Mke wa mtu anataka mahusiano na mimi

Mke wa mtu anataka mahusiano na mimi

Kama title inavyosema kuna mke wa mtu wa mfanyabiashara mmoja hivi ananipenda kimapenzi. Mwanzo sikuwa na mawasiliano nae but kachukua namba zangu na kuanza mawasiliano.

Kaniambia kuwa ananipenda sasa nipo njia panda (ethical dilemma) niende nae ili nimlidhishe ama nimkatalie but nitamuumiza na mm ni mkalimu..!?
Mjulishe mumewe,ndio dawa ya wasaliti.
 
Kuna vitu vina changamoto kubwa ya maisha ya vijana.
Ni vyema kuviepuka ili uwe na mwisho mzuri.

Hili si jambo la kuleta hapa.
Tumia mbinu zako zote umkatae na umkatishe tamaa kabisa.
Mimi ni mwanaume wa kazi ,nitafanya hivyo!

Sent from my TECNO-W3 using JamiiForums mobile app
 
Kama title inavyosema kuna mke wa mtu wa mfanyabiashara mmoja hivi ananipenda kimapenzi. Mwanzo sikuwa na mawasiliano nae but kachukua namba zangu na kuanza mawasiliano.

Kaniambia kuwa ananipenda sasa nipo njia panda (ethical dilemma) niende nae ili nimlidhishe ama nimkatalie but nitamuumiza na mm ni mkalimu..!?
Ww si imesha sema mke wa mtu?kimbia hiyo dhambi kwa miguu yako yote mi wili.ikiwezekana ongezea na mikononkm speed ni ndogo
 
Back
Top Bottom