Intelligent businessman
JF-Expert Member
- Sep 6, 2022
- 46,407
- 102,444
Apumzike kwa amani kifo hakizoeleki.
Msanii maarufu wa muziki wa asili nchini Tanzania, Mrisho Mpoto, amepatwa na msiba mzito baada ya mke wake kufariki dunia mapema leo kufuatia kuugua kwa muda mrefu.
Kwa mujibu wa taarifa zilizotolewa na msanii huyo marehemu alizidiwa ghafla jana na kukimbizwa hospitalini kwa matibabu, lakini jitihada za madaktari hazikuweza kuokoa uhai wake.
Taarifa hiyo ameishia Mrisho Mpoto mwenyewe akiandika 👉"Ngumu kuamini nimefiwa na Mke wangu".
#RIP
View attachment 3406814
Mungu nifundishe kunyamazaHaya atoe ngoma sasa
Wanawake wa kimachame usi waambie hiliPole yake, kufiwa na mke akaacha watoto ni pigo kubwa sana
Inasikitisha sana mkuu.Mungu nifundishe kunyamaza
apumzike kwa amani, tume bakiza mjomba.RIP shangazii, 😢😢😭😭
Nilikuaga na rafiki wa kike mmachame Kuna siku akaniambia usije jichanganya kuoa mmachame, strange!!Wanawake wa kimachame usi waambie hili
Hili nalo neno, mjomba msechu ana weza kumsaidia.Inasikitisha sana mkuu.
Yeye c hua anatoa ngoma kwenye misiba ya wenzake, bc aingie studio kwenye msiba huu
Ila aliye fariki shangaziMjombaaaaaaaaaaaa........