Mke wa Raisi anapoamrisha kiongozi wa serikali kuvunja sheria; wewe ungefanyaje?

sidhani kama hili jambo lina ukweli ndani yake
kwa uzoefu nilionao ref income tax act second schedule president ana tax exemption
ina wezekana watu wa custom waliona mzigo unajina la mheshimiwa wakauacha tena wantakiwa wapewe taarifa kwa maandishi!
lakini mpaka uwe na jina la mtu ambaye anatakiwa kua exempeted,hayo mengine aliyoeleza jamaa ya kutishwa mm sielewi wa sidhani yapo kwa zama hizi labda zamani zama za ujinga

Wala huhitaji kwenda mbali. Nenda pale bandarini waulize watu wa siku nyingi watakuambia!
 
Mkuu kwanza tuwekee jina lake hapa, vinginevyo wewe ni mnafiki na mpiga majungu. Unaficha nini kama awamu yake ilishapita, na unaogopa nini ilihali umeshasema kwamba suala lilijadiliwa na maofisa wengine, yeye atajuaje kama aliyeleta taarifa hizi si mmoja wa maofisa walisimuliwa. Tupe jina la huyo mke wa Rais mwizi!

Na pili ningekuwa mimi ningezuia hayo makonteina yasitoke, halafu ningeandika barua ya kujiuzuru wadhifa wangu ndani ya masaa 24 na kueleza kwa ufasaha kila kitu kilichojiri hadi kupelekea kujiuzuru. Kopi ya barua ningeipeleka kwenye vyombo vyote vya habari vya ndani na nje ya nchi. Halafu siku inayofuata ningekuwa Kenya au Uganda kwa mapumziko.

Kwa level ya ofisa wa bandari lazima alikuwa na vihela vya kutosha kumuweka kwenye hotel pale Kenya au Uganda kwa angalau wiki mbili akisikilizia hali ya mambo inavyoendelea.

Katika hilo, naamini ningekuwa na jeuri zaidi yake, nisingekubali kabisa kuburuzwa. Hayupo aliye mkuu kuwashinda watanzania. Kama watanzania wangejua ukweli huo, naamini wangenilinda, na yeye u-mke wa rais wake ungekuwa kwenye wakati mgumu.

Tatizo mojawapo kubwa tunalokabiliwa nalo Tanzania ni kuwa na watu kama wewe Mkuu; hamuamini kwamba kuna mambo ya namna hii yanafanyika nchini, au hata mabaya kuliko haya!

Ikiwa Tanzania wanaweza kutoa wanyama kama twiga kupitia uwanja wa kimataifa kama wa Arusha, kuingiza ndege ya kijeshi toka nchi nyingine, kusafirisha pembe za ndovu bila kugagua mzigo, ni kipi kigumu sana unaona hakikufanyika hapo hadi iwe unafiki? Unafiki uko katika kutaja mtu jina, na ndio maana sikutaja.
 
inaelekea ni wewe na sasa Mwakyembe kakuweka katika list ya aibaji humo ndo unatafuta cha kujitetea. ulikuwa wapi miaka yote kuuliza. unaogopa nini si useme ilikuwa lini tutapiga mahesabu wenyewe. unaogopa nini na kazi ndio inataka kukukimbia.

nasema hivi maana sioni umuhimu wa wewe kuja sasa kuomba ushauri as nilidhani unatupa story tu tumjue etc

Bwana wewe, jaribu kuituma akili yako mbali kidogo katika kufikiri. Huoni kwamba ninajaribu kuueleza uma ni kwa nini meno ya Tembo yanapita bandari zetu bila kugaguliwa wala kukamatwa, usichoelewa nini sasa? Yaani hadi utafuniwe kila kitu? Wenye akili wameelewa wakatoa comment murua kabisa.
 
Mkuu kwanza tuwekee jina lake hapa, vinginevyo wewe ni mnafiki na mpiga majungu. Unaficha nini kama awamu yake ilishapita, na unaogopa nini ilihali umeshasema kwamba suala lilijadiliwa na maofisa wengine, yeye atajuaje kama aliyeleta taarifa hizi si mmoja wa maofisa walisimuliwa. Tupe jina la huyo mke wa Rais mwizi!

Na pili ningekuwa mimi ningezuia hayo makonteina yasitoke, halafu ningeandika barua ya kujiuzuru wadhifa wangu ndani ya masaa 24 na kueleza kwa ufasaha kila kitu kilichojiri hadi kupelekea kujiuzuru. Kopi ya barua ningeipeleka kwenye vyombo vyote vya habari vya ndani na nje ya nchi. Halafu siku inayofuata ningekuwa Kenya au Uganda kwa mapumziko.

Kwa level ya ofisa wa bandari lazima alikuwa na vihela vya kutosha kumuweka kwenye hotel pale Kenya au Uganda kwa angalau wiki mbili akisikilizia hali ya mambo inavyoendelea.

Katika hilo, naamini ningekuwa na jeuri zaidi yake, nisingekubali kabisa kuburuzwa. Hayupo aliye mkuu kuwashinda watanzania. Kama watanzania wangejua ukweli huo, naamini wangenilinda, na yeye u-mke wa rais wake ungekuwa kwenye wakati mgumu.

Kwa sisi tungekusaidia kweli kweli kwa kukemea hapa JF, tena tutabofya keyboard kwa hasira mno. Hofu yangu ni wewe badala ya kujikuta Kenya/Uganda kwa mapumziko ukajikuta kwenye situ la bwepande! Hebu jaribu kujiuliza, hivi kweli wafanyakazi wote waliopo sasa (regardless wanatokea taasisi gani) hamna hata mwenye kujitokeza kuanika uozo unaofanyika maeneo yao ya kazi! Ina maana wote hawana uzalendo? Kumbuka mdudu EPA, watumishi wa BOT si waliona? Kuna aliyesema kitu?
 
Mkuu kwanza tuwekee jina lake hapa, vinginevyo wewe ni mnafiki na mpiga majungu. Unaficha nini kama awamu yake ilishapita, na unaogopa nini ilihali umeshasema kwamba suala lilijadiliwa na maofisa wengine, yeye atajuaje kama aliyeleta taarifa hizi si mmoja wa maofisa walisimuliwa. Tupe jina la huyo mke wa Rais mwizi!

Na pili ningekuwa mimi ningezuia hayo makonteina yasitoke, halafu ningeandika barua ya kujiuzuru wadhifa wangu ndani ya masaa 24 na kueleza kwa ufasaha kila kitu kilichojiri hadi kupelekea kujiuzuru. Kopi ya barua ningeipeleka kwenye vyombo vyote vya habari vya ndani na nje ya nchi. Halafu siku inayofuata ningekuwa Kenya au Uganda kwa mapumziko.

Kwa level ya ofisa wa bandari lazima alikuwa na vihela vya kutosha kumuweka kwenye hotel pale Kenya au Uganda kwa angalau wiki mbili akisikilizia hali ya mambo inavyoendelea.

Katika hilo, naamini ningekuwa na jeuri zaidi yake, nisingekubali kabisa kuburuzwa. Hayupo aliye mkuu kuwashinda watanzania. Kama watanzania wangejua ukweli huo, naamini wangenilinda, na yeye u-mke wa rais wake ungekuwa kwenye wakati mgumu.


Baada ya kusikilizia kwa muda huo ulioutaja na akasikia huku BONGO ''mama'' amekua ''mbogo'' mambo yameharibika hakufai kurudi, toa ushauri nini angefanya. Usiishie kusikilizia tu, maana unaonesha upande mmoja wa sarafu yaani kusikilizia na baada ya hapo mambo yawe poa. Hata hivyo tunashukuru kwa kuonyesha uzalendo pamoja na kwamba utekelezaji ni jambo jingine (MATENDO YANAONGEA ZAIDI).
 
Kwa sisi tungekusaidia kweli kweli kwa kukemea hapa JF, tena tutabofya keyboard kwa hasira mno. Hofu yangu ni wewe badala ya kujikuta Kenya/Uganda kwa mapumziko ukajikuta kwenye situ la bwepande! Hebu jaribu kujiuliza, hivi kweli wafanyakazi wote waliopo sasa (regardless wanatokea taasisi gani) hamna hata mwenye kujitokeza kuanika uozo unaofanyika maeneo yao ya kazi! Ina maana wote hawana uzalendo? Kumbuka mdudu EPA, watumishi wa BOT si waliona? Kuna aliyesema kitu?
Ujue Dina watu wanazipenda kazi zao kuliko nchi yao. Yaani wapo tayari kufanya lolote ilimradi tu walinde hizo kazi zao. Lakini zaidi ya yote, wanadhani kwamba wakicheza dili na wake za wakubwa wanajiweka kwenye nafasi za kuongezewa vyeo, kitu ambacho huwa principally hakitokei. Labda kwa kuwa sijawahi kupewa cheo chochote katika dunia hii. Lakini kwa hakika kuruhusu ufisadi mkubwa kiasi hicho kupitia mikononi mwangu, hiyo ni big no. Na kinachofanyika hapo unapomaliza kuandika barua ya kuresign unamwachia secretary anashughulikia kuipeleka sehemu husika, wewe unakuwa tayari una tiketi ya ndege mkononi. Kwa hiyo huko mabwepande huendi.

Baada ya kusikilizia kwa muda huo ulioutaja na akasikia huku BONGO ''mama'' amekua ''mbogo'' mambo yameharibika hakufai kurudi, toa ushauri nini angefanya. Usiishie kusikilizia tu, maana unaonesha upande mmoja wa sarafu yaani kusikilizia na baada ya hapo mambo yawe poa. Hata hivyo tunashukuru kwa kuonyesha uzalendo pamoja na kwamba utekelezaji ni jambo jingine (MATENDO YANAONGEA ZAIDI).
you are right, wewe unadhani yataharibika kwa style ipi. Maana wakati huo utakuwa una security ya wananchi. Watanzania wote watakuwa wanajua ukweli. Na lolote litakalokupata litakuwa lina ushahidi kwa watanzania wote kwamba mke wa rais ndiye aliyekuua. Unadhani kuna atakayebakia salama hapo? Haya mambo tunayaogopa tu, lakini kama umeiweka habari kwenye media naamini unakuwa salama kupita usalama, maana hapo na wewe unaongeza na chumvi kwamba umetishiwa kuuawa, na watu wanaojiita ni usalama wa taifa. For sure watalazimika kukulinda badala ya kukudhuru. Na watakuwa na hofu kubwa kwamba mtu mwingine anaweza ku-take advantage kwa kukuua halafu bunge likamlazimisha raisi ajiuzuru au dunia ikatambua kuwa Rais au mke wake ndiyo wameua. Shirikianeni vizuri na media mnapokuwa vigogo wa ofisi kubwa za serikali.
 
Last edited by a moderator:
[you are right, wewe unadhani yataharibika kwa style ipi. Maana wakati huo utakuwa una security ya wananchi. Watanzania wote watakuwa wanajua ukweli. Na lolote litakalokupata litakuwa lina ushahidi kwa watanzania wote kwamba mke wa rais ndiye aliyekuua. Unadhani kuna atakayebakia salama hapo? Haya mambo tunayaogopa tu, lakini kama umeiweka habari kwenye media naamini unakuwa salama kupita usalama, maana hapo na wewe unaongeza na chumvi kwamba umetishiwa kuuawa, na watu wanaojiita ni usalama wa taifa. For sure watalazimika kukulinda badala ya kukudhuru. Na watakuwa na hofu kubwa kwamba mtu mwingine anaweza ku-take advantage kwa kukuua halafu bunge likamlazimisha raisi ajiuzuru au dunia ikatambua kuwa Rais au mke wake ndiyo wameua. Shirikianeni vizuri na media mnapokuwa vigogo wa ofisi kubwa za serikali.[/QUOTE]



Nakubaliana kabisa na unayoyasema hapa, tatizo system yetu haifanyi kazi hivyo tunavyotamani ifanye. Secretary wako atapeleka barua sehemu uliyomuagiza apeleke, atakayeisoma, badala ya kuifanyia kazi atampelekea mhusika akimtaka ushauri wafanyeje! Kwenye mjasiri 'Mwanahalisi' ulikopeleka atafungiwa asichapishe tena magazeti yake kwa kuwa anaandika habari za uchochezi. Kwa chombo kingine cha habari (kwa wasio wajasiri sasa), ndio hata kutoka habari haitoki!

Feleshi na Hosea, wao watadai mwenye 'ushahidi' aupeleke ili wahusika washtakiwe...(japo ushahidi wanao mikononi mwao)!

Tatizo mfumo mzima kwishnei.....
 
Back
Top Bottom