funzadume
JF-Expert Member
- Jan 28, 2010
- 13,559
- 21,040
Huu ndio ushauri wa kufuata. Mnawachekea sana hawa wanawake. Mie hata nikirudi nyumbani hamna kuongea ongea na simu ukiconcentrate na simu unakula makofi na kurudi kwenu uje na wazazi na maelezo yaliyonyookaMrudishe kwao hata kwa miezi mitatu, alafu kula mikausho mikali. Alafu yeye mwenyewe atajifunza kama mama yake,hao ndugu zake na hao jamaa zake wanaomtumia meseji wataweza kumhudumia na kumtunza kama ufanyavyo....akirudi atakuwa na funzo la maisha.
Nikulishe ,nikuvishe nikufungulie biashara nikununulie magari, nitunze ukoo wenu halafu unizingue akili. Silei ujinga hata wanangu wanajua hilo