Mke wangu amekiri kunisaliti

Mke wangu amekiri kunisaliti

Kwani asingepata gono angekwambia? Ujuwe mkeo anapenda michepuko ndo maana kwanza alikataa kumeza dawa akaenda kumpigia simu mchepuko wake wakakubaliana ni kweli ana gono ndo kuja kunywa dawa. Huyo ni mkeo humu jf utaongezewa stress bora uamuzi wako wa kumsamehe ungekuwa wako peke yako au ungepata ushauri toka mdomoni mwa watu na siyo jf. Pole.
 
Dah hiyo situation ya kumsomesha then unapigiwa ishakuwa ni tatzo sugu sasa
 
mi akichepuka tu wala siombi ushauri kwa mtu,napiga chini maisha yanaendelea silei maradhi
 
Kama umeamua kumsamehe mmsamehe tu, but kama moyo unauma chepuka na wewe au mwambie aende kwao kwanza hadi roho iache kuuma.

Lastly piga chini. Kumbuka kuwa huyo jamaa alokuwa anatembea naye hawawezo kuachana hadi uchaguzi 2025.[/QUOTE]
 
Ni shidhaaaaaaa...... Wake za watu wanajiachia utafikiri hawajaolewa.

Kama umeamua kumsamehe mmsamehe tu, but kama moyo unauma chepuka na wewe au mwambie aende kwao kwanza hadi roho iache kuuma.

Lastly piga chini. Kumbuka kuwa huyo jamaa alokuwa anatembea naye hawawezo kuachana hadi uchaguzi 2025.
...............dhaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa
 
Life is full of strange........do not believe anyone........................................lyf style chuo huijui? Wake za watu wanajiachia utafikiri hawajaolewa.

Kama umeamua kumsamehe mmsamehe tu, but kama moyo unauma chepuka na wewe au mwambie aende kwao kwanza hadi roho iache kuuma.

Lastly piga chini. Kumbuka kuwa huyo jamaa alokuwa anatembea naye hawawezo kuachana hadi uchaguzi 2025.
.....mweeeeeeeeeeeee
 
Unamsomeshe mwanamke wa nini, yeye bada mbichi kakutana na masharo chuoni wamegaragaza mbaya mpaka anaacha kukuheshimu! Hapo bado ngoma tu, ukitaka usalama aache chuo afate kazi moja ya ndoa basi.
......maisha ni safari
 
"Nachoka sana kila nikisikia hizi habari dhaaaaaa hii sasa ishakuwa tabu kiasi kwamba unaweza fikilia kuuwa mtu..........
Shenzy type yaani mimi wakati anamaliza kusema hiyo nilichepuka atajikuta virago vyake vipo nje vinagaragara...vijana tunaoowa miaka hii tuwe makini ndugu'zanguni wanawake(sio wote)wengi wamekuwa na tamaa za kijinga we mtu umeacha mme nyumbani unaenda mvulia mwingine ch*pi hata hujiulizi,imefikia mpaka kuleta magonjwa nyumbani kwa mmeo inaonyesha ni jinsi gani alivyo hopeless hata msimamo kwamba mchepuko uvae condom hana!!!!!shit me nitaondoka na shingo yaani nimetulia mwanamke aniletee dharau ndani,labda aongee lugha ya malaika ndo nitamwelewa.

Dhaaaa....shidhaaa
 
Hii story hata kama ni ya kutunga ina fundisho ndani yake.Ukipata tatizo kama hili dawa yake ni hii.Muite mkeo tena mweleze unavyompenda na kumuamini na jinsi ulivyoumia kwa alichokifanya alafu mwambie umemsamehe,samehe kutoka moyoni kabisa then usimuulize tena kuhusu hilo jambo Mungu atampa majuto ndani ya nafsi yake.
Kuhusu kazi akipata mbali usikubali aende fuatilia uhamisho huyo mkeo hawezi kujiongoza mwenyewe akiwa mbali na wewe,au fungua mradi unaoendana na fani yake,akienda mbali atachepuka tena coz hadi mwanamke achepuke lazima atakuwa hajielewi na hapo amekudanganya. tofauti.(mtu hawezi kukiri ukweli kwa idadi ya chepuko yaani alifanya mara ngapi au na watu wangapi)Inauma lakini samehe utaona matunda yake.

Mungu ni mwaminifu sana....
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom