asakuta same
JF-Expert Member
- Mar 1, 2011
- 14,829
- 5,039
Wanajilengesha wenyewe pia.
Mwanamke Malaya ni Malaya tu hata bila sababu atatiwa tu.wanakuwa easy simply because they are stressed shida na tabu za ndoa huwa fanya wakatafte pumziko au amani sehem nyingine. They are desperate and frustrated.
Ila mpaka mwanamke anaejielewa kama mke afikie point ya kuchepuka ujue amechoka amefika point ya mwisho though it doesn't justify this shameful act.
its directly proportionalOngezeko la kula wake za watu limesababisha pia ongezeko la watu kuliwa 0713
Kwa sababu hawana ghalama vitu vingine (matumizi) anapewa na mumewe. wasio taka kuhonga sana ndo wanapenda wake za watu.
nasikia wanatoa mpaka tigo
Hii migegedo haifanyiki wazi ni ya kisiri sana. Kuna dogo mtaani kwetu ni rafiki yangu sana huwezi kuamini anamgegeda mama mtu mzima afisa wa serikali na mume wake ni maarufu sana katika siasa. Anachokifanya huyu mama anamtumia dogo pesa akuchukue chumba hotel nzuri ya maana kisha amtaji namba ya chumba ili wakutane chumbani moja kwa moja. Huyu mama anakuja na cruiser yake kabla hajaingia room anaagiza msosi anakula peke yake pale nje then baada ya lisaa limoja anapotea kumbe kafuata dushelele la dogo. Wakimaliza migegedo sugarmummy anatangulia kutoka na baada ya nusu saa dogo anasepa kwenda kupanda daladala, mambo yanaenda kisiri sana
Itakua kutokana na stress wanazopata kwa waume zao, ndio wanaamua kutoa maufundi yote nje ili wawakomoe waume zao, c unajua tena hasira
did i mentioned it anywhere in my post?
ama ni interpretation yako?
manake sasa apa unachanganya mambo mawili moral implication na reasons
Habari wakuu wa jukwaa,
Siku hizi kasi ya kugegeda wake za watu imezidi kushika kasi kuliko hata ya kununua machangudo. Huwa najiuliza hawa wake za watu kitu gani hasa walicho nacho mpaka kinawavutia wanaume wengi kuwatongoza. Wakati wasiolewa na machangaduo wako wengi sana?
Kuna siri gani hapo
Dah,kumbe wakubwa wanapokuwa wanahamasisha na kuimarisha chama
huku nyuma mashamba yanaliwa na ngedere?
Umenisemea!
Uzi mwingine kama huu huwa sioni faida zake,kwani dini zote zimekataza hayo mnayoyajadili.Hebu weka Uzi kama vile kuna Mashariki ngapi nakuna Magharibi ngapi duniani ili wataalam na wasomi watujuze tufaidike.
Nilishawahi kumgegegeda mmoja ila mwanzo alikuwa amenidanganya kuwa hajaoelewa, nilipogundua kuwa ni mke wa mtu nilishangaa nazidisha hisia kwake. Sasa ndio najiuliza kwanini ukijua ni mke wa mtu unakuwa unampenda zaidi na kumwona wa thamani ?