Nadhani ingekuwa vyema kama hayo mapenzi ya kula pamoja breakfast, lunch na dinner ungeyafanya na mkeo nadhani ungehisi mwapendana pia, ila sbb umeamua kuyafanyia nje basi yanakutia upofu nawe waona mwapendana! USHAURI: hayo unayohisi ni mapenzi ni njia ya mauti inakupofusha na kuwafanyeni msione tatizo kutumia hata gari moja kutembelea amini nakuambia mwisho yatawatuma mkafanyie huo mchezo wenu nyumbani kwake na hapo ndipo utakuwa mwisho wako. Acha hii tabia please!Mke wa mtu ni sumu, utakuja kukojoa dagaaaa, we chezea tu shilingi kwenye tundu la choo. Utajakatwa mapanga au kupigwa shaba. Acha mchezo huo mchafu!
Toa kichefuchefu chako hapa weye baradhuli Mkubwa usiye na chembe ya soni! unadhani umepata...nakushauri anza kuandika wosia na kuchagua pa kukuzikia kwani hujabakiza siku nyingi...its a matter of time!Mkeo amekosa nini hadi uchukue wake za watu wewe Shetani? Ndugu yangu Shetani mkubwa, sikiliza, siku ukigundua mkeo nae anatoka nje ya ndoa, utaweza kumgombeza kwa namna yoyote kweli! Au utachukulia poa tu! Tatizo kijana umekurupuka tu kuingia kwenye ndoa kwa kuwa umeona ni utaratibu tu kuoa. Narudia tena. Achana na mchezo huo wa kishetani. Mshauri na kimada wako, aka kitopiki, muache mara moja. Kuna mtu kati yenu atajapelekwa buchani kama nyama ya ng'ombe. Ohooooo!
Imeandikwa wapi kuwa mke wa mtu ni sumu?
Je, kwa nyie baba wenye watoto una uhakika watoto unaowalea the so called "watoto wangu" ni wa kwako kweli"?
Kama mtu ametembea na mke wa mtu kwa miaka minne bila either part kujua then it implies kuwa upande wa pili unafanya the very same thing! mke wa mtoa mada anabanjuliwa kwingine na mume wa huyo mliwa anabanjua kwingine!
Ushauri: Kama mmeamua kuzaa pamoja, just go ahead, as simple as that!
Jamani mimi nime fall love na mke wa mtu. Ananipenda nami na mpenda sana sana. Mimi pia nimeoa. Uzuri mke wangu hajajua wala mume wake hajajua. Tumesha kaa miaka mi nne ya mapenzi yana ni full shangwe. Mume wake ana uwezo mzuri tu na hata mimi pia nina uwezo, hivyo namjali sana huyo dada. Kuna baadhi ya nguzu zake wanafahamu uhusiano wangu na ndugu yaho. Huwa kila siku lazima tukutane for breakfast, lunch na jioni for a drink au pia kuchakachuana. Kweli tunapendana, saa nyingine tunatumia gari moja tunapita mjini bila kuogopa. yeye ana watoto wa2 wa kike na mimi nina watoto wa2 wakiume hivyo anataka tuzae katoto ketu kamoja ili katuunganishe. Tayari tumeshakwenda pima na wote tuko safi kwani huko nyuma tulikuwa tunatumia kondomu lakini sasa hivi tunapiga kavu kavu hivyo malovee ndo yamepamba moto.
Naomba mnishauri kuhusu hili la kuzaa nae mtoto
huwezi kuaprove au disaprove hayo!!!...:teeth:
nimepata kinyaa.hizo sio sifa ati ni ujinga.
Imeandikwa wapi kuwa mke wa mtu ni sumu?
Je, kwa nyie baba wenye watoto una uhakika watoto unaowalea the so called "watoto wangu" ni wa kwako kweli"?
Kama mtu ametembea na mke wa mtu kwa miaka minne bila either part kujua then it implies kuwa upande wa pili unafanya the very same thing! mke wa mtoa mada anabanjuliwa kwingine na mume wa huyo mliwa anabanjua kwingine!
Ushauri: Kama mmeamua kuzaa pamoja, just go ahead, as simple as that!
ni kweli kama anakula amalize tuuu azae naye ili yatimie!fl1 - mtoa mada ametoa facts - plainly!
The damage has already been done! (right?)::: Kwahiyo should he go further and kill the bull?
What is this world coming to these days? Why even bother to get married? Pure hokum!!