Kumbe kuomba ushauri humu unaweza kupata ushauri mzuri tuu wakati fulani naona watu mnamshauri vizuri tuu. Nawapongeza wote mliotoa ushauri mzuri. Mimi simpi ushauri kwa kuwa huyu jamaa ni mvivu wa kutumia elimu yake amesoma professional ethics na moral philosophy bado anakuja hapa kuomba ushauri kwa suala ambalo watu walipaswa kuomba ushauri kwake. Usitake kujua nimejuaje yeye anajua hilo.Kama title inavyosema, kuna mke wa mtu wa mfanyabiashara mmoja hivi ananipenda kimapenzi. Mwanzo sikuwa na mawasiliano nae but kachukua namba zangu na kuanza mawasiliano.
Kaniambia kuwa ananipenda sasa nipo njia panda (ethical dilemma) niende nae ili nimridhishe ama nimkatalie but nitamuumiza na mimi ni mkarimu?