Mke wangu alibadilika baada ya kumfungulia biashara. Nifanye nini kuokoa ndoa yangu?

Mimi nikushauri tu; achana na huyu third party. Atapata sababu ya kusambaza mambo yako na mkeo eneo lote hilo, mkeo ataona biashara chungu. Anaweza kwenda hapo dukani akaanza kumbwatukia "kwahiyo umemwambia mumeo mimi ndo nakutaftia mabwana? Si ni umalaya wako" Tayari umefanya jambo dogo kuwa kubwa.

Zungumza na Mkeo kwa uwazi kabisa kuwa kuna vitu kama mume hutovumilia na vitapelekea kuvunja agano lenu. Kama huyo mama ndo kishawishi (i doubt this sana, nahisi huyu mama anatumika tu kama njia na mkeo) basi mwambie Mkeo akae naye mbali. Yeye atajua afanye nini. Hakuna mwenye jukumu la kulinda ndoa yenu zaidi ya nyie wawili.

All in all I pray mrudi katika hali ya awali.
Nimekuelewa mkuu. Ila huyu mama ni mzoefu hilo eneo na kuna vitu vingi sana nimegundua yeye anamuelekeza wife avifanye kwa Siri bila kunishirikisha.

Hivyo nahisi naye ni kirusi hatari sana Kwenye ndoa yangu.

Lakini nimeshamuweka sawa na nimeshavunja ukaribu kwa maana nimewaita yule mwanamke na mume wake na mke wangu pia nikaweka chini nikaomba kiustaarabu tu sitaki ukaribu au urafiki wao uendelee.

Hivyo bado ninachunguza lakini nasubiri kodi iishe nihamishe biashara pale.

Ahsante kwa ushauri mkuu.
 
Mwanamke akiamua kufanywa hana kwamba ni vile anatoka kwenda kwenye biashara au kwenda market.

Biashara iendelee, mwambie aache tabia ambazo huzipendi
Mazingira na kipato kinawabadilisha Sana wanawake zetu. Wanasahau
 
Habari za jumapili wanajamvi.

Niende Moja kwa Moja kwenye mada inayoniumiza kichwa mpaka nakosa amani ya moyo kwa muda wa week sasa.

Mimi na mke wangu tangu tufunge ndoa huu ni mwaka wa tisa . Hatukuwahi kuwa na migogoro mikubwa ingawa mikwaruzano ile midogo ilikuwepo.

Sasa katika kipindi cha miaka sita ya ndoa yetu nilimuweka tu nyumbani sikutaka ajishughurishe na biashara yoyote. Mwaka wa sita wa ndoa yetu nilipata ajali ya pikipiki iliyopelekea mimi kuvunjika baadhi ya viungo vya mwili. Hivyo nilikuwa admitted Muhimbili hospital kwa muda wa kama miezi 3 kabla ya kuruhusiwa.

Kutokana na uwekezeji wangu kwa kipindi chote hiki wakati naugua hatukuwahi kupata Shida ya mahitaji ya nyumbani. Baada ya lile tukio nikajiuliza hivi ikitokea nimefariki Huyu mama ataishije na watoto wangu. Nikamshirikisha nimfungulie biashara ili aanze kujifunza mbinu za utafutaji. Nilipopona tukafungua biashara ya kufanya miamala ya simu na kuuza soft drinks jumla na rejareja.

TATIZO:
Miaka mitatu ya hii biashara imeanza kuniletea matatizo Kwenye ndoa. Wanaume wamekuwa wanapiga simu mpaka juma pili Siku ambayo wanajua hafanyi biashara na mbaya zaidi kuna mmoja nilikuta SMS za mitongozo na wife alikuwa ameshaingia king. Sasa nilimtafuta yule kijana na kuongea naye ingawa alisema alikuwa hajui kama yule mke wa mtu tangu sasa hatomsumbua tena. Mke wangu yeye alijitetea kuwa alimwabia yule kijan kuwa yeye ameolewa lakini aliendelea kumsumbua tu.

Hivyo nilifunga biashara for a while nikitafakari nini cha kufanya.

NDUGU WA WIFE:

Hawa watu walianza kuongea maneno ya hivyo sana kuwa mimi sitaki maendeleo ya ndugu yao baada ya kuona sasa hivi ameanza kufanikiwa ndio nataka kumrudisha nyuma bila kuangalia kiini cha tatizo. Wengine mpaka wakadiri kwenda mbali na kusema wao ndio walimpa mtaji niliwauliza ni kiasi gani cha mtaji mlimpa wanasema laki saba. Niliishia kucheka tu kwa sababu hiyo lakini saba haitoshi hata kulipia kodi ya hilo eneo kwa mwaka.

NINACHOOMBA :

Wadau ninachoomba kutoka kwenu ni mawazo jinsi gani niweze kuliweka hili jambo sawa iwe kwa kufunga kabisa biashara yenyewe au vyovyote vile ili mradi ndoa yangu irudi Kwenye amani kama. Mwanzo. Mama mkwe amenikasirikia hivyo yeye sioni kama ni mshauri mzuri kwa mke wangu .

Mniwie radhi kwa maelezo marefu ila nitasoma kila comment ili niweze kupata suluhisho.

Ahsante.
Weka kijana dukani ,

Mke abaki nyumbani.

Jioni ukirudi utaongozana naye kukagua hesabu.

Kuna changamoto nyingi kuoa mwanamke ambaye hakuwa na kazi yoyote au elimu yoyote halafu aje kwako baada ya kumuoa ndo umsomeshe au umtafutie shughuli yà kufanya

Hayo ndiyo madhara yake.

Wanawake ndivyo walivyo.

Mimi nimeshuhudia kwa waalimu wangu wawili wa kiume.

Mwalimu wangu wa kwanza alimsomesha mchumba hadi chuo kikuu na mchumba kupata kazi.Siku ya ndoa mchumba akatoka kuolewa naye akasema siyo taipu yake.

Mwalimu wangu mwingine alioa mke ambaye hakuwa na kazi..Alipomuoa akamuendeleza kielimu na kisha akamtafutia kazi.Baada ya kumtafutia kazi mwanamke jeuli ikaanza ndani ya nyumba.

Ndoa ikavunjika.

Rafiki yangu mwingine alioa mwanamke ambaye hakuwa na kazi na alikuwa ni form four felia.

Akiwa katika uchumba naye akamwandikisha kuristi mitihani akapata crediti ,Walioana na kisha akaenda chuo kurasini mambo ya bandarini.kisha akapata kazi.Walibahatika kupata mtoto mmoja.Mwanamke baada ya kuanza kazi bandarini mambo yakabadilika Ndoa ilivunjika.

Kuna mwingine rafiki yangu alimfungua duka la vifaa vya pikipiki ,Akamuweka mkewe awe ndo muuzaji.Yeye alikuwa na gereji yake sehemu nyingine.
Mwanamke akaanzisha mahusiano na fremu ya jirani wakawa wanaondoka kwenda kulala kwake huyo mwanamke maana mumewe hurudi saa nne usiku.Watu hawakunyimi maneno ,mume akapewa taarifa,Akaandika mtego ,Akawakuta laivu.

USHAURI,

NI VIZURI UKITAKA KUOA UOE MWANAMKE MWENYE SHUGHULI ZAKE AU MWENYE ELIMU YAKE.

LAKINI USIOE MWANAMKE HALAFU WEWE UJE UMSOMESHE KISHA UMTAFUTIE KAZI AU UMFUNGULIE BIASHARA BASI UJUE UMEJITIA KITANZI MWENYEWE.


KWA KESI YA HUYU MDAU HAPO JUU,MIMI NAKUSHAURI

MOSI,Tafuta kijana wa hilo duka na mama muache abaki nyumbani.

Pili,Dhibiti mapato yote,Saa nyingine akiwa na vijisenti vingi huota jeuri.

