Mke wa mtu anataka mahusiano na mimi

Mke wa mtu anataka mahusiano na mimi

Kama title inavyosema, kuna mke wa mtu wa mfanyabiashara mmoja hivi ananipenda kimapenzi. Mwanzo sikuwa na mawasiliano nae but kachukua namba zangu na kuanza mawasiliano.

Kaniambia kuwa ananipenda sasa nipo njia panda (ethical dilemma) niende nae ili nimridhishe ama nimkatalie but nitamuumiza na mimi ni mkarimu?

Eti mkarimu
Ukarimu wako huo utakuponza
 
Kama unataka kutatuliwa marinda mkubalie kwani hakuna namna
 
Acheni kumtisha mwenzenu Nuru wangu mwenyewe alikuwa mke wa mtu mwenye watoto wawili ndani ya ndo, mbona nili-manage kuwa naye bila mume wake kujua hadi walipoachana kwa ugomvi wao mwingine kabisa ndo nikamuoa mazima na mimba juu.
 
Mkuu kuwa makin na malinda yako chunga sana siku ukigundulika itakua rip marinda ,,ila waga niwatamu balaa ila uchungu wao utaujua siku umedabwa nae yaan kuchaniwa linda kupo njenje au kupigwa PR ni kawaida so kabla huja mgegeda nawe jiandae kifikra kwamba ipo siku utachaniwa malinda
 
Kama title inavyosema, kuna mke wa mtu wa mfanyabiashara mmoja hivi ananipenda kimapenzi. Mwanzo sikuwa na mawasiliano nae but kachukua namba zangu na kuanza mawasiliano.

Kaniambia kuwa ananipenda sasa nipo njia panda (ethical dilemma) niende nae ili nimridhishe ama nimkatalie but nitamuumiza na mimi ni mkarimu?
MKIRIMU TU SHAKA ONDOA......!!!
 
nilitaka kment kitu illa nikukaushie tu..maana utakachotendewa utaifurahia
 
Kama title inavyosema, kuna mke wa mtu wa mfanyabiashara mmoja hivi ananipenda kimapenzi. Mwanzo sikuwa na mawasiliano nae but kachukua namba zangu na kuanza mawasiliano.

Kaniambia kuwa ananipenda sasa nipo njia panda (ethical dilemma) niende nae ili nimridhishe ama nimkatalie but nitamuumiza na mimi ni mkarimu?
Sasa cha ajabu kitu gani? Si kataka mwenyewe. Piga kazi
 
Back
Top Bottom