Mke wangu amekutwa HIV+

Mke wangu amekutwa HIV+

Ni mkeo au mwanamke unaishi naye tu akasema ana Mimba? Mimba ni yako au ilimpendeza wewe kuwa baba? Nakuuliza kwa sababu anaonekana kuwa mwanamke mjanja mjanja, anajua hadi kunywa ARV bila stress.
............................Inafikirisha sana mkuu,jamaa ajitathmini mapema ajue chanzo cha yote haya hata huyo anayeita mtoto wake kwa scene hii huyo siyo mwanae.

Huyo mwanamke ni wa kufukuza
 
Ujue ni jambo serious afu nimejikuta nacheka; eti unatamani umweleze mkono akushauri
Kuna vitu kama havijakufika unaweza usivielewe. Nilifanya tukio natamani kuongea na mwanangu wa miaka mitatu nimwelezee anishauri ( kuongea inasaidia sana) japo kuna wengine ukiwaelezea utajutia sana hicho kitendo na kuongeza maumivu.

Heaven Sent njoo utoe ushauri na Faraja huku!!!
 
mi kama siyo maswala ya visa iloyohitaji vipimo nisingepima ,nilipopima niko vizuri nikajisahihisha,halafu bila kupima unakuwa unajiambia lolote liwe kwanza sijui Kama ninao
Ee usipopima yaani unakuwa unajiuliza mwenyewe na unajijibu mwenyewe....jibu unalojipa ni aaaaah itakuwa sina mie mbona nipo vizuri tu
 
Je alipoanza klinik, kwa sasa nilazima kwenda na mumeo. Aliwah kukuambia??


Je Suala la kutoshiriki ngono kuanzia huo mwezi wa 4 /2020..nani aliianzisha???.




Kama amegundilika miezi sita ilopita

Inamaana mtoto alikua na miezi nane... Ikiwa amepata mamabukizi baada ya kujifungua..maana yake alichepuka mtoto akiwa na mwezi kati ya mmoja mpaka sita ili sasa kwa vipimo vyetu, mamabukizi yagundulike kipind ambacho mtoto anamiezi nane..


Yaan Miezi 6 nyuma, mtoto anamiez 8.. Tutoe miezi 2 ya window period..

8-2 =6 ...inamaana alichepuka mtoto akiwa na miezi kati ya 5-6
Je nikwamba Mkeo alikua MALAYA SANA, hata haogopi kubemenda mtoto??


JIBU ni HAPANA.


Aliyapata wapi ?? Sijui

Aliyapata Lini sijui.


Aligundulika lini???... Ungepata kadi yake ya mauzulio ya kliniki za CTC ungejua lini alianza dawa.


Lkn uhakika 100% aligundulika wakati wa Kliniki.



Ukisema baada ya kujifungua...kuna maswali mengi...

Kama wakat wa ujauzito ambapo wanapimwa kwa LAZIMA , alikua sawa....je baada ya kujifungua ndio alienda kupima kwa hiyari??? Aliumwa??? Alivyochupka ndo akaone akapime au nn???..

HOJA YA KUUPATA WAKATI WA BAADA YA KUJIFUNGUA....NAIKATAA



NI AMA ALIKUA NAO TOKA MUDA ILA HAKUJIJUA, KAJA KUJUA ALIPOENDA KUANZA KLINIL, MIMBA IKIWA NAHIYO MIEZI KADHAA...NDIO MAANA AKAJA NA WAZO LA KUTOSHIRIKI NAWEWE NGONO


SHUKURU MUNGU SANA.


KWA SASA UNA MACHAGUO MAWILI

KUMUACHA..sababu ya Kukuchit/ kukuficha ukweli kwa muda mrefu ila ukaendelea kua Supportive kwake na kwa mtoto.

KUENDELEA NAYE KUISHI ...Kwasababu angetaka kukuambukiza angefanya ivooo yaan angekuambia tuu" baby anza kunitombaaa banaa".
NENDENI KITUO CHA AFYA, MKAPEWE ELIMU YA JINSI YA KUISHI NAKUZAA WATOTO SALAMA ,NAWEWE UKIBAKIA KUA SALAMA.


!
mkuu me pia nmemuuliza anasema ni miezi 8 baada ya kujifungua ndo alijua yuko postive bado nna shaka demu alijua kipindi cha clinic
 
mkuu nina swali binafsi.
Hivi haya magonjwa sugu kama canc,hiv,kisukari nk. Tiba zake zimekosekana au kuna agendar
Tumblr_l_146939139596862.jpg
 
Yeaah alimficha jamaaa


Kwa ufupi jamaa wameoana ile ya njoo tuishi


Jamaa alifichwa kwa makusudi



Wanawake wenye maambukizi wanaojijua saikolojia yao inakua hivi

APENDE KUZAA ..huyu atakubembeleza, nipe mimbaaa, nitalea mwenyewe baby na ma blah blaaah mengi

ACHUKIE KUZAAA...kwasababu yakuogopea kumwambukiza mtoto...Huyu ukimgusia habari za Kuzaa naye. ANAKUA KAMA MNYAMA KIFARU KAONA MOTO .
muda mfupi sana hata kama alichepuka aliona nini mpaka akapime ?
 
Back
Top Bottom