chuma cha reli
JF-Expert Member
- Jul 2, 2012
- 2,764
- 2,566
Malipo ni hapa hapa duniani...chukua hatua
Hiyo simu uliyopigiwa haikuwa ya yule mume mwenzako bali ni ya mtu tu aliyepewa jukumu la kukupa fukuzo kutoka kwa huyo mwanamke aliyekusitiri. Aliemtuma huyo mtu akupigie ni huyohuyo mwanamke wa pili.
Amekuchoka.
Pia wameshaelewana na shogake ambaye ni yule mke wa MTU.
Aliyemleta yule mke wa MTU hapo ulipokuwa unaishi ni huyo mwanamke wako wa pili.
Hakuna mtu anayekutafuta sijui kazini wala wapi.
Piga kazi ukomae na jiji.
Kwa kifupi yule mwanamke wa a wali anaishi vizuri na mumewe, ila huyo wa pili keshampata mwingine akaamua akuteme kimtindo.
SHTUKA.
Mkuu...itasaidiaje kuondoa tatizo....sababu..Jamaa ameshazaa nae na mwenye mke ameshtukia
pili naomba kuuliza wadau, mm sijawqh kunywa pombe toka nizaliwe, sasa kama ukinywa pombe unapoteza network yan unayembea njian hujijui..hadi unaingia ndan kwa mtu hujijui....unavua nguo hujijui.....unapanda bed hujijui....unalalla bila kujua....unadate na mtu bila kujua, ila asbh ukiamka ndo unajua yote haya.!!!!
daaaah maana kila mtu humu naona thread yake ni pombe kushtuka asbh, pombe kushtuka asbh...
NAAMINI POMBE INAWAPELEKAGA AHELA MNASAVEY KISHA MNARUDI DUNIANI ASEEE, MAANA KAMA YOTE HAYA YANAFANYIKA MTU HUJIJUI DAAAAH NGOJA NIJE NAMI NITEST ILI NISIJUE KINACHOENDELEA DUNIANI KWA MASAA 12 CONSECUTIVE.