..Mke wa mtu ameniota..

..Mke wa mtu ameniota..

mpe mwenzio anachotaka jamani lol!
 
Mkuu yani wewe kuambiwa umeotwa imekuwa nongwa? Ulipaswa kujibu msg ya huyo mdada, ujue ndoto yenyewe. Yaweza ikawa aliota "Umejinyea kwenye kadamnasi kubwa", huoni ungetia aibu? Hudhani kwa ndoto yake ingekuokoa mengi? TATIZO LAKO AKILI YAKO INAWAZA NGONO. Hivi kwa nini hukujibu text ya mdada wa watu?
 
mpe mwenzio anachotaka jamani lol!
akimpa anachotaka awe tayari kwa kitakachotokea!
Ushauri ninaoona unafaa:
1)Usijibu hiyo sms kabisa.
2)Kama utalazimika kujibu hiyo sms, then construct hiyo sms in such a way thathata mumewe akiipata hataweza kuitafsiri vibaya. Kumbuka ukiandika sms ovyoovyohuyo mmama anaweza kuitumia sms hiyo kuonyesha kuwa wewe ndiye unamtaka. Kunamtu kaandika humu kuwa mjibu hivi - si kila ndoto huwa kweli. Ni wazo zurinaliunga mkono ila mumewe akiisoma atajiuliza nindoto gani hizo mnazosimulianana mkewe!. Hivyo hiyo sms ifumbe kidogo, andika hivi -"jana niliotanaokota fedha nyingi na nikafanya mambo makubwa sana, lakini nilipoamkanilijikuta na umaskini wangu uleule! kweli si kila ndoto huwa kweli na naonahaitatokea iwe kweli". Nadhani umeona mantiki ya sms ya namna hiyo.Inatuma ujumbe loud and clear na hai-raise any doubt.
3) Na kuanzia sasa taratibu kidogo kidogo punguza mazoea na hatimae acha mazoeana huyo mmama, si rafiki tena ni sumu huyo na sumu haionjwi! Kuna mtu mmojahumu alikuwa anatafuta wapi pa kujificha baada ya kufanya upuuzi kama huounaotaka kuufanya.

 
mpe mwenzio anachotaka jamani lol!
akimpa anachotaka awe tayari kwa kitakachotokea!
Ushauri ninaoona unafaa:
1)Usijibu hiyo sms kabisa.
2)Kama utalazimika kujibu hiyo sms, then construct hiyo sms in such a way that hata mumewe akiipata hataweza kuitafsiri vibaya. Kumbuka ukiandika sms ovyoovyohuyo mmama anaweza kuitumia sms hiyo kuonyesha kuwa wewe ndiye unamtaka. Kunamtu kaandika humu kuwa mjibu hivi - si kila ndoto huwa kweli. Ni wazo zurinaliunga mkono ila mumewe akiisoma atajiuliza nindoto gani hizo mnazosimulianana mkewe!. Hivyo hiyo sms ifumbe kidogo, andika hivi -"jana niliotanaokota fedha nyingi na nikafanya mambo makubwa sana, lakini nilipoamkanilijikuta na umaskini wangu uleule! kweli si kila ndoto huwa kweli na naonahaitatokea iwe kweli". Nadhani umeona mantiki ya sms ya namna hiyo.Inatuma ujumbe loud and clear na hai-raise any doubt.
3) Na kuanzia sasa taratibu kidogo kidogo punguza mazoea na hatimae acha mazoeana huyo mmama, si rafiki tena ni sumu huyo na sumu haionjwi! Kuna mtu mmojahumu alikuwa anatafuta wapi pa kujificha baada ya kufanya upuuzi kama huounaotaka kuufanya.

 
Ribosome hapo in blue lina pande mbili za shilingi....

Morally.... Huyo mama astahili adhabu na hata kufungwa. yaani alikua kaharibu upande wa dini na upande wa maadili katika jamii ukizingatia alikua ni mke wa mtu na wewe ukiwa ndio ume baleh ukiwa na Umri wa miaka 16 tu!

Realistically.... You were on lucky boy... Hivi wajua wenzio ambao wamebaleh umri huo wanavo hangaika? alafu vianamke anavotongoza ni wale wadogo, mnaenda kuchafuata huku ukipiga goli tu mwaona wewe mwanaume. I bet huyo mama mpaka kukutafuta wewe kitoto kidogo mumewe alikua hawezi kazi, hivo akajua sababu wewe ndio ume balehe hata kama your cum haraka, walau utaweza rudia tena na tena na tena.... Hapo hapo akikifundisha wapi ushike, nini ufanye, jinsi ya kuzama chumvini na elimu kibao ambayo katika hali ya kawaida vijana huwachukua miaka kadhaa kuipata. Kwa hilo bado ulistahili umweshimu for naamini ulikua hujui lolote.... Naomba msinisome vibaya... I don't support ila tu facing the facts....


Hapo in Red.....

Nilikujibu I am as possesive as he is.... and I believe mwanaume yeyote ambae ana entertain Swinging is not man enough! Mimi nakukaribisha kwa chai, kuna mabinti wengi nyumbani..... Kuna Mwali, Husny, Smile, Facebuk, Obsesed. Usiwe na wasi.....

Kama ni hayo mie simo, mumeo aniuwe? No way. Swinging ni part ya kuoneshana kuwa mnajaliana na hamna siri kati yenu, ni ubunifu wa kustarehe tu, si kuwa mwanamme hafai, kwa upande wangu naona bora ku swing kuliko kufichana. Kila mtu na mawazo yake.

Hao uliowataja wote wamekubuhu kuliko bibi zao, hao mabinti? duhhh, post zao tu humu wanaonesha hao makungwi na si mabinti. Au ndio mabinti wa dot com? everything goes, sky is the limit.
 
Asha nimependa majibu yako unaonekana una resoning capacity kubwa BIG UP ukweli ni kwamba huyu jamaa ameshamtamani huyo dada chamsingi amalizie ngwe iliyobakihttps://www.jamiiforums.com/images/styles/JamiiForums/smilies/hat.gif
 
Kwa kauli yako unasema unafahamiana NA HUYO SHEMEJI YAKO KWA KARIBU.Nadhani tatizo lipo kwenye ukaribu wenu na maongezi mnayoongea yeye akapata upenyo na akayapeleka mbali kwa kukutongoza ya kwamba amekuota, kiukweli huyo dada au mama hakuwa NA NDOTO YE YOTE ila anakuta KWA SABABU TU U KARIBU NAYE.
 
Mkuu yani wewe kuambiwa umeotwa imekuwa nongwa? Ulipaswa kujibu msg ya huyo mdada, ujue ndoto yenyewe. Yaweza ikawa aliota "Umejinyea kwenye kadamnasi kubwa", huoni ungetia aibu? Hudhani kwa ndoto yake ingekuokoa mengi? TATIZO LAKO AKILI YAKO INAWAZA NGONO. Hivi kwa nini hukujibu text ya mdada wa watu?

usimuonee mwenzio amesema mdada kamuota wanakula DENDA.sasa maneno mengi ya nn hapo.
 
  • Thanks
Reactions: SMU
pole sana mtihani mzito sana huo ila usijibu sms ila fanya maongezi nae maana sms yako inaweza ikawa soo kama unavyojua wakina mama akimpenda mtu ukituma sms itakua inasomwa wakati wa ucku wa kulala itakuleta shida sana ok
 
Acha hizo mambo SI..

Amyner, kama ni wewe kwenye hiyo avatar, nna ki prado cha milango mitatu, sijakitumia, hiyo ni zawadi ya kukubali ku date tu, kabla ya maamuzi yoyote. Unasemaje?
 
Kati ya denda na chumv*ni wap pachafu..


wataalamu wanasema mdomu huzalisha mabilions of bacteria tofauti na huko mgodini kwahiyo amua mwenyewe kati ya mgodi wa chumvi na mdomo wa binadamu wapi kuchafu.

pili ni kuwa kwaasili chumvi ina uwezo wa kukabiliana na hali ya uzaliswaji wa vijidudu ndio maana hutumika kuhifadhia hata vitu visioze (uliza wataalamu wa ngozi za mifugo huwa wanatumia nini kuhifadhi ngozi wakati zikisubiri kusafirishwa au kutengenezwa )

Tatu ashakumu si matusi mkojo ni tiba tosha kwaajili ya baadhi ya magonjwa hata vidonda sugu wataalamu wa tiba mbadala wanashauri ukiamka haswa ule mkojo wa kwanza asubuhu unakojoa unakunywa au unaweka kwenye jeraha.

Hivyo kwa maelezo yako hapo juu amua mwenyewe katia ya mgodi wa chumvi na mdomo upige wapi (Stuka)
 
Back
Top Bottom