Mke wa mtu anataka nizae nae

Arobaini yako inabisha hodi na dalili za kuikaribisha umeshazionesha! Unampenda mke wa mtu halafu unajisifu. Ajabu
 
Nimesoma sredi na ushauri wote ulioopewa,im going to sleep early in the mornin i will give u ma comments if u will be still alive!
 
Jamani mimi nime fall love na mke wa mtu. Ananipenda nami na mpenda sana sana. Mimi pia nimeoa. Uzuri mke wangu hajajua wala mume wake hajajua. Tumesha kaa miaka mi nne ya mapenzi yana ni full shangwe. Mume wake ana uwezo mzuri tu na hata mimi pia nina uwezo, hivyo namjali sana huyo dada. Kuna baadhi ya nguzu zake wanafahamu uhusiano wangu na ndugu yaho. Huwa kila siku lazima tukutane for breakfast, lunch na jioni for a drink au pia kuchakachuana. Kweli tunapendana, saa nyingine tunatumia gari moja tunapita mjini bila kuogopa. yeye ana watoto wa2 wa kike na mimi nina watoto wa2 wakiume hivyo anataka tuzae katoto ketu kamoja ili katuunganishe. Tayari tumeshakwenda pima na wote tuko safi kwani huko nyuma tulikuwa tunatumia kondomu lakini sasa hivi tunapiga kavu kavu hivyo malovee ndo yamepamba moto.

Naomba mnishauri kuhusu hili la kuzaa nae mtoto

I see kaka unakokwenda naona unakaribisha kilema,kifo au kitu kingine ambacho kitakuwa historia katika maisha yako wewe na huyo dada unajua siku jamaa atakapokukamata atafanya kitendo ambacho hujawahi kufanyiwa wala hutapenda kufanyiwa wala hutapenda watu wajue ulichofanyiwa lakini jiandae maana jamaa atafanya huku anachukua mkanda wa video na huo ndo utakuwa mwisho wako kukaa mjini.ACHAAAAAAAAAAAAAAA UTAKUFAA
 
Jamani mimi nime fall love na mke wa mtu. Ananipenda nami na mpenda sana sana. Mimi pia nimeoa. Uzuri mke wangu hajajua wala mume wake hajajua. Tumesha kaa miaka mi nne ya mapenzi yana ni full shangwe. Mume wake ana uwezo mzuri tu na hata mimi pia nina uwezo, hivyo namjali sana huyo dada. Kuna baadhi ya nguzu zake wanafahamu uhusiano wangu na ndugu yaho. Huwa kila siku lazima tukutane for breakfast, lunch na jioni for a drink au pia kuchakachuana. Kweli tunapendana, saa nyingine tunatumia gari moja tunapita mjini bila kuogopa. yeye ana watoto wa2 wa kike na mimi nina watoto wa2 wakiume hivyo anataka tuzae katoto ketu kamoja ili katuunganishe. Tayari tumeshakwenda pima na wote tuko safi kwani huko nyuma tulikuwa tunatumia kondomu lakini sasa hivi tunapiga kavu kavu hivyo malovee ndo yamepamba moto.

Naomba mnishauri kuhusu hili la kuzaa nae mtoto

Halafu nimesahau kukuambia kitu hapo mtaani kuna jamaa naye anajisifu hivyohivyo kuhusu mke wako wewe hujajua tu,na siku ukimjua utajidharau.
 
Jamani mimi nime fall love na mke wa mtu. Ananipenda nami na mpenda sana sana. Mimi pia nimeoa. Uzuri mke wangu hajajua wala mume wake hajajua. Tumesha kaa miaka mi nne ya mapenzi yana ni full shangwe. Mume wake ana uwezo mzuri tu na hata mimi pia nina uwezo, hivyo namjali sana huyo dada. Kuna baadhi ya nguzu zake wanafahamu uhusiano wangu na ndugu yaho. Huwa kila siku lazima tukutane for breakfast, lunch na jioni for a drink au pia kuchakachuana. Kweli tunapendana, saa nyingine tunatumia gari moja tunapita mjini bila kuogopa. yeye ana watoto wa2 wa kike na mimi nina watoto wa2 wakiume hivyo anataka tuzae katoto ketu kamoja ili katuunganishe. Tayari tumeshakwenda pima na wote tuko safi kwani huko nyuma tulikuwa tunatumia kondomu lakini sasa hivi tunapiga kavu kavu hivyo malovee ndo yamepamba moto.

Naomba mnishauri kuhusu hili la kuzaa nae mtoto

:bump: hizi sasa laana we una mke naye ana mume inakuwaje hii au ndo tukujudge kutokana na jina lako?:A S 109:
 
ivi huwa tunawaza nini wakati mwingine kuna wakati kwenye maisha bila kuona makovu ya yale tunayofanya huwa hatujifunzi mimi nakuunga mkono kila la heri ngoja tuandae michango ya kukupumzisha
 
Jamani mimi nime fall love na mke wa mtu. Ananipenda nami na mpenda sana sana. Mimi pia nimeoa. Uzuri mke wangu hajajua wala mume wake hajajua. Tumesha kaa miaka mi nne ya mapenzi yana ni full shangwe. Mume wake ana uwezo mzuri tu na hata mimi pia nina uwezo, hivyo namjali sana huyo dada. Kuna baadhi ya nguzu zake wanafahamu uhusiano wangu na ndugu yaho. Huwa kila siku lazima tukutane for breakfast, lunch na jioni for a drink au pia kuchakachuana. Kweli tunapendana, saa nyingine tunatumia gari moja tunapita mjini bila kuogopa. yeye ana watoto wa2 wa kike na mimi nina watoto wa2 wakiume hivyo anataka tuzae katoto ketu kamoja ili katuunganishe. Tayari tumeshakwenda pima na wote tuko safi kwani huko nyuma tulikuwa tunatumia kondomu lakini sasa hivi tunapiga kavu kavu hivyo malovee ndo yamepamba moto.

Naomba mnishauri kuhusu hili la kuzaa nae mtoto
SHETANI ONE
  • profile.png
    View Profile
  • forum.png
    View Forum Posts
  • message.png
    Private Message
  • article.png
    View Articles
  • add.png
    Add as Contact
  • email.png
    Send Email
user-offline.png
Bold: kwa jina lako...sidhani kama kuna cha kushauriwa hapa... nyie endelezeni uzinzi tu!!
 
Mwambie huyo maana nilivyosoma tu juu nikaanza imba huo wimbo...mke wa mtu ni sumu. Mke wa mtu ni sumu. Mambo ya mapenzi na wake za watu huyu shetani abaki huko huko kuzimu

Nilifikiri unataka kusema wimbo wa Niagieni.
 
mm mm ati wamepima ikawa safi.....duh! na huyo mume wake naye unajua anachakachua wangapi??? hii ndiyo ile sexual network ambayo imemaliza wake na waume kwenye ndoa...u trust the woman,.....how do u trust the husband? mbona tutakwisha!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom