Glenn
JF-Expert Member
- May 23, 2015
- 65,893
- 157,159
Nchi hii wanaume wengi wanaongozwa na nyege.Naomba nisipoteze muda wenu. Kichwa cha habari kinajieleza. Naishi na mke wangu na watoto wetu wadogo wawili. Nilikuwa safarini kikazi kwa muda wa wiki mbili.
Nimerudi nyumbani nimekuta mke wangu ameleta msichana wa kazi aliyebarikiwa mzigo mkubwa na wa kuvutia mno. Msichana huyu anaonekana ana umri kama wa miaka 19 hivi mpaka 21. Sasa nauliza. Nifanyeje?
Pumbafu wewe😂😂