Mke wangu amekutwa HIV+

Yap ni kweli,asilimia kubwa ya wadada wameathirika,yaani ni vibinti vidogo ata 30yrs havijafika.


Sijui ni kwanini??
Tatizo ni ngono zembe vijana hawajali kabisa halafu wapo aged 18/22,july nilisafiri mkoani huko usiku mmoja wakati narudi home nipo na dogo wangu tukasikia (palikuwa na kama kibonde) watu wanabishana β€œoya zamu yangu zamu yangu” nikamuuliza dogo siku hizi bangi huku vijijini mnavuta usiku mmejificha vichakani?akaniambia hao hawavuti bangi ni vijana wa bodaboda wanashirikiana kwenye ngono.

Na hiyo michezo ya kishenzi wanafanya na ma-bar maid wanaotoka mikoa mingine so kama wakaja na maradhi mabaya unaweza kuona jinsi numbers zitakavyosoma hapo.
 
Asee mambo yamebadilika,
 
Pole bro,ukweli ni kwamba alichepuka,sasa msamehw iki mumlee mtoto,na namsifu sana huyo dada maana alikuwa anakulinda bika wewe kujua,hakutaka kukuambukiza

Sent from my SM-N960F using JamiiForums mobile app
 
Pia nina uhakika 100% huyo mtoto sio wako.

Sent from my SM-J260F using JamiiForums mobile app

Tulia kwanza mkuu, umesahau kuku anapokua amekamatwa na kicheche jambo la kwanza unamuokoa kwanza mikononi mwa kicheche kisha unamuonya kwamba sio vizuri kuchunga vichakani?...acha kwanza mzuka wa vipimo vya hiv na madawa utulie. Hiyo topic nyingine iache kwanza kapteni.
 
Pole mkuu be strong, mesoma post na comments mwili umeishiwa nguvu kabisaaaaaaa Mungu akutie nguvu
 
Naomba ufafanuzi kwa anayeelewa juu ya uyo mwanamke kuwa na mapaja ya njano na mgongo njano kisha akiamka inapotea,

Wajuzi hii mbona kama imekaa kiaina ya kuogofya ni nin wakuu.
 
Huenda wakati anajifungua nesi au Daktari aliyemhudumia vifaa alivyotumia hakuvisafisha vizuri
 
Huenda wakati anajifungua nesi au Daktari aliyemhudumia vifaa alivyotumia hakuvisafisha vizuri
Hili nililifikiria Sana,,ukizingatia mtoto alikuwa mkubwa na hivyo alimchana mama yake ikabidi ashonwe. Na pia kuna wengine waliongozana kujifungua siku hiyo! Yote yanawezekana!

Sent from my SM-A013G using JamiiForums mobile app
 
Story haijakamilika
 
Ndoa ni upumbavu tu, halafu hata huyo mtoto hawezi kuwa wa kwako, fanya tathmini vizuri mkuu
 
Wewe jamaa huna akili kabisa ndy umeandika nini hapo??
Weye ndiyo hutumii akili.Ulitaka nianze kulia na kujidai nipo emotional sana.Changamoto kama kweli imempata atulize akili na kutafuta ahueni.Kutoa simulizi reefuuu kama mkojo wa asubuhi haisaidii.
 
Unatetea upumbavu, nyieee
Ni wapi nimetetea kitu?Hivi hata kusoma na kuelewa haujui?Wa wapi weye?Nimemueleza kuwa kama jambo limemfika suluhu siyo kutupa lawama tu na kutaka kuonekana ni msafi.Umepata na maelezo ya mwenzawake au unataka mleta "hadithi" aonewe huruma kama paka mjane?Asimame imara,apambane na changamoto.Kama ni kweli ipo.Maana wengine wanatunga hadithi na kutafuta kupewa pole ili ajisikie burudani tu.Ninyi ndiyo wepesi hata kutapeliwa.πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…