Mke wa mtu anataka mahusiano na mimi

Mke wa mtu anataka mahusiano na mimi

Al assad

JF-Expert Member
Joined
Aug 14, 2017
Posts
1,404
Reaction score
1,517
Kama title inavyosema, kuna mke wa mtu wa mfanyabiashara mmoja hivi ananipenda kimapenzi. Mwanzo sikuwa na mawasiliano nae but kachukua namba zangu na kuanza mawasiliano.

Kaniambia kuwa ananipenda sasa nipo njia panda (ethical dilemma) niende nae ili nimridhishe ama nimkatalie but nitamuumiza na mimi ni mkarimu?
 
Kama title inavyosema kuna mke wa mtu wa mfanyabiashara mmoja hv ananipenda kimapenzi. Mwanzo sikuwa na mawasiliano nae but kachukua namba zangu na kuanza mawasiliano. Kaniambia kuwa ananipenda sasa nipo njia panda (ethical dilemma) niende nae ili nimlidhishe ama nimkatalie but nitamuumiza na mm ni mkalimu..!?
Kama wewe ni mkarimu nishirikishe na Mimi tumle wore!!!
 
Kama title inavyosema kuna mke wa mtu wa mfanyabiashara mmoja hv ananipenda kimapenzi. Mwanzo sikuwa na mawasiliano nae but kachukua namba zangu na kuanza mawasiliano. Kaniambia kuwa ananipenda sasa nipo njia panda (ethical dilemma) niende nae ili nimlidhishe ama nimkatalie but nitamuumiza na mm ni mkalimu..!?
Andaa rinda lako na KY ndio itapendeza zaidi
 
kama wewe ni mkarimu kweli hata usingetuuliza. ungeongea nae kwa ukarimu umwambie haiwezeekani.
 
Jiandae pia kuliwa maana ukitaka kula lazima uliwe either directly or indirectly
 
Kuna vitu vina changamoto kubwa ya maisha ya vijana.
Ni vyema kuviepuka ili uwe na mwisho mzuri.

Hili si jambo la kuleta hapa.
Tumia mbinu zako zote umkatae na umkatishe tamaa kabisa.
 
Back
Top Bottom