Kama unataka ushauri basi achana na hao wanawake wote...
Anza upya...
mathew chance usimuogope mwanaume mwenzio we pambana mpk mwisho tena akija we muite huyo mke wake mbele yake kisha umuulize anataka kwenda kwa nani
Ushauri wangu kabla ya yote kwa Wewe mseminary na ushamba wako wa mapenzi nakushauri Nenda kapime Ukimwi maana unafanya ngono zembe hadi unazaa na wake za watu.
Hakuna binadamu mwenye lawama mbaya kulio wote duniani kama "pombe"
Mkuu kwenye mapenz hakuna MTU alie IMARA
hao waseminary ni shida, wakiona K wanakuwa kama mbwa mbele ya chatu. Full kujisogeza bila kujua hatari itayomkuta. Akili ikitawaliwa na usemi kuwa kwenye mapeniz hakuna aliye imara, ujue hadi mifugo kama kuku, bata mbwa na wanyama pori wote wamekuzidi akili.