Al assad
JF-Expert Member
- Aug 14, 2017
- 1,404
- 1,517
- Thread starter
- #61
Mhh mkuu ...Jitahid kila unapokutana na huyo mke wa mtu uwe na KY kwa usalama wako zaid
Sent from my TECNO-W3 using JamiiForums mobile app
Mhh mkuu ...Jitahid kila unapokutana na huyo mke wa mtu uwe na KY kwa usalama wako zaid
[emoji124] [emoji124] [emoji124] [emoji124] [emoji124]
Yaah mkuu, kama ina@sound hivi.nitafanyia kazi.Hit and run ..
Haya mambo vijana mnaweza kuyamaliza bila hata kuyamwaga hapa,mbona mambo madogo sana haya?Kama title inavyosema kuna mke wa mtu wa mfanyabiashara mmoja hivi ananipenda kimapenzi. Mwanzo sikuwa na mawasiliano nae but kachukua namba zangu na kuanza mawasiliano.
Kaniambia kuwa ananipenda sasa nipo njia panda (ethical dilemma) niende nae ili nimlidhishe ama nimkatalie but nitamuumiza na mm ni mkalimu..!?
Oooh mkuu taratibu!Na nlikua nasubiri ujitokeze umu...sasa Ana zangu ama zako... Nipo njian kuelekea sumbawanga,
Aisee ni balaa!siongei mengi
huyu ni kijana alimla mke wa mtu huku wakijirekodi video na ikamfikia mumewe
View attachment 683004 View attachment 683005 View attachment 683007
kilicho fuatia tizama hapa
View attachment 683009 View attachment 683010
samahani kwa maudhui ya oicha
nakala kwa GuDume
Umeona ehh, ila kama ushauri positive ni jambo jema pia!Hivi inakuwaje unatoa ushauri kumbe nimkeo anaenda kuliwa, kweli usilo lijua ni kama usiku wa giza.
Duuh mkuu umeyisha.Mkuu ushauri wangu ni kwamba wewe mkubalie ila lazima muwekeane mipaka. Mimi wanawake nawaelewa sana. Wanaume siku hizi hawapigi kazi. Mimi nimewahi kuwa kwenye uhusiano na mke wa kibopa fulani. Mama alilalamika mmewe ana kisukari hivyo kazi hapi vizuri, nilimuelewa na kumhudumia. Yale mahaba yalikuwa matamu sana. Sikuwahi kupewa penzi kama lile tokea nizaliwe. Mwanamama mwenyewe pia ni member humu.
Kuna wengine wafuasi wa nabii Tito usiwalishe manenoi.Acha kabisa kutafuta matatizo ya mke wa mtu, mwambie kwamba Dini yako haikuruhusu kufanya hivyo.
Kaniambia kuwa ananipenda sasa nipo njia panda (ethical dilemma) niende nae ili nimlidhishe ama nimkatalie but nitamuumiza na mm ni mkalimu..!?
R.I.P Al assadKama title inavyosema kuna mke wa mtu wa mfanyabiashara mmoja hivi ananipenda kimapenzi. Mwanzo sikuwa na mawasiliano nae but kachukua namba zangu na kuanza mawasiliano.
Kaniambia kuwa ananipenda sasa nipo njia panda (ethical dilemma) niende nae ili nimlidhishe ama nimkatalie but nitamuumiza na mm ni mkalimu..!?