Mke wa mtu ameniponza

Mke wa mtu ameniponza

Kama unataka ushauri basi achana na hao wanawake wote...

Anza upya...
 
"Tulipo endelea, tuliwaona maelfu ya watu
kwenye mateso,Wakati roho inapo mwona
Bwana, zilijitahidi kumfikia kwa mikono isiyo na
ngozi.Nilimwona mwanamke aliye anza kupiga
makelele alipo mwona Bwana Yesu. Alilia,
"Bwana tafadhali nirehemu! nitoe mahali hapa!"
Alikuwa akiteseka sana na aliunyoosha mkono
wake kwa Bwana.Aliendelea kumwomba Bwana
amtoe eneo lile hata kwa sekundr moja.
Alikuwa yuu uchi kabisa na alifunikwa na tope.
Nywele zake zilikuwa ni chafu na minyoo ilikuwa
ikijongea mwilini mwake .Alijaribu kuiondoakwa
mikono yake lakini kila alipo mwondoa mmoja
mingine ilijizisha zaidi.Minyoo ilikuwa na urefu
karibu inchi 6-8.Neno la Bwana linasema katika
Marko 9:44, "Ambamo humo funza wao hafi,
wala moto hauzimiki."
Ilikuwa ni ya kutisha sana kumwona mwanamke
huyu na kusikia kilio chake kwa jinsi minyoo ile
kwa hasira ilivyo kuwa inaila nyama za mama
huyu. Kulikuwepo na bango la chuma lililo
kifuani mwake ambalo lisingeweza kuharibiwa
na moto.
Lilisomeka , "Nipo hapa kwa ajili ya Uzinzi."
Kwa jinsi ile ile ya dhambi yake, mwanamke
huyu alilazimishwa kufanya uzinzi kuzimu na
nyoka wa kutisha mnene..Nyoka huyu alikuwa
na miiba mikubwa kuuzunguka mwili wake, ni
kama ya uerfu wa inchi 6-8 hivi.Nyoka
humwingia mama hyu sehemu zake za siri na
kusafiri hadi mwilini mwale hadi kwenye
koromeo lake. Nyoka alipo mwingilia hivi,
alianza kulia kwa makelele .
Alimwomba Bwana kwa nguvu sana amtoe eneo
lile, "Bwana, nipo hapa kwa ajili ya uzinzi,
nimekuwepo hapa kwa miaka 7, tangu UKIMWI
ulipo niua. Nilikuwa na wapenzi sita6, na nipo
hapa kwa ajili ya uzinzi." Kule kuzimu alitakiwa
kuirudia dhambi yake tena na tena.
Hakuna kupumzika usiku na mchana, akiteseka
kwa jinsi ile ile kila mara. Alijaribu kuunyoosha
mkono wake kwa Bwana, lakini Bwana
alimwambi, "Blanca, kwako tayari umechelewa.
Minyoo itakuwa ni kitanda chako, na minyoo
itakufunika." (Isaya 14:11) Wakati Bwana alipo
sema maneno hayo, blanketi la moto lilimfunika,
na siku mwona tena."
TUACHE ZINAA TUFUNGE NDOA NI UJUMBE
KWA VALENTINE DAY
 
Good news:
Jamaa mwenye mke hana uwezo wa kukufanya lolote..kwanza kisheria akikudhuru itakuwa murder sio manslaughter as hajakukuta in act bali muda mrefu umepita

Pili mtu mwenye dhamira ya kufanya ubaya huwa hatoi onyo wala vitisho..onyo litakuja iwapo unaendelea na mkewe lakini issue ya zamani angekutafuta kimya kimya tu, so mchukulie kama rolling stone that gathers no moss!

Bad News:
Wewe jamaa hujielewi wala hujui unataka nini katika life hili. Na tabia yako ya kutopenda ku-accept makosa/mapungufu yako sio nzuri. Hii habari ya "tukajikuta" (imejirudia mara mbili) inaonyesha hupendi kuface reality na kukubali actions zako. Na habari ya kusingizia pombe ndo unachemka kabisaa...pombe haimtumi mtu kufanya asichokitaka bali humpa mtu ushujaa wa kufanya kitu ambacho bila stimu angeona aibu.

Huyu uliyenae alikutoa katika kipindi na wakati mgumu..hapa unaleta habari ya mke wa mtu hajakutoka akilini!! unataka nini? love siku hizi sio feelings, ni convenience maamuma wewe!!!

Huyo mke wa mtu achana nae na ukiendelea utampa mumewe excuse ya kukufanyia ubaya..endelea na huyu mwingine, la kama humtaki hama kwake na ukajipange
 
"Tulipo endelea, tuliwaona maelfu ya watu
kwenye mateso,Wakati roho inapo mwona
Bwana, zilijitahidi kumfikia kwa mikono isiyo na
ngozi.Nilimwona mwanamke aliye anza kupiga
makelele alipo mwona Bwana Yesu. Alilia,
"Bwana tafadhali nirehemu! nitoe mahali hapa!"
Alikuwa akiteseka sana na aliunyoosha mkono
wake kwa Bwana.Aliendelea kumwomba Bwana
amtoe eneo lile hata kwa sekundr moja.
Alikuwa yuu uchi kabisa na alifunikwa na tope.
Nywele zake zilikuwa ni chafu na minyoo ilikuwa
ikijongea mwilini mwake .Alijaribu kuiondoakwa
mikono yake lakini kila alipo mwondoa mmoja
mingine ilijizisha zaidi.Minyoo ilikuwa na urefu
karibu inchi 6-8.Neno la Bwana linasema katika
Marko 9:44, "Ambamo humo funza wao hafi,
wala moto hauzimiki."
Ilikuwa ni ya kutisha sana kumwona mwanamke
huyu na kusikia kilio chake kwa jinsi minyoo ile
kwa hasira ilivyo kuwa inaila nyama za mama
huyu. Kulikuwepo na bango la chuma lililo
kifuani mwake ambalo lisingeweza kuharibiwa
na moto.
Lilisomeka , "Nipo hapa kwa ajili ya Uzinzi."
Kwa jinsi ile ile ya dhambi yake, mwanamke
huyu alilazimishwa kufanya uzinzi kuzimu na
nyoka wa kutisha mnene..Nyoka huyu alikuwa
na miiba mikubwa kuuzunguka mwili wake, ni
kama ya uerfu wa inchi 6-8 hivi.Nyoka
humwingia mama hyu sehemu zake za siri na
kusafiri hadi mwilini mwale hadi kwenye
koromeo lake. Nyoka alipo mwingilia hivi,
alianza kulia kwa makelele .
Alimwomba Bwana kwa nguvu sana amtoe eneo
lile, "Bwana, nipo hapa kwa ajili ya uzinzi,
nimekuwepo hapa kwa miaka 7, tangu UKIMWI
ulipo niua. Nilikuwa na wapenzi sita6, na nipo
hapa kwa ajili ya uzinzi." Kule kuzimu alitakiwa
kuirudia dhambi yake tena na tena.
Hakuna kupumzika usiku na mchana, akiteseka
kwa jinsi ile ile kila mara. Alijaribu kuunyoosha
mkono wake kwa Bwana, lakini Bwana
alimwambi, "Blanca, kwako tayari umechelewa.
Minyoo itakuwa ni kitanda chako, na minyoo
itakufunika." (Isaya 14:11) Wakati Bwana alipo
sema maneno hayo, blanketi la moto lilimfunika,
na siku mwona tena."
TUACHE ZINAA TUFUNGE NDOA NI UJUMBE
KWA VALENTINE DAY

ask you something bujibuji?
 
ok kumbe uko JF sio nakuambia ivi hama apa dar nitakutoa mshipa wewe ujui mke wangu nimetokea nae wapi
 
think twice if you were you then some one hanging around with your wife!I think when she told u that she is well with her husband u frustrated do u think why?what u don't want someone to do 4u don't do it to others.na kweli atakua na acha akue tu mana hakuna namna nyingne amechoka sasa! achana name hicho kikazi sepa uhai no bora kulko kazi
 
Rudi mkoa hadi zogo lipoe, unless tafuta mahali popote dar unapoona patakuwa safe kwako pasipo huyo jamaa kupajua.

Kuna watu wanakushauri eti uende polisi. Ni kweli ni jambo zuri lakini swali linakuja:

Je, hao polis baada ya wewe kuwapa taarifa kuwa jamaa amekutishia kukudhuru watathibisha vip kuwa ni kweli?

Wakihitaji ushahid halisi unaothibitisha kuwa jamaa anakutishia uhai wako unao?

Kuna uwezekano polisi wakakwambia, endelea na majukum yako na ukifanyiwa kitu chochote kibaya njoo uripoti. Je jamaa akikuua maiti ndo itaenda kuripoti?

Ndugu, rud tu mkoa au jichimbie mahali pa kificho na ukate mawasiliano na huyo mwanamke. Kinyume na hapo huyo jamaa anaweza kweli akakukill au kukufanyia kitu chochote kibaya siku akikutia kwenye 18 zake
 
Jf jamani..yaan leo niliona nisilale bila kupitia Jf maans ishakuwa ndo pombe yangu....pole yako mseminarist...
 
pole sana kaka wala huna makosa ni vishawish vya huyo dem tu; na maisha pia yamechangia kutopata kazi mapema,,, jamaa kashajua mtoto wa pili sio wake kwahiyo atamfajia ukatili tu,, watafute watu 2 au 3 uende nao jaribu kuongea nay kikubwa ,af mtoto usimwache chukua damu yako maana lazima atamtesa huyo mtoto, Hapo ulipo ishi kwa malengo ramain ikisoma mwmbie tu ukweli kwamba hujafuhia ndoa ame under go age hamlingani ILA KUMBUKA FADHILA ZAKE ALIZOKUTENDEA,,,,,
 
Sasa mbona unamlaani? Ni nani aliye safi machon pa bwana? Hakuna aliyekailika kila mtu lazima akosee


sasa wewe bibilia inasema takaye hukum ataukumiwa mshauri mwenzio vyemaaaaaaaaaaaaaa......
 
pili naomba kuuliza wadau, mm sijawqh kunywa pombe toka nizaliwe, sasa kama ukinywa pombe unapoteza network yan unayembea njian hujijui..hadi unaingia ndan kwa mtu hujijui....unavua nguo hujijui.....unapanda bed hujijui....unalalla bila kujua....unadate na mtu bila kujua, ila asbh ukiamka ndo unajua yote haya.!!!!
daaaah maana kila mtu humu naona thread yake ni pombe kushtuka asbh, pombe kushtuka asbh...
NAAMINI POMBE INAWAPELEKAGA AHELA MNASAVEY KISHA MNARUDI DUNIANI ASEEE, MAANA KAMA YOTE HAYA YANAFANYIKA MTU HUJIJUI DAAAAH NGOJA NIJE NAMI NITEST ILI NISIJUE KINACHOENDELEA DUNIANI KWA MASAA 12 CONSECUTIVE.
Utawagegeda dada zako shauri yako
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom