wajingawatu
JF-Expert Member
- Jan 20, 2013
- 2,051
- 2,462
Hongera sana kwa malezo yako murua. Je, kwa sasa unamshauri nini huyu mkaka i.e. afanye nini?Huyo bado anakula ujana kaolewa bado mdogo sana na hawezi kuacha kuchepuka. Na aliolewa na we we baada ya kuwa hana options. Hakupendi huyo anakutumia tu na lazma aje akuache.
Pole sana the more anavosoma ndo mapenzi yatakavozidi kuisha.