Mke wa mtu anataka mahusiano na mimi

Mke wa mtu anataka mahusiano na mimi

Wanapenda kukubali haraka ukimgusia mambo hayo, ataanza kumwaga mambo yote ya ndoa yake huku akilalamika.

Huo ndio udhaifu wao mkubwa
hiyo ni case nyingine !namanisha yaan nikukute kwenye kiglosary nianze kukutongoza wewe !haha hv ni kweli? kuspeak it out huwa ndo udhaifu wetu kweli !lakini ukiongea kwa mtu 'mwelewa' huwa inatusaidia kupata relief !ndo maana nyie mnakufa mapema hamuwez kuyatoa !
 
Kama title inavyosema kuna mke wa mtu wa mfanyabiashara mmoja hv ananipenda kimapenzi. Mwanzo sikuwa na mawasiliano nae but kachukua namba zangu na kuanza mawasiliano. Kaniambia kuwa ananipenda sasa nipo njia panda (ethical dilemma) niende nae ili nimlidhishe ama nimkatalie but nitamuumiza na mm ni mkalimu..!?
Na nlikua nasubiri ujitokeze umu...sasa Ana zangu ama zako... Nipo njian kuelekea sumbawanga,
 
hiyo ni case nyingine !namanisha yaan nikukute kwenye kiglosary nianze kukutongoza wewe !haha hv ni kweli? kuspeak it out huwa ndo udhaifu wetu kweli !lakini ukiongea kwa mtu 'mwelewa' huwa inatusaidia kupata relief !ndo maana nyie mnakufa mapema hamuwez kuyatoa !
Ninyi mnatongoza kwa njia nyingi hata kwa macho tu unammaliza kidume.

Sio lazima umsemeshe.
 
Hivi inakuwaje unatoa ushauri kumbe nimkeo anaenda kuliwa, kweli usilo lijua ni kama usiku wa giza.
 
Mkuu ushauri wangu ni kwamba wewe mkubalie ila lazima muwekeane mipaka. Mimi wanawake nawaelewa sana. Wanaume siku hizi hawapigi kazi. Mimi nimewahi kuwa kwenye uhusiano na mke wa kibopa fulani. Mama alilalamika mmewe ana kisukari hivyo kazi hapi vizuri, nilimuelewa na kumhudumia. Yale mahaba yalikuwa matamu sana. Sikuwahi kupewa penzi kama lile tokea nizaliwe.
 
hahaha nifundishwe hii nianze kumkonyeza mtu humu !@demi pls nipe funzo hapa nianze mara moja kumkonyeza ntu humu !
Unajua sana tu ila hapa unatuchora.
Wewe ukishatumia macho kumchokoza kidume halafu kidume kamalizia na mistari huku unabaki unasema umetongozwa ilihali wewe ndio umetongoza.
 
Mkuu ushauri wangu ni kwamba wewe mkubalie ila lazima muwekeane mipaka. Mimi wanawake nawaelewa sana. Wanaume siku hizi hawapigi kazi. Mimi nimewahi kuwa kwenye uhusiano na mke wa kibopa fulani. Mama alilalamika mmewe ana kisukari hivyo kazi hapi vizuri, nilimuelewa na kumhudumia. Yale mahaba yalikuwa matamu sana. Sikuwahi kupewa penzi kama lile tokea nizaliwe. Mwanamama mwenyewe pia ni member humu.
Anaijua ID yako?
 
Wanaume wengi ni maharage ya mbeya, ukimtazama sekunde 10 tu kashasimamisha...unafanya kumalizia tu
Hahahahahaaaaaa.

Sisi ni wadhaifu sana hilo liko dhahiri.
 
Back
Top Bottom