Mke wangu amekiri anajichua, ndoa yetu hatarini

Mke wangu amekiri anajichua, ndoa yetu hatarini

Status
Not open for further replies.
inaonekana tatizo ni kubwa kwenye ndoa yako mkuu
Sidhani kama hiyo ni sababu pekee ya matatizo waliyonayo nao. Ndoa nyingi sana zimeaanzia na "nina mimba yako" na still watu wamedumu. Inabidi tu wawe na mawasiliano imara, waongee kwa kina kila mtu anataka awe handled vipi.
 
Habari wana JF,

Yaliyo nikuta usiku wa kuamkia leo sina wa kumueleza kwa heshima ya mke wangu na nyumba yangu, ila kwakua JF hakuna anaenifahamu wala kumfahamu mke wangu bila shaka sitokua namzalilisha wala kujidhalilisha ukizingatia kizazi chetu hiki hatuna wazee wala wataalamu wa kuwaamini zaid ya kutufilisi tu.

Katika maisha yangu niliapa na kuishi katika kiapo hiko mpaka leo kwamba nitamuheshimu mke wangu na sito msaliti kamwe ili watoto wetu wasidhurike pindi tutakapo achana kwani nimepanga kuishi na mke mpaka kifo na kua responsible kwa kila kitu cha familia yangu.

Mahusiano yetu yakuishi pamoja yalisababishwa na mimba pamoj na mapenzi tukaamua tuishi pamoja kwani tumeendana, niliulea ule ujauzito japo sikua na kazi.Mke wangu ni mvumilivu sana mwenye msimamo na uaminifu ili mbidi afanye kazi mpaka mimba ilipofika miezi nane ili alinde nyumba kwakua mimi nilikua naunga unga na vibiashara vinavokufa kufa.

Kipindi cha ujauzito mke wangu alikata hamu ya tendo la ndoa ikawa mpaka mara moja kwa miez mitatu labda atajisjia, hivo nilikua napata taabu ukizingatia mke wangu ni mzuri na mimba ilizidi kumpendezesha sa ilikua kazi kulala au kushinda nae hivi hivi maana tumeizoea kushinda bila nguo ama nguo za ndan tu.

Tatizo likaja mimi kulazimisha kufanya mapenzi yeye akiwa hataki akawa anakubali ili kuniridhisha bila ushirikiano na mimi nikawa nalazimisha kumaliza haraka ili nisipate shida, akawa ndo mchezo hamna kumuandaa kwasababu nikimshika anasema namkera na mimi zile sehemu zangu nnazopenda kugusa zoote nimekatazwa namkera.

Tatizo limeamia kwangu imekua mazoea na yeye bado anaendelea kudai namkera nikimshika huku akilalamika simuandai namuacha hajatosheka na maumivu maana nami hata speed imepungua sipandi mda mrefu tena sasa tunaenda mwaka na nusu zaidi tangu haya maisha ya kutokufurahia unyumba.

Juzi nilipata safari ya msiba nikaenda mkoa siku ya kurudi tangu jana yake tulichat mambo ya mapenzi nikamuambia umeniaamsha nakesho narudi mapema nikupe dozi isiyo ya msamaha maana nimezoea kumwambia sorry kila tukimaliza kwakua najua sijamfikisha. Sasa nilijiapiza kiasikolojia nikifika leo mke wangu atafurahi.

Nilipofika kanipokea fresh na mtoto alilala mapema basi nami nikaanza kua romantick kwa maneno na kumshika shika najua mpaka mida flani hivi atakua fresh, nashangaa alinigomea akasema hajiskii huku mimi nikiwa moto kwa hisia, hua situmii nguvu nikamwambia naumia ila kama hujisikia nitavumilia japo sio sawa kuniandaa kisaikolojia alafu unikatae.

Kitandani alilala mapema mimi usingizi uligoma sa hua tunalala utupu nikaona mlalo flani hivi nikajua labda anataka nikaanza kumchezea tena karibu robo saa akashtuka akazidi kunipiga biti nikatulia sa na mimi nikaona tabu ya nini nikajilipua na ''masterbation'' (kujichua) asubuhi nikamwambia tufanyeje ili nisijenikapotea nikarudia ''masterbation'' (kujichua) maana nilikua mwanachama wa muda mrefu hapo awali na ili tuokoe ndoa yetu.Alihuzunika akakasirika nikamplease nikamwambia sitorudia ila kila mmoja atimize wajibu wake.

Mimi usiku ule nilienda mishindo mitatu ya masterbation kwaivo nilikua hoi kesho yake wala siku mtamani sasa na yeye jioni akaanza kunipa amsha kimapenzi anataka sex nikajiminya kidume japo nilijihisi hamna kitu tukafanya safari ilikua ndefu kiasi sema sikumuandaa fresh kama kawaida akawa yupo moto bado mihoi coz nilijilazimisha.

Sa jana nikiwa kazini tukachat kimapenzi tena basi nikajua leo napewa mzigo na nitauandaa kweli kweli nirudi kama zamani kufika nyumbani kanigomea kasema hajisikii kabisa nikaamua kupanda kitandani kulala akaniita kochini akaniambia anakitu anataka kuniambia nikamsikiliza akaniambia hua hafurahii tendo la ndoa mpaka anakosa hamu kisa mi simwandai nilichoka nikalalamika nikamweleza tatizo yeye alijitetea na mwishoe akaniambia na yeye leo amefanya "Masterbation'' (kujichua) wakati mimi nipo kazini hivo hana hamu"

Niliona dunia giza ndoto ya familia yangu kua moja milele inasambaratika nikashindwa kulala nyumbani maana iliniuma nikijuchukulia kama si mwanaume usiku ule yaani ni kama mwanamke mwenzake maana simsisimui tena, nikalala gest asubuhi nimerudi kujiandaa yeye kanuna nipo kazini nimechoka machozi yanadondoka sijui hatma yangu na familia yangu tena wakati huu nnaojiandaa kulipa mahari na kufunga nae ndoa.

Mungu anisaidie.
Mkuu nitafute pm,ntakupa suluhisho la tatizo lako.Hata mimi yaliwahi kunikuta.
 
Poleni sana.lakini nadhani unachukulia haya mambo kiundani sana,au niseme your very emotional man,ambayo kwa dunia hii ya leo ningekushauri upunguze kiyasi,leo hilo unakosa raha na kutokwa na machozi ukija mkutwa anasangwa unaweza kufa kabisa.
kama unaweza kujichua bao 3 bado unajihisi sio mwanamme? mwenye lake hawachi huyo hakuanza hiyo kazi jana au juzi ameanza zamani
sasa anaanza kukuvutia majanini akuone reaction yako akianza na hili utafanyaje.... mweleze msimamo wako ukiwa kama mume au subiri kwanza
mambo ya Ndoa...........
Nimeshindwa kukuinbox ila am happy kwasababu umenijua mi ni mtu wa aina gani, kama ni mtaalamu wa pysicology plz ni inbox unisaidie zaid
 
Duuh pole sana kaka kiukweli hilo tatizo lako ndiyo nalolipitia na Mimi kipindi hiki mchumba wangu mja mzito na Hana hamu na Mimi kabisa kwa chochote siyo kushare kitandan a kumshika hutaki,vitu ulivyoelezea vyote ndiyo dalili nazozipitia mpaka yakufike ndiyo utajua maumivu yake
 
Sidhani kama hiyo ni sababu pekee ya matatizo waliyonayo nao. Ndoa nyingi sana zimeaanzia na "nina mimba yako" na still watu wamedumu. Inabidi tu wawe na mawasiliano imara, waongee kwa kina kila mtu anataka awe handled vipi.
well said heaven na sidhani kama ni sahihi kusema "nilimuoa kwasababu alikuwa na mimba yangu" huenda hicho ndicho kinachoitafuna hii ndoa
 
Ukifanya wewe sawa, akifanya mwenzio tabu. Stop being a hypocrite!
 
well said heaven na sidhani kama ni sahihi kusema "nilimuoa kwasababu alikuwa na mimba yangu" huenda hicho ndicho kinachoitafuna hii ndoa
Yeah sure coz it's like "tuliamua tu kuoana kwa sababu alikuwa na mimba". Anyway hiyo nayo ni sababu pia ya watu kuoana siku hizi, so waongee tu vizuri, wamalize matatizo yao na ndoa iendelee
 
tena huyu jamaa anapiga punyeto mabao matatu huyu ndiyo tatizo
naona alikuwa anaangalia papuche ya mkewe na kalio si amesema wanalala utupu ndo maana akashusha mzigo nashangaa mkewe kupiga kamoja analalama ama inawezekana mkewe alimshtukia akipiga punyeto halafu akamwambia kumjaribu...kuona itamuumiza kiasi gani ajabu yeye kuambiwa hivyo anaona kaa familia imesambaratika
 
naona alikuwa anaangalia papuche ya mkewe na kalio si amesema wanalala utupu ndo maana akashusha mzigo nashangaa mkewe kupiga kamoja analalama ama inawezekana mkewe alimshtukia akipiga punyeto halafu akamwambia kumjaribu...kuona itamuumiza kiasi gani ajabu yeye kuambiwa hivyo anaona kaa familia imesambaratika
ha ah haha avumilie tu na wawe wanapiga punyeto pamoja .. kwanza it will be funny ha hahaha
 
Nimeshindwa kukuinbox ila am happy kwasababu umenijua mi ni mtu wa aina gani, kama ni mtaalamu wa pysicology plz ni inbox unisaidie zaid
Apana Mkuu mie sio mtaalam ila nimepitia mengi na umri wangu nimkubwa am 35yrs na maisha ndio hufunza mamboo mengi.
 
Tafuta mshauri wa mambo ya mahusiano kisha mwende wote wawili mtapata suluhisho la tatizo lenu
 
Huyo kuna kidume anambandua tu mkuu....haina haja ya kulia lia jaribu kutuliza akili ili uweze kufanya maamuzi yenye akili
 
Status
Not open for further replies.

Similar Discussions

Back
Top Bottom