Tatu,Kama dini yako inaruhusu kuongeza mke basi ni muda muafaka wa kufanya hivyo.

NIULIZE SWALI LOLOTE KAMA HUKU UELEWA AU KWANINI NIMESEMA HIVYO
 
Na
Habari za jumapili wanajamvi.

Niende Moja kwa Moja kwenye mada inayoniumiza kichwa mpaka nakosa amani ya moyo kwa muda wa week sasa.

Mimi na mke wangu tangu tufunge ndoa huu ni mwaka wa tisa . Hatukuwahi kuwa na migogoro mikubwa ingawa mikwaruzano ile midogo ilikuwepo.

Sasa katika kipindi cha miaka sita ya ndoa yetu nilimuweka tu nyumbani sikutaka ajishughurishe na biashara yoyote. Mwaka wa sita wa ndoa yetu nilipata ajali ya pikipiki iliyopelekea mimi kuvunjika baadhi ya viungo vya mwili. Hivyo nilikuwa admitted Muhimbili hospital kwa muda wa kama miezi 3 kabla ya kuruhusiwa.

Kutokana na uwekezeji wangu kwa kipindi chote hiki wakati naugua hatukuwahi kupata Shida ya mahitaji ya nyumbani. Baada ya lile tukio nikajiuliza hivi ikitokea nimefariki Huyu mama ataishije na watoto wangu. Nikamshirikisha nimfungulie biashara ili aanze kujifunza mbinu za utafutaji. Nilipopona tukafungua biashara ya kufanya miamala ya simu na kuuza soft drinks jumla na rejareja.

TATIZO:
Miaka mitatu ya hii biashara imeanza kuniletea matatizo Kwenye ndoa. Wanaume wamekuwa wanapiga simu mpaka juma pili Siku ambayo wanajua hafanyi biashara na mbaya zaidi kuna mmoja nilikuta SMS za mitongozo na wife alikuwa ameshaingia king. Sasa nilimtafuta yule kijana na kuongea naye ingawa alisema alikuwa hajui kama yule mke wa mtu tangu sasa hatomsumbua tena. Mke wangu yeye alijitetea kuwa alimwabia yule kijan kuwa yeye ameolewa lakini aliendelea kumsumbua tu.

Hivyo nilifunga biashara for a while nikitafakari nini cha kufanya.

NDUGU WA WIFE:

Hawa watu walianza kuongea maneno ya hivyo sana kuwa mimi sitaki maendeleo ya ndugu yao baada ya kuona sasa hivi ameanza kufanikiwa ndio nataka kumrudisha nyuma bila kuangalia kiini cha tatizo. Wengine mpaka wakadiri kwenda mbali na kusema wao ndio walimpa mtaji niliwauliza ni kiasi gani cha mtaji mlimpa wanasema laki saba. Niliishia kucheka tu kwa sababu hiyo lakini saba haitoshi hata kulipia kodi ya hilo eneo kwa mwaka.

NINACHOOMBA :

Wadau ninachoomba kutoka kwenu ni mawazo jinsi gani niweze kuliweka hili jambo sawa iwe kwa kufunga kabisa biashara yenyewe au vyovyote vile ili mradi ndoa yangu irudi Kwenye amani kama. Mwanzo. Mama mkwe amenikasirikia hivyo yeye sioni kama ni mshauri mzuri kwa mke wangu .

Mniwie radhi kwa maelezo marefu ila nitasoma kila comment ili niweze kupata suluhisho.

Ahsante.
Na kama upo Dar ukihitaji tuonane kwa misaada zaidi na nikukutanidhe na watu nilokutajia hapo waliokuwa na changamoto kama za kwako mpeane ushauri ni sawa tu
 
Mazingira na kipato kinawabadilisha Sana wanawake zetu. Wanasahau
Kuna mmoja mtaan kwetu juzikati kafumaniwa na mumewe.

