Hii story hata kama ni ya kutunga ina fundisho ndani yake.Ukipata tatizo kama hili dawa yake ni hii.Muite mkeo tena mweleze unavyompenda na kumuamini na jinsi ulivyoumia kwa alichokifanya alafu mwambie umemsamehe,samehe kutoka moyoni kabisa then usimuulize tena kuhusu hilo jambo Mungu atampa majuto ndani ya nafsi yake.
Kuhusu kazi akipata mbali usikubali aende fuatilia uhamisho huyo mkeo hawezi kujiongoza mwenyewe akiwa mbali na wewe,au fungua mradi unaoendana na fani yake,akienda mbali atachepuka tena coz hadi mwanamke achepuke mara 3 lazima atakuwa hajielewi na hapo amekudanganya mara 3 zidisha mara 4 au labda kama alichepuka na watu 3 tofauti.(mtu hawezi kukiri ukweli kwa idadi ya chepuko yaani alifanya mara ngapi au na watu wangapi)Inauma lakini samehe utaona matunda yake.