Mke wa mtu ananitaka nifanyaje..?

Mke wa mtu ananitaka nifanyaje..?

Mimi ni kijana mwenye umri fulani tatizo linalo nisumbua ni kwamba sehemu tunapoishi kuna jamaa ameamia yeye pamoja na mke wake. Wakati wanaamia sehemu ambayo mimi naishi mara ya kwanza huyo mwanamke nilijua anakaa na kaka yake kutokana na jamaa kuonekana kuwa mkubwa kiumri kushinda huyo mwanamke ambaye mimi nilikuwa najua kuwa ni kaka yake. Huyo jamaa amepata ajali na anatembelea machuma yale ya kusukuma halafu na yeye anasogea kumbe nivyokuwa nadhani sivyo huyo jamaa alikuwa ni mmewe. Huyo mwanamke tumezoeana sana mpaka kufikia hatua ya kuchukua namba yangu ya simu. Sasa tatizo ambalo linanisumbua ni kwamba huyo mwanamke ananitaka mimi kimapenzi na anaongea maneno mabaya juu ya mmewe. Huyo mwanamke ana pesa ameniahidi kunipa kila kitu nitakacho kihitaji tatizo mimi namwonea huruma mmewe kwa hali aliyo kuwa nayo nahisi nikimkubalia huyo mwanamke itakuwa ni dhambi kumwa ambayo sijawai kuifanya tangia nizaliwe. Kwa sasa mmewe yupo kama mlemavu kwa kuwa hatembei nishaurini jamani nifanyeje nimkubali au nimkatae...!! Pesa nahitaji tatizo namuonea huruma mmewe NIFANYAJE....?
Kwa nini unakosa akili juu ya jambo hili. Ni kitu gani kimekupofusha macho usione ya kuwa uzinifu ni mbaya? Biblia inasema; “Mtu aziniye na mwanamke hana akili kabisa; afanya jambo litakalomangamiza nafsi yake.” (Mithali 6:32)
Ni dhahiri ya kwamba palipo na zinaa pana uharibufu, na wengi wanaangamia. Na nataka nikuambie ya kuwa Roho Mtakatifu alishakushuhudia wewe mwenyewe kuwa hujawahi kufanya dhambi kama hiyo sasa unataka uteketeze nafsi yako kwa ajili ya pesa?Hapana tena nakemea kwa nguvu zote,shetani aliyekukamata na ashindwe
 
Mimi ni kijana mwenye umri fulani tatizo linalo nisumbua ni kwamba sehemu tunapoishi kuna jamaa ameamia yeye pamoja na mke wake. Wakati wanaamia sehemu ambayo mimi naishi mara ya kwanza huyo mwanamke nilijua anakaa na kaka yake kutokana na jamaa kuonekana kuwa mkubwa kiumri kushinda huyo mwanamke ambaye mimi nilikuwa najua kuwa ni kaka yake. Huyo jamaa amepata ajali na anatembelea machuma yale ya kusukuma halafu na yeye anasogea kumbe nivyokuwa nadhani sivyo huyo jamaa alikuwa ni mmewe. Huyo mwanamke tumezoeana sana mpaka kufikia hatua ya kuchukua namba yangu ya simu. Sasa tatizo ambalo linanisumbua ni kwamba huyo mwanamke ananitaka mimi kimapenzi na anaongea maneno mabaya juu ya mmewe. Huyo mwanamke ana pesa ameniahidi kunipa kila kitu nitakacho kihitaji tatizo mimi namwonea huruma mmewe kwa hali aliyo kuwa nayo nahisi nikimkubalia huyo mwanamke itakuwa ni dhambi kumwa ambayo sijawai kuifanya tangia nizaliwe. Kwa sasa mmewe yupo kama mlemavu kwa kuwa hatembei nishaurini jamani nifanyeje nimkubali au nimkatae...!! Pesa nahitaji tatizo namuonea huruma mmewe NIFANYAJE....?
mimi naamini kila mtu ni mwizi tatizo hajapata nafasi ya kuiba, kila mtu ni mzinifu tatizo hajapata nafasi ya kuzini kila mtu ana roho mbaya tatizo hajapata nafasi ya kuionesha....sasa na wewe mwanaume..ni bei rahisi na umeshapata chance ya kununuliwa na huyo mwanamke...mali na fedha ni vitu vya kutafutwa kaka...usitegemee mteremko..mtoto wa kiume piga kazi upate vyako so unategemea kutoka sababu ya mwanamke..ova...
 
Acha tu asee atlist umfikirie hata jamaa coz... He's bad situation halaf akijua na hiyo tena HATARI
 
Kama shida ni hela tu si ukajiuze? Tumeshasema tunataka usawa, hebu kasimame pale corner bar na wenzio bwana, usituharibie weekend. Hayo machuma anayotembelea jamaa atakubaka nayo ayafanye dildo, ohoooo!
Kupoteza muda na huyu imbechili ni sawa na kuwadhalilisha wazazi na walezi wake.... Kama ameishi na watu basi anajua zuri na baya

baadhi ya threads zinavua nguo tu wazazi na walezi wetu waonekane hawana manners

the boy is just an imbechili
 
Mimi ni kijana mwenye umri fulani tatizo linalo nisumbua ni kwamba sehemu tunapoishi kuna jamaa ameamia yeye pamoja na mke wake. Wakati wanaamia sehemu ambayo mimi naishi mara ya kwanza huyo mwanamke nilijua anakaa na kaka yake kutokana na jamaa kuonekana kuwa mkubwa kiumri kushinda huyo mwanamke ambaye mimi nilikuwa najua kuwa ni kaka yake. Huyo jamaa amepata ajali na anatembelea machuma yale ya kusukuma halafu na yeye anasogea kumbe nivyokuwa nadhani sivyo huyo jamaa alikuwa ni mmewe. Huyo mwanamke tumezoeana sana mpaka kufikia hatua ya kuchukua namba yangu ya simu. Sasa tatizo ambalo linanisumbua ni kwamba huyo mwanamke ananitaka mimi kimapenzi na anaongea maneno mabaya juu ya mmewe. Huyo mwanamke ana pesa ameniahidi kunipa kila kitu nitakacho kihitaji tatizo mimi namwonea huruma mmewe kwa hali aliyo kuwa nayo nahisi nikimkubalia huyo mwanamke itakuwa ni dhambi kumwa ambayo sijawai kuifanya tangia nizaliwe. Kwa sasa mmewe yupo kama mlemavu kwa kuwa hatembei nishaurini jamani nifanyeje nimkubali au nimkatae...!! Pesa nahitaji tatizo namuonea huruma mmewe NIFANYAJE....?


Kijana Manase unatuaibisha wanaume wenzio bana.
Hebu fikiria namna nyingine ya kutafuta pesa, acha kujiuza. Acha kufanya sex as business do it as a leisure. Halafu ogopa sana pesa za mwanaume mwenzio tena kwa kumuibia mkewe, unajua alivozipata wewe?

Ngoja waje wakuchomeke magunzi ya mahindi.
 
alafu ameshasema mke wa mtu, jamani!!! hizi pesa hizi zitakupeleka pabaya fanya kazi halali upate kipato utakuwa mtumwa shauri yako, na huyo mwanamke ni mpumbavu akishakutumia na wewe atakuongelea maneno mabaya kama amfanyiavyo mumewe, kaa nae mbali kabisaaa
Hakukuwa na umuhimu wa kuanzisha thread hii. Vitu vingine viko straight kabisa
 
Pesa si jibu la matatizo uliyo nayo kijana! Jibu ni namna ya kuitumia pale uipatapo iliyo ya jasho halali! Ushauri wangu kama unashida ya pesa kwa ajili ya kujikwamua kimaisha, panga vema mipango yako ya kiasi unachohitaji na jinsi utakavyokitumia katika kujikwamua. Ukishamaliza hapo mwendee huyo mdada/mmama mwombe akukopeshe kiasi unachohitaji (siyo kiasi anachotaka kukupa yeye). Bila shaka atakukopesha kwa kuwa kwake atajua anaelekea kukunasa, hapo kafanye mambo yako kwa uaminifu na nidhamu ya hali ya juu kwa hicho utakachofanya.

Ukifanikisha anza kumrejeshea hela yake kidogo kidogo ila tu umsimwambie unafanya nini na unafanyia wapi maana anaweza kutaka kusaidia kwa kuongezea mtaji n.k. na hapo atakuwa amekunasa....

Wacha kufikiria ngono na mke wa mtu, ni hatari na dhambi kubwa sana. Hatari yenyewe inatokana na wanaume walio wengi wakigundua unatembea na mkewe hawahangaiki na wake zao ili kuwaonya bali wanahangaika na vijana wanaotembea nao, ogopa..........
 
Golden chance never come twice, shauri yako
 
Wewe umeshaamua lako unazuga tu hapa tena yawezekana ushagonga loooongi,acha utani wewe
 
yaani kula leki ningekua MUngu ningekubadili kuku shetwan kweli yan unahisi mwanaume mwenzio kupata ajali ana zambi sana sio yani naomba mola akuangazie ibia mtu ambae akikufuma mmalizane ki town ila mpaka mlemavu shame on you
 
Mimi ni kijana mwenye umri fulani tatizo linalo nisumbua ni kwamba sehemu tunapoishi kuna jamaa ameamia yeye pamoja na mke wake. Wakati wanaamia sehemu ambayo mimi naishi mara ya kwanza huyo mwanamke nilijua anakaa na kaka yake kutokana na jamaa kuonekana kuwa mkubwa kiumri kushinda huyo mwanamke ambaye mimi nilikuwa najua kuwa ni kaka yake. Huyo jamaa amepata ajali na anatembelea machuma yale ya kusukuma halafu na yeye anasogea kumbe nivyokuwa nadhani sivyo huyo jamaa alikuwa ni mmewe. Huyo mwanamke tumezoeana sana mpaka kufikia hatua ya kuchukua namba yangu ya simu. Sasa tatizo ambalo linanisumbua ni kwamba huyo mwanamke ananitaka mimi kimapenzi na anaongea maneno mabaya juu ya mmewe. Huyo mwanamke ana pesa ameniahidi kunipa kila kitu nitakacho kihitaji tatizo mimi namwonea huruma mmewe kwa hali aliyo kuwa nayo nahisi nikimkubalia huyo mwanamke itakuwa ni dhambi kumwa ambayo sijawai kuifanya tangia nizaliwe. Kwa sasa mmewe yupo kama mlemavu kwa kuwa hatembei nishaurini jamani nifanyeje nimkubali au nimkatae...!! Pesa nahitaji tatizo namuonea huruma mmewe NIFANYAJE....?

This is a private business.
 
Hivi ni kweli wewe binafsi umeshindwa kufanya maamuzi hadi ulete hapa MMU? Nadhani kama issue ni pesa ni bora utafute za kwako tena kwa nguvu zako mwenyewe usipende vya bure,kwa vile vya bure vina gharana zake pia na pia haipendezi kijana wa kiume kumezea mate pesa za mwanamke.Achana kabisa na huyo mwanamke kwa vile hakuna future yoyote hapo sanasana atakupotezea muda tu,anajifanya kukupenda sasahivi na kumponda mumewe lakini iko siku atakuja kukuacha solemba na hutaamini.hawa viumbe ni vigeugeu sana na usiwaamini sana,fanya mambo yako ya maana achana na hawa pasua vichwa!!
 
Maadam umeshajua kuwa ni mke wa mtu achana naye. Pesa kitu gani bana? Utakuja kufa siku si zako dogo.
 
Oh Sio Kama sina kazi nafanya
graphic and design, nimesoma chuo kikuu! Oh Kama pesa wazazi wangu
watanipa! Seriously? U behave like a gay dude, be a man act like one!
Don't try to bring ur kindergarten stories here!!

hahaaa chief, ww ni prof wa mashushu ama?
 
msaidie huyo mama ana shida ila hela zake usichukue,sisi ni binadamu na kusaidiana ni jambo la kheri huyo mama inawezekana mumewe hawezi kukidhi haja yake kwa hali aliyokuwa nayo na labda ni hali ya muda mrefu ambayo imepelekea uvumilivu kwa huyo bibie kupungua ama kuisha kabisa, na nafikiri mumewe akipona atachaana na wewe na kumrudia mume wake kwa uaminifu mpya kabisa
 
Mimi ni kijana mwenye umri fulani tatizo linalo nisumbua ni kwamba sehemu tunapoishi kuna jamaa ameamia yeye pamoja na mke wake. Wakati wanaamia sehemu ambayo mimi naishi mara ya kwanza huyo mwanamke nilijua anakaa na kaka yake kutokana na jamaa kuonekana kuwa mkubwa kiumri kushinda huyo mwanamke ambaye mimi nilikuwa najua kuwa ni kaka yake. Huyo jamaa amepata ajali na anatembelea machuma yale ya kusukuma halafu na yeye anasogea kumbe nivyokuwa nadhani sivyo huyo jamaa alikuwa ni mmewe. Huyo mwanamke tumezoeana sana mpaka kufikia hatua ya kuchukua namba yangu ya simu. Sasa tatizo ambalo linanisumbua ni kwamba huyo mwanamke ananitaka mimi kimapenzi na anaongea maneno mabaya juu ya mmewe. Huyo mwanamke ana pesa ameniahidi kunipa kila kitu nitakacho kihitaji tatizo mimi namwonea huruma mmewe kwa hali aliyo kuwa nayo nahisi nikimkubalia huyo mwanamke itakuwa ni dhambi kumwa ambayo sijawai kuifanya tangia nizaliwe. Kwa sasa mmewe yupo kama mlemavu kwa kuwa hatembei nishaurini jamani nifanyeje nimkubali au nimkatae...!! Pesa nahitaji tatizo namuonea huruma mmewe NIFANYAJE....?
Foolish! Umendika ----- mtupu, unamwonea huruma mumewe na dhambi kubwa wapi na wapi? Leo unamwita mume wa mtu mlemavu kisa unatamani pesa za mkewe. Ushauri, usifunge milango ya baraka katika maisha yako kwa kumtamani na hata kumgegeda mke wa mwenzio...Jiweke upande wa huyo uliyemwita mlemavu kisha mgegede mkewe..
 
Back
Top Bottom