Mke wa mtu anataka nizae nae

Mke wa mtu anataka nizae nae

badala ya kumpa ushauri mnaanza kumtisha... kuna uzi ulianzishwa apa kuhusu kama umewahi kucheat ktk mahusiano jibu kila mtu anajua hakuna aliyesema hajawai sasa mnashangaa nn!!! kwa mimi hii imekaa kistaarbu maana haitaleta shida kote kote maana ucku haman msg za ajabu kila mtu yuko kwake na wake labda ushaur ni tu kuzaa noma maana hiyo itaweza julikana unless muwe na huyo mume halisi mnafanana hata kwa mbali... cha msingi wote mna uwezo kwa iyo hapo mmeunganishwa na mapenz tu kwan hamjui jaman hata kama main matamu kuna cku utataman maharage!!!!

bona huo ushawishi wako upo katika mfumo gani huo naelekea kuamini utakuwa mfumo wa kufikiri wa KISHETANI huo, kwanza tambua chini ya jua hakuna siri, pili za mwizi 40 japo wapo wawili lakini itabaki hiyohiyo, Ushauri wangu sasa, wabadilishane umiliki,
 
kama umenogewahuko mkeo ana nafasi gani? au ndo amekuwa house girl wakukulelea watoto, jamani wanawake kuweni makini na mabwana kamahawa, hapo mumeo akigundua unafukuzwa na huyo mwanaume anabaki na mkewe ndo itakuwa imekula kwako wanao atalea mke mwingine.
 
Jamani mimi nime fall love na mke wa mtu. Ananipenda nami na mpenda sana sana. Mimi pia nimeoa. Uzuri mke wangu hajajua wala mume wake hajajua. Tumesha kaa miaka mi nne ya mapenzi yana ni full shangwe. Mume wake ana uwezo mzuri tu na hata mimi pia nina uwezo, hivyo namjali sana huyo dada. Kuna baadhi ya nguzu zake wanafahamu uhusiano wangu na ndugu yaho. Huwa kila siku lazima tukutane for breakfast, lunch na jioni for a drink au pia kuchakachuana. Kweli tunapendana, saa nyingine tunatumia gari moja tunapita mjini bila kuogopa. yeye ana watoto wa2 wa kike na mimi nina watoto wa2 wakiume hivyo anataka tuzae katoto ketu kamoja ili katuunganishe. Tayari tumeshakwenda pima na wote tuko safi kwani huko nyuma tulikuwa tunatumia kondomu lakini sasa hivi tunapiga kavu kavu hivyo malovee ndo yamepamba moto.

Naomba mnishauri kuhusu hili la kuzaa nae mtoto
Hahaha
 
Kuna wimbo mmoja ullimba hivi.

Mke wa mtu ni sumu
usijaribu chombezaaa
yatakuja yakutee usiyoyategemea

Nilivyochek jina lako tu nikatambua kua ww ni shetani la ukweli
Imagine ndio mke wako anachakachuliwa ungejisikiaje ww, ndugu yangu nakushauri achana kabisa na mambo hayo
wewe una mke nawe una ana mume yanini tena hayo jamani.Tuheshimu ndoa zetu jamani
🤣🤣
 
Jamani mimi nime fall love na mke wa mtu. Ananipenda nami na mpenda sana sana. Mimi pia nimeoa. Uzuri mke wangu hajajua wala mume wake hajajua. Tumesha kaa miaka mi nne ya mapenzi yana ni full shangwe. Mume wake ana uwezo mzuri tu na hata mimi pia nina uwezo, hivyo namjali sana huyo dada. Kuna baadhi ya nguzu zake wanafahamu uhusiano wangu na ndugu yaho. Huwa kila siku lazima tukutane for breakfast, lunch na jioni for a drink au pia kuchakachuana. Kweli tunapendana, saa nyingine tunatumia gari moja tunapita mjini bila kuogopa. yeye ana watoto wa2 wa kike na mimi nina watoto wa2 wakiume hivyo anataka tuzae katoto ketu kamoja ili katuunganishe. Tayari tumeshakwenda pima na wote tuko safi kwani huko nyuma tulikuwa tunatumia kondomu lakini sasa hivi tunapiga kavu kavu hivyo malovee ndo yamepamba moto.

Naomba mnishauri kuhusu hili la kuzaa nae mtoto
Mtoto yupo form 3 sasa,anaendeleaje na shule
 
Back
Top Bottom