Alikuwa mama wa nyumbani, basi jamaa akamfungulia biashara na usafiri juu. Biashara ikashamiri

Baadae jamaa katonywa nyendo za mkewe siyo. Kuna njemba inamkula. Jamaa kafuatilia kimya kimya hadi kawafuma

Sijui kinachoendelea ila wambea tunaona dukani yupo mdogo wake mume

Cc Heaven Sent
 
Well said , dhamira yetu ni Nzuri lakini inataka kutuharibia ndoa. Swala la kufanywa ni lengine ila kugundua ndio Shida. Afanywe lakini asioneshe ishara hizo mbele yangu.

Nimeshaongea yote hayo ila napata Shida kwa ndugu zake hawamshauri kurekebisha ndoa yake bali wanamfundisha kukaza ili aendelee na biashara yake.

So nitazingatia pia ushauri wako Mamndenyi

Ahsante
Ndugu zake wanafaidika pia na hiyo biashara kuwepo .... So lazima wakaze kiaina😂😄😄
 
Usimchunguze mwanamke Kam huna Nia ya kumuacha ach kbsa ingawa unaweza kumchunguza ila ukijuwa itabid ulete shazi mbaya mpige haswa na msenda her home kwa muda wa week kazaa huku akiwa amepigwa kelbu za kutosha bas baadae kamrejee akili itakuwa imemrudi
 
Hapa nimeshamdukua naendelea kufuatilia nyendo zake bila kujua ingawa kuna rafiki yake nahisi ndio aliyemtafutia huyo bwana sasa hivi ndio anatumia simu yake.

Maana niliona SMS imetumwa akiomba simu ili awasiliana na huyo mtu.

Ahsante mzee wa kula tunda kimasihara.

Duh hapo huna mke pole mkuu
Huyo kaamua na kudhamiria kuchepuka...au kitandani humfikishi??
Hata hivyo hakuna justification ya kutoka nje inaonekana mkeo kuna kitu kipya kakiona kwa huyo jamaa na wewe huna..
Hili sio kosa lako ni ulimbukeni wa mkeo tu.
Hajui thamani ya kuwa mke wa mtu na hajui uzito wa agano mlilo jiwekea
Ushauri fungua biashara iendelee simamia tu wewe mwenyewe kwa sasa mpaka utakapo pata muafaka kuhusu yeye....
Usipoteze pesa pia kwasababu ya mapenzi
 
Ni vile unajiweka na ndivyo itakua. Mblna tunafanya biashara miaka sasa na hakuna tofauti kwny mahusiano?.yani mimi huwa sitaki mazoea ya kijinga na huwa straight kwny point nampa mtu ukweli wake akinuna anune akiendelea kuja aje tunaheshimiana. Sio kumchekea mtu kisa mteja mpk akugande kama ruba No. So ni vile mkeo alikua anawachekea chekea.
Sasa Kama una umbo Kama juma Nature mwanaume gani atahangaika na wewe?
 
Sasa Kama una umbo Kama juma Nature mwanaume gani atahangaika na wewe?
Jitahidi uwe hata senior member basi ili twende sawa. Hapo ndo akili yako ilipoishia mnadhani wanaojiheshimu au wenye misimamo basi ni wabaya hahaa pole sanaaa. I wish ungekua level zangu tuendeleze mjadala otherwise endelea kulima viazi.
 
Nasikitika kukutaarifu kuwa biashara si sababu ya kufanya umalaya,ile pengine ni tabia yake tu sema hukuwahi kubaini pengine kwa sababu ulikuwa busy sana,na ni msiri sana.
 
Niliwahi semea kule uzi wa kula kimasihara kwamba kumuweka mkeo au mchumba kwenye biashara hasa za uwakala tunawashukuru nyie wanaume walioamua kufanya hivyo!

Mkuu hata ukimpa laini nyingine tutamla na hutakaa ujue katu, na kibaya zaidi ndo utamwamin na kuona kama kabadilika, kumbe la hasha.
Kuna mmoja wapo kasema rule moja wapo yeye ndio tataanza kunitafuta nikaona isiwe tabu hiyo imekaa poaw.

Unajua zile biashara anakutana na watu wa kila aina wenye ushawishi, watongozaji mahili, wenye vihela vya kuharibu, wenye waliopulizia marashi/perfume, wabaya na wagumu, ma handsome, wanaojua kupangilia nguo!

Yan aruke viunzi vyote hivo kisa tu eti unamwekea namba ya simu ya ofisi hahaaaa, mpe hata ya TCRA Makao makuu ukweli ni kwamba kama utamdisplay tunamkula. Over

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Shida ni m
Habari za jumapili wanajamvi.

Niende Moja kwa Moja kwenye mada inayoniumiza kichwa mpaka nakosa amani ya moyo kwa muda wa week sasa.

Mimi na mke wangu tangu tufunge ndoa huu ni mwaka wa tisa . Hatukuwahi kuwa na migogoro mikubwa ingawa mikwaruzano ile midogo ilikuwepo.

Sasa katika kipindi cha miaka sita ya ndoa yetu nilimuweka tu nyumbani sikutaka ajishughurishe na biashara yoyote. Mwaka wa sita wa ndoa yetu nilipata ajali ya pikipiki iliyopelekea mimi kuvunjika baadhi ya viungo vya mwili. Hivyo nilikuwa admitted Muhimbili hospital kwa muda wa kama miezi 3 kabla ya kuruhusiwa.

Kutokana na uwekezeji wangu kwa kipindi chote hiki wakati naugua hatukuwahi kupata Shida ya mahitaji ya nyumbani. Baada ya lile tukio nikajiuliza hivi ikitokea nimefariki Huyu mama ataishije na watoto wangu. Nikamshirikisha nimfungulie biashara ili aanze kujifunza mbinu za utafutaji. Nilipopona tukafungua biashara ya kufanya miamala ya simu na kuuza soft drinks jumla na rejareja.

TATIZO:
Miaka mitatu ya hii biashara imeanza kuniletea matatizo Kwenye ndoa. Wanaume wamekuwa wanapiga simu mpaka juma pili Siku ambayo wanajua hafanyi biashara na mbaya zaidi kuna mmoja nilikuta SMS za mitongozo na wife alikuwa ameshaingia king. Sasa nilimtafuta yule kijana na kuongea naye ingawa alisema alikuwa hajui kama yule mke wa mtu tangu sasa hatomsumbua tena. Mke wangu yeye alijitetea kuwa alimwabia yule kijan kuwa yeye ameolewa lakini aliendelea kumsumbua tu.

Hivyo nilifunga biashara for a while nikitafakari nini cha kufanya.

NDUGU WA WIFE:

Hawa watu walianza kuongea maneno ya hivyo sana kuwa mimi sitaki maendeleo ya ndugu yao baada ya kuona sasa hivi ameanza kufanikiwa ndio nataka kumrudisha nyuma bila kuangalia kiini cha tatizo. Wengine mpaka wakadiri kwenda mbali na kusema wao ndio walimpa mtaji niliwauliza ni kiasi gani cha mtaji mlimpa wanasema laki saba. Niliishia kucheka tu kwa sababu hiyo lakini saba haitoshi hata kulipia kodi ya hilo eneo kwa mwaka.

NINACHOOMBA :

Wadau ninachoomba kutoka kwenu ni mawazo jinsi gani niweze kuliweka hili jambo sawa iwe kwa kufunga kabisa biashara yenyewe au vyovyote vile ili mradi ndoa yangu irudi Kwenye amani kama. Mwanzo. Mama mkwe amenikasirikia hivyo yeye sioni kama ni mshauri mzuri kwa mke wangu .

Mniwie radhi kwa maelezo marefu ila nitasoma kila comment ili niweze kupata suluhisho.

Ahsante.
Tatizo ni kwambaq anaamini una hela nyingi kuliko unayompa anadhani unafanyia mambo yako kimya kimya ndo maana anafanya wizi na uzuri akipunguza kesho unaongeza lakini pole🤔🤔🤔
 
Weka kijana dukani ,

Mke abaki nyumbani.

Jioni ukirudi utaongozana naye kukagua hesabu.

Kuna changamoto nyingi kuoa mwanamke ambaye hakuwa na kazi yoyote au elimu yoyote halafu aje kwako baada ya kumuoa ndo umsomeshe au umtafutie shughuli yà kufanya

Hayo ndiyo madhara yake.

Wanawake ndivyo walivyo.

Mimi nimeshuhudia kwa waalimu wangu wawili wa kiume.

Mwalimu wangu wa kwanza alimsomesha mchumba hadi chuo kikuu na mchumba kupata kazi.Siku ya ndoa mchumba akatoka kuolewa naye akasema siyo taipu yake.

Mwalimu wangu mwingine alioa mke ambaye hakuwa na kazi..Alipomuoa akamuendeleza kielimu na kisha akamtafutia kazi.Baada ya kumtafutia kazi mwanamke jeuli ikaanza ndani ya nyumba.

Ndoa ikavunjika.

Rafiki yangu mwingine alioa mwanamke ambaye hakuwa na kazi na alikuwa ni form four felia.

Akiwa katika uchumba naye akamwandikisha kuristi mitihani akapata crediti ,Walioana na kisha akaenda chuo kurasini mambo ya bandarini.kisha akapata kazi.Walibahatika kupata mtoto mmoja.Mwanamke baada ya kuanza kazi bandarini mambo yakabadilika Ndoa ilivunjika.

Kuna mwingine rafiki yangu alimfungua duka la vifaa vya pikipiki ,Akamuweka mkewe awe ndo muuzaji.Yeye alikuwa na gereji yake sehemu nyingine.
Mwanamke akaanzisha mahusiano na fremu ya jirani wakawa wanaondoka kwenda kulala kwake huyo mwanamke maana mumewe hurudi saa nne usiku.Watu hawakunyimi maneno ,mume akapewa taarifa,Akaandika mtego ,Akawakuta laivu.

USHAURI,

NI VIZURI UKITAKA KUOA UOE MWANAMKE MWENYE SHUGHULI ZAKE AU MWENYE ELIMU YAKE.

LAKINI USIOE MWANAMKE HALAFU WEWE UJE UMSOMESHE KISHA UMTAFUTIE KAZI AU UMFUNGULIE BIASHARA BASI UJUE UMEJITIA KITANZI MWENYEWE.


KWA KESI YA HUYU MDAU HAPO JUU,MIMI NAKUSHAURI

MOSI,Tafuta kijana wa hilo duka na mama muache abaki nyumbani.

Pili,Dhibiti mapato yote,Saa nyingine akiwa na vijisenti vingi huota jeuri.

Tatu,Kama dini yako inaruhusu kuongeza mke basi ni muda muafaka wa kufanya hivyo.

NIULIZE SWALI LOLOTE KAMA HUKU UELEWA AU KWANINI NIMESEMA HIVYO
Mkuu ushauri wako umegusa sehemu nyingi sana. Ila mke wangu hadi ninamuoa alikuwa muhitimu wa CBE hivyo kutokana na changamoto za Ajira na yeye hakuwa na Shida kihivyo akawa ametulia tu home.

Kikubwa nilichozingatia hapa ni kuhusu watoto in case nikafariki ingali wapo wadogo nikihofia kuharibu ndoto zao kwa kutomsaidia mama yao kutafuta hela. Hivyo niliamua kufungua biashara kwa maslahi Mapana ya familia yetu.

Ila baada ya maamuzi yangu magumu naona biashara inaenda vizuri nilimuweka mtu mwingine pale.

Sasa hivi amerudi home analalamika kwa ndugu zake kuwa mimi nina mfumo dume. Lakini dhamira yangu haikuwa mbaya.

Kuhusu kuoa mke wa pili dini inaruhusu ila nahofia Badala ya kutatua tatizo nahisi litaongeza. Wanawake ni walewale mkuu hivyo tabia zao hazitofautiani sana.

Ahsante.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom