizi tu, basi sina budi kusema ulioa ili kuhalalisha ngono.

Mkuu, kwa ushauri mdogo tu, tafuta bio-oils hua zinasaidia kwa kiasi fulani.

NB: usichepuke mkuu, pambana zaidi mpaka wife arudi katika hali sawa,na hicho ndicho kinaitwa ku-add value kwa mwenza wako.
 
Wakuu tumehangaika muda mrefu kutafuta dawa ambayo itamsaidia kuondoa michirizi ila kila dawa tuliojaribu haileti mabadiliko.

Kwa kweli anataka kunifanya nichepuke angali bado nampenda, naumia ila naona kabisa nitashindwa kuvumilia, hii imekuja tangu alipojifungua, AME recover ila michirizi ndio shida.

Mwenye kufahamu Tiba ya uhakika tafadhali!View attachment 2049441
Nenda kariako kanunue crime moja inaitwa Fair &lovery kazi yake kutoa michirizi
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom