Mke wa mtu huyu


Kosa linakamilika pale linapokuwa linaenda kufanywa mbali na pale lilipozoeleka kufanyika? Mimi na wewe tunakubaliana kuwa muhusika ametambua njia zake si sahihi mbali au karibu, anachopaswa kufanya ni kimoja tu,kuacha njia zake na kuishi anavyoelewa kwa sasa kuwa ni sahihi.
 
Kuna mtu anamsema mtu hapa...halafu kama namfahamu anayesemwa, hizo details alizotoa zina kaukweli fulani hivi!

Aiseee?
Za maharage ya mbeya au za upartial impotency wa mumewe?
Interesting........
 

sawa ndugu mtabiri nimekuelewa..
 
Eti ameanza kuona wivu kwa mke wa mtu ambaye ni maharage ya Mbeya, nadhani jamaa sio mzima.

Sio Jamaa anaona WIVU ila huyo Mke wa m2 ameanza kumletea Wivu jamaa yangu..hope umenipata vzr..
 
Wacha kabisa kuchezea mke wa mtu na hiyo tripu ya bagamoyo itoe kwenye mawazo yako nadhani umenielewa.
 

Thanks kwa ushauri wko mzuri ndugu..b blessed
 

Natumaini KUACHA itakuwa ndio dawa kubwa zaidi...
 
Za mume sijui...najua za 'koligi'!

na mleta mada hujamgundua tu, maana nahisi ndiye anayemmega koligi! LOL
kama ni hivyo, he got to grow kwakweli, maana sioni kama ni sifa kitu anachofanya. he thinks anamchora huyo Dr. wkt anajichora na yeye pia.
 
sa kama kamgegeda mara zote hizo anaogopa nini au kugegedea mbali ndo hataki???
halafu nilikumiss wewe......

Unajua M2 anaweza akatenda Dhambi hata ya miaka miwili acjutie kwa kile anachokifanya lakini kama atapata bahati ya kutambua ya kile anachokitenda kwamba sio sahihi na kisha kuchukua uamuzi wa kuacha huyo m2 2namchukulia ni m2 ambaye amefanya maamuzi yaliyo sahihi kabisa na yenye busara, huyu jamaa yangu anayemtafuna mke wa m2 ametambua kuwa anachofanya sio sahihi kabisa na yupo katika hatua za kumtaliki huyu mke wa m2 kwaiyo 2nachukulia yale makosa aliyofanya hapo nyuma yamemfanya ajifunze kwamba hayupo sahihi, hope utakuwa umenipata vzr Evelyn Salt ..Thnks kwa kuniMISS
 
Wacha kabisa kuchezea mke wa mtu na hiyo tripu ya bagamoyo itoe kwenye mawazo yako nadhani umenielewa.

Hapana shida tayari ameshaicancel iyo trip ya kwenda B'moyo na yupo kwenye hatua za kumuacha taratibu kwani mke wa m2 huyo anasema hajiwezi hata kdg kwa jamaa, Huyo Mke ana miaka 36 na mume wake ana 43 alafu jamaa yangu ana miaka 27..
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…