Mke wako ana bosi wake?

Sasa mwanamama kaajiriwa na sote tunajua kwenye ajira kuna walio juu, kati na chini...

Kisa tu ni mwanamke mwenye ndoa ndio asipangiwe safari na boss wake, eboh!

Kama hutaki mke asafiri, mfanye awe maza wa nyumbani umuhudumie...
Huyo kuna kitu kamaanisha, kwamba hiyo safari huyo mwanamke anasafiri na boss wake, na mumewe hana tatizo anakubali??
 
Back
Top Bottom