Kadhi Mkuu 1
JF-Expert Member
- Feb 4, 2015
- 21,854
- 27,025
Kwani asingepata gono angekwambia? Ujuwe mkeo anapenda michepuko ndo maana kwanza alikataa kumeza dawa akaenda kumpigia simu mchepuko wake wakakubaliana ni kweli ana gono ndo kuja kunywa dawa. Huyo ni mkeo humu jf utaongezewa stress bora uamuzi wako wa kumsamehe ungekuwa wako peke yako au ungepata ushauri toka mdomoni mwa watu na siyo jf. Pole.