Kwahiyo boss wake akimpa maelekezo au akitaka asafiri mume inabidi atulie tu.
Kwahiyo boss wake akimpa maelekezo au akitaka asafiri mume inabidi atulie tu.
😂😂😂 Nakuona kaka unavyozeeka bila ndoaKwahiyo boss wake akimpa maelekezo au akitaka asafiri mume inabidi atulie tu.
Anawatafutia presha na visukari 🤣🤣🤣Wtf are you tryin to tell us?
Anawatafutia presha na visukari 🤣🤣🤣
Einstein hakutaka huo ujinga.Watu wenye akili kubwa wengi hawakuwahi kuoa.
KaziKweliKweli/JobTrueTrue
Ana hoja asipuuzwe, ila kaileta muda mbaya 😂😂😂Ana wenge tu...
Ana hoja asipuuzwe, ila kaileta muda mbaya 😂😂😂
Ila maofisini kunachekesha sana 😁Kama mume anavyopewa maelekezo na boss wake anavyotulia na kutekeleza bila ubishi
Tulia mtu asafiri, arudi na perdiem muongeze mchele ndani. Au hujui safari zina hela?Kwahiyo boss wake akimpa maelekezo au akitaka asafiri mume inabidi atulie tu.
Ongeza Isaac newton, franz kafka, the apostle paul, prophet daniel, jeremiah kwa kweli GREAT FIGURES of the past hakuwah kujihusisha na mapenz..Einstein hakutaka huo ujinga.
Huyo kuna kitu kamaanisha, kwamba hiyo safari huyo mwanamke anasafiri na boss wake, na mumewe hana tatizo anakubali??Sasa mwanamama kaajiriwa na sote tunajua kwenye ajira kuna walio juu, kati na chini...
Kisa tu ni mwanamke mwenye ndoa ndio asipangiwe safari na boss wake, eboh!
Kama hutaki mke asafiri, mfanye awe maza wa nyumbani umuhudumie...
Na visukari 😂😂ulitaka kusemaje? mutakuja kutuua na